Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Unafikiri WATANZANIA bado ni WABONGO miaka yote hii baada ya UHURU na BONGO zenyewe hazijafanya tuwazidi angalau KENYA angalau KIUCHUMI?

>> Friday, February 03, 2012

BONGOOOOO!

Na ukisikia tu jina hilo maarufu kwa WATANZANIA,...
.... wawezafikiri ni kweli UBONGO ni misingi katika kila wafanyalo WABONGO ni kistaili ya kutumia sana UBONGO

Swali la KICHOKOZI:
  • Na kama tunatumia BONGO sana sie WABONGO,....
......mbona BONGO zenyewe hata katika kuchagua VIONGOZI wetu kuna watakaodai na kutoa ushahidi labda BONGO hazifanyi kazi?

Ni wazo tu hili!


Hebu tena Jaziel Brothers warudie-Ngeke Ndiphinde



Au tu hebu Oliver Mtukudzi na Thomas Mapfumo warudie-Muchatuta






Read more...

R.I.P Don Cornelius !:-(

>> Thursday, February 02, 2012

I loved SOUL TRAIN!
Pumzika Donald Cortez "Don" Cornelius!


(September 27, 1936 – February 1, 2012)






Hebu aongee kidogo kikumbukumbu....



Aendelee....



Aendelee....


Sijui yaliyokukuta lakini R.I.P DON...
.... hebu nikumbuke tena pia hiii.....



Au tu James Brown aturudishe kwenye SOUL TRAIN...kwenye shoo yako


Read more...

Kwenu Blog mpya ya Rural and Urban

>> Wednesday, February 01, 2012

Kutembelea Libeneke hili JIPYA bofya hapa: http://www.mrs-ca.blogspot.com/





Heshima zenu Wadau wote!

Nilikuwa napenda Kuwatambulisha Kwenu Blog mpya ya Rural and Urban ambayo itakuwa ikizungumzia maisha hayo zaidi ya mjini na Vijijini. Karibuni sana ukiona Link hii mpatie na mwengine. Natanguliza Shukrani zangu asanteni.


-ESTER ULAYA.


Baada ya tamutamu hebu Bassekou Kouyate na Ngoni Ba waendelee....




Hebu tu tena na  Chuck Brown arudie tu na  -BUSTIN' LOOSE



Read more...

HALAFU,....

....HALAFU hata KISENTENSI,...
....ukianza na  HALAFU ili kunasa yasiyo na HALAFU,....
... kuna wawezao kuona kuna zaidi  ya HALAFU katika uyaongeleayo yasiyo na HALAFU.:-(

Swali:

  • AU?


Ndio,...
...HALAFU,...
.... si inawezekana yenye HALAFU hata uyasemayo au tu kuongeayo ni yale tu UYANUKUUYO kutoka kwa MTU mwingine bila kufikiria katika uhakika wake kuwa hata katika ya  Rais OBAMA hajikojolei kitandani kama BIBIE au BABUYE na ushahidi huna kama yale ya kuwa mafuta ya CHIPSI MAYAI ni yatokayo kwenye transfoma za UMEME mtaa wa jirani yana HALAFU ?


HALAFU,....
.... udhaniacho nimeandika,....
.... labda kimaana kuna HALAFU Mkuu!:-(
Ni wazo tu HILI Mheshimiwa!


Hebu turudi HAITI ili Rasin Kita wakite....kijina la wimbo tubakie na ....-DI MOVE


Read more...

Kimishemishe LABDA ni kweli ni KIMISHEMISHE tu- na labda KIMISHEMISHE ndio MPAKA ni siri TUKUFU mpaka za tuna MARAIS AFRIKA na hata.... mpaka MAREKANI ambao LABDA NAHISI najua unajua wamekaa KIMISHEMISHE tu!:-(

Na KIMISHEMISHE,....

.... yasemekana KUNA wapatao,...
....hata kama YASEMEKANA kuna KATIKA  wapatao ambao WAPATACHO WATHAMINISHO ni mpaka  demu/KIJEBA  na wala sio OFISI tu, dengelua ,kashata, chipsi mayai,tako, sehemu za mbele za mwanamume rijali ,Ubunge  kisa wametoa mbele na nyuma, OFISI kwenye shirika fulani ILIPAYO SANA TU,  au hata tu BAMIA tu kwa MLENDA kisa CHUNGA hakuna.:-(

Swali:
  • Si unajua ingawa MISHEMISHE kitafsiri FULANI  mtaani ni MISHENI TAUNI -lakini labda MISHEMISHE ni zaidi -na ndio maana siku hizi wajanja wana mpaka  na MAKANISA KIUJASIRIAMALI  ingawa YESU sio rafiki yao?
  • Si ikibidi KIMISHEMISHE - ndio maana WALIOBANANA kwenye DALADALA kule kwa kajamba nani kuna wastukiao KUNA wenye nafasi mbele kwa DEREVA bila sababu maalumu ?


Ndio,....
....Labda BINADAMU WOTE si sawa,..
... kwa kuwa,....:

  • Kwanini WENGINE  wafananao na SISI bado wako kama sio kama SISI na wao kidogo tu KWA SABABU HIZOHIZO hata UBUNGE majirani zako watawapigia kura wao ingawa wanajua wewe  kama MIMI labda ndio kitabia ni WATOTO MZURI  KIBANANGENGE kijijini hapo?
  • Unabisha?


