Ukiwa Uchochoroni!
>> Friday, April 20, 2007
Najua unakumbuka ukiwa uchochoroni nini kinatokeaaaaaa!
Duh!
Unaweza kubakwa.
Unaweza kubaka.
Lakini unaweza ukafanikisha mambo fulani fulani bila washikaji kustukia.
Umekumbuka eeeh?
Duh!
Nisikutishe kile kitu siri yako, hatukustukia !
Usiwe na shaka!
Lakini kabla sija sema sana......Magic System wako mawazoni.....
Duh!Lakini nimewakumbuka washikaji niliokuwa nao wiki jana.....
Sasaaaaaaaa.....
Mzee Ogola!
Labda ngojea aseme....
Kuhusu hiyo video hapo juu sisemi!Usiniulize!
Tuendelee......
Mzee Allen na Mimi
Mzee Allen na Martin
Mzee Allen ,Mimi na Martin
Au ngojea kidogo....
4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Mzee Simon hayo ndio maisha ya majuu,hali ya hewa safi.
Mzee hongera kwa kutupa mambo ya huko.
Duh! nakumbuka zamani niliwahi kuishi sehemu fulani kwa hiyo nilipokwa narudi home lazima nipite kwenye kijichochoro,na pale jamaa walikuwa wanapigwa roba za mbao sana.
Wapiga roba walikuwa wanafahamika kila nikipita nilikuwa sikosi kuwapa sigara mbili tatu nikiwakuta kijiweni kwao.siku moja narudi usiku nikabanannishwa katika kichochoro jamaa wakanisachi lakini mmoja wao akanitambua wakaniomba msamaha sana.Wakanirudishia kila kitu changu.
Na kuanzia siku hiyo nikaishi kama mfalme hapo!
@Rasta:Kuhusu hayo mambo ya majuu, sinajibu.Lakini si ukweli kionekanacho ndio ukweli wenyewe.
@Mzee wa Makalio: Duh!Sina la kuesema!Asante kwa kunitembelea.
@Egdio: Kumbe wewe uko corrupt eeeeh!:-)Duh! Mpaka wajanja wakawa wanakuachia upite kichochoronni, wewe duh!Sisemi!:-)
Post a Comment