Ile Kura ya Ukatibu wa Jumuiya!Na hii Wiki mwisho!
>> Friday, May 18, 2007
Leo mimi mvivu kuandika.Lakini kumbuka mwaka jana kama leo niliandika...... ngojea niseme..............
Leo mimi mvivu kuandika.Lakini kumbuka mwaka jana kama leo niliandika...... ngojea niseme..............
© Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008
Back to TOP
4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Simon,
Yote tisa,kumi ni huo muziki wa Marvin Gaye uliotubandikia.Hivi wakati ukiwa mdogo uliwahi kuusikia ule uzushi wa kijiweni kwamba Marvin alikuwa msenge na kwa sababu baba yake alikuwa mchungaji kwa hasira akamtwanga risasi ambayo ilipelekea mauti yake?Hivi nani alianzishaga uzushi ule?
Kitururu,
Vipi umeshatengeneza mtandao wako tunapoelekea kwenye uchaguzi wa Jumuiya?
@Jeff: Nilisikia hicho kitu.
@Bwaya:Bado Mzee!Lakini kura yako nitapata?:-)
Usijali.
Post a Comment