Ndio,...
.... kimishemishe wewe kama ni angalau ni mjukuu wa NYERERE  hata kwa kujisingizia pale karagwe iitwayo TANZANIA,...
.... labda wewe tayari sio MWENZETU kwa kuwa KIMISHEMISHE wewe hata kama hutaki waweza kuishi bila kazi na usife njaa na fulu kuongeleshwa na kama unapenda sehemu za siri za watu labda utagawiwa na hata wasio kupenda kisa jina,...
....eti kwa kuwa KUNA wathaminio wajuacho hata ufanye nini ,...
WEWE  uko konekted hata bila kuhonga kama tu watoto wasio wa MORINGE SOKOINE Ze BONGO!:-(


Swali:
  • Hivi unauhakika  KUNA MTANZANIA  sasa hivi hajawahi kuhonga angalau hata chumvi ili agawiwe MAPERA?

Samahani,...
...mie nakiri nshawahi kuhonga kupatiwa mpaka kipenyo kidogo tu kiitwacho UKE,...
.... nimejirekebisha  LAKINI!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
JUMATANO NJEMA MHESHIMIWA!


Hebu turudi tu nyuma ya jukwaa na wanamuziki wa TANZANIA halafu Nguli John Kitime aongee...



Halafu sijui kwanini hebu DEKULA arudishe za enzi ndude katika-Mayanga






Dekula Kahanga azime tena kwa-Bamakonde


Nipo bado  Bandugu bapendwa!:-(



Read more...

Kuhusu UGONJWA wa MAHITAJI hata kama MAHITAJI yenyewe ni PIPI kwa mwenye hitaji hasaaa la WALI!

>> Tuesday, January 31, 2012

PIPI huweza kugeuzwa kuwa HITAJI,...
.... hata kwa ambaye hitaji lake la  kweli kwa kihitajikacho ni NGUNA na MLENDA.
Swali:
  • Unauhakika UNAHITAJI ufikiriacho kwako ni HITAJI?
  • Si unakumbuka kuna mahitaji watu hujifunza tu kuyachukulia kuwa HITAJI yasemekana?
  • Na UKIHITAJI UGALI na ukapata UGALI - si uleule UGALI yasemekana unakuwa MTAMU zaidi kitofauti?

Na katika GONJWA la HITAJI,....
....kuna WAHESHIMIWA hubaka kuku,...
... kisa wamegeuza kitu HITAJI,...
.... na kihitaji fulani MTU akiamini ndilo HITAJI,....
....labda ndio maana WATU huwa na mahitaji tofauti hata kama wako kwenye CHAMOTO KILEKILE,...
..... na labda ndio maana katika ``CHAMOTO UNAKIONA KILEKILE kwenye MAISHA´´  yasemekana  kuna wamkimbiliao YESU, MOHAMEDI, au hata MGANGA WA KIENYEJI hata kwenye hoja ambazo wangeweza kujitetea wenyewe bila NUKUU za MWALIMU NYERERE alisemanini kuhusu HILO kama tu jinsi ambavyo kuna wachaguao KUFA MOYO na kusubiria tu litokealo na LIWE!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na USIKONDE!







Hebu KANDA BONGOMAN arudi tena na kuanzisha upya kwa-JT




Halafu sijui kwanini ngojea KANDA BONGOMAN arudie-Wallow



Burning Spear aingilie ghafla nakukumbushia - Identity



Ili tu eti BURNING SPEAR apunguze spidi ya muwasho tena kwa-SHE IS MINE



Au tu Burning Spear alainishe mzimo wakati anazima kwa-Reggae Physician

Read more...

HISIA ni HALIHALISI ingawa sio lazima HISIA ni UKWELI kiuhalihalisi wa KITU!

Na LABDA ukihisi ,...
.... wewe labda UMEHISI TU na  hiyo kwako ni HALIHALISI,....
.... ingawa labda pia kuna umuhimu wa KUKUMBUKA,....
.... HISIA sio lazima ni UKWELI.

Ni wazo tu hili BINGWA!

Hebu tena SAM MANGWANA aingilie kati na kurudia mdinyo-AFRICA




Halafu Kanda BONGOMAN azime la njugu live kwakuanza na -Isambe

Read more...

Eti kuna watakao BABA kwenye MUME kama wageuzao MKE kuwa kama MAMA YAO!

>> Sunday, January 29, 2012

Ndio,...
.... inawezekana kuna wake za watu ambao MME kageuka BABA na wala sio MPENZI wala rafiki,....
..... kama tu isemekanavyo kuna MIDUME kwa MKE  inadeka kama MKE ni MAMA na sio limpenzi!:-(

Swali:
  • Unabisha?

Ndio,....
.....UNACHOTAFUTA,.....
...... saaa nyingine unaweza kuwa unacho ila umekigeuza na wakummtongoza umemgeuza DADA au KAKA  ambayo ni hatua ya mbali zaidi ya ile BINAMU nyama ya HAMU!:-(

Swali:
  • Unabisha?



Ndio,...
......UNACHOTAFUTA,....
.... saaa nyingine unaweza kuwa unakitafutia kwenye FIRIGISI wakati kiko kwenye MCHICHA  ambao UNAO.:-(

Swali:
  • Unabisha?
  • Unauhakika kwako BABA ni BABA, Mama ni MAMA na RAFIKI sio PADRE kama HAUSIGELI /Hausiboi alivyo kisiri ni MPENZI?

Ndio,...
.... kuna wageuzao ,....
..... ambacho KIPO hata kifudifudi MBELE ZAO!:-(

Ni hilo tu na ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Bassekou Kouyate arudishe mdinyo - Segu Blue




Halafu ghafla The Commodores warudishe tena kile kitu fanki kile - Brick House

Halafu The Temptations watubakize kwenye fanki na kuzima tena kwa -Shakey Ground


Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

Habari ZISIZO na KICHWA

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP