Kuna mshikaji kanitumia meseji kuwa kwanini nikiweka picha watu wanarudia.Hawa ni
marafiki zangu . Lakini kama hupendi samahani.Lakini Duh!
Sasaaaaaaaa!
Ngoje nikuache na baadhi ya picha za jana. Lakini ngojea niseme.......Duh!Kiupandeupande.................:-)
© Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008
Back to TOP
4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Mzee Simon
kati ya hizo picha zote nimefurai kuona THE GOLDEN COLOURS,THE TRUE COLOURS,THE BLACK MAN'S COLOURS.Jah Rastafarian.
Mzee Simon hao mabinti hawana namba za simu?(natania)
@Rasta:Sina uhakika kuwa hizi ni rangi za muafrika.Lakini..........Hawa mabinti na namba zao(Sitanii)
Hiyo picha ambayo uko katikati ya watu wawili...! mmmh...
@Ndesanjo:-)
Post a Comment