Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!
Showing posts with label Kumbukumbu. Show all posts
Showing posts with label Kumbukumbu. Show all posts

Wabunge wa TANZANIA mwaka 1984

>> Friday, July 06, 2012

Read more...

Je unajua tofauti ya KIFARU Mweupe na KIFARU Mweusi?(WHite RHINO &BLACK RHINO)

>> Wednesday, June 20, 2012

Ndio hawa NGULI ,...
.....wote wana rangi sawa ,...
.......na tofauti ni MIDOMO tu kwa hiyo usitishike na majina!

Hebu jikumbushe basi hawa NGULI,...
... hata ki -WIKIPEDIA


Domo bapa



Black rhinoceros

Domo Mchongoko

Read more...

The name is BOOTSY baby!

>> Sunday, June 17, 2012



Nipo!:-(
























Ndio STING alikuwepo.... hata kwa ..
-SHAPE of my HEART





Alidinyapia -Englishman in New York













Au tu hebu Bootsy Collins aingilie kati tena kwa pini - I'd Rather be with you



Au tu Da Brat alainishe kwa kunikiria kuwa leo niko -Funkdafied

Read more...

Namuachia NINA SIMONE!

>> Monday, June 04, 2012

Feelings!

Read more...

Maisha yana SAFARI zake!

>> Thursday, May 17, 2012

Enzi fulani ,...
...eti hawa walikuwa ni MAMA, BABA na MIMI!:-(




Hebu ghafla THEM MUSHROOMS waingilie kati kwa-MTOTO SI NGUO

 


SNOW aingilie kati kwa -Lonely Monday Morning





Halafu SNOW ajaribu kuzima kwa -Informer




Ila tu Naughty by NATURE ndio wazime kwa -FEEL me FLOW

Read more...

Kudadadeki Rais NYERERE yani!

>> Friday, April 06, 2012

Hebu msikilize huyu NGULI tena akitonesha,....

Read more...

Katika kukumbushana ya KABUMBU la Uingereza....

>> Friday, February 24, 2012

.... hebu CLYDE BEST aongee....




Hebu tupunguze makali kwa msaada wa YAMI BOLO enzi hizo -Wadat 1984

Read more...

Katika kumbukumbu:JHIKOMAN na MIMI!

>> Sunday, November 13, 2011

Jhikoman na MIMI


Nimekumbuka tu kitu leo,...
..... ambacho Brother JHIKOMAN na MIMI tokea enzi tunasoma MOROGORO SEKONDARI kilikuwa kinatuunganisha.


Hebu JHIKOMAN aanzishe upya kwa-Nyerere





JHIKOMAN aingizie -Moyo Unadunda



Halafu  hebu tu  JHIKOMAN aongezee- KUAGANA





Halafu azime kwa-SET ME FREE


Read more...

Unamkumbuka CARLOS the JACKAL?

>> Monday, November 07, 2011

Carlos the Jackal


Kuna kipindi ilikuwa ukiongelea maswala ya ugaidi au hata ya ``Terrorism´´ jina lake lilikuwa maarufu kuliko Bin Laden maeneo fulanifulani .

Naona anakesi mpya tena huko UFARANSA huyu jamaa iliyoanza leo.

Jikumbushe kama umemsahau  huyu Ilich Ramírez Sánchez aka Carlos the Jackal.




Katika kujikumbusha zaidi kiaina kisimulizi za Wamagharibi kuhusu Carlos,...





Read more...

Katika kumbukumbu: MALCOLM X

>> Sunday, October 30, 2011

You Are Afraid To Bleed




Wake up, Clean up and Stand up!




Daka udakacho! 
CHUKUA UCHUKUACHO!
Na ni kumbukumbu tu hii MHESHIMIWA,...
...na usikonde!

Read more...

JUSTIN KALIKAWE -katika KUMBUKUMBU

>> Saturday, October 29, 2011

Mwanamuziki Justin Kalikawe


Ndio,...
.....JUSTIN naweza kusema ni Mwanamuzi pekee wa Reggae za Kibongo ambaye aliyewahikukubalika sana mpaka na wasiopenda Reggae nyumbani Bongo Nyoso enzi hizo na nahisi hasa ni kutokana na aliyokuwa anaongelea.
R.I.P NGULI!
Ndio tupo tusiokusahau KAMANDA!


Hebu tujikumbushe,..
UGENINI






Kitendawili



Panapofuka





Noijuka




Credit ya picha KIBIRA FILMS

Read more...

Katika KUMBUKUMBU: Hotuba ya January Makamba kijijini Tamota.

>> Wednesday, October 19, 2011


Read more...

Leo moja ya kilichozungumziwa katika pitapita zangu:Mormon religion and its roots.

>> Tuesday, October 18, 2011

Read more...

Leo katika kumbukumbu:EUGENICS

War on the Weak: Eugenics in America



Dr. William Shockley on Race, IQ, and Eugenics



Eugenics



Kuna wadaio BILL GATES na misaada yake aangaliwe pia kwa jicho la waangaliao wanaoshabikia EUGENICS ,....

....Depopuation: Bill Gