Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tamasha Maalum la Kumuenzi Hayati Dr. Remmy Ongala

>> Thursday, September 22, 2011

Salam,


Aziza Machozi Ongala na mumewe Miael McGeachy, mzawa wa Jamaika, wakiongea na Urban Pulse na Freddy Macha kuhusu shughuli zao kuimarisha kumbukumbu na kazi za mwanamuziki Remmy Ongala aliyefariki Desemba 2010, mjini Dar es Salaam.


Mahojiano yalifanywa  katika Ubalozi wa Tanzania, London.


Asanteni,

URBAN PULSE CREATIVE Wakishirikiana na Freddy Macha


1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 12:12 pm  

Nawatakieni kila la kheri kwa shughuli hii muhimu..Mungu awape nguvu ili iende salama.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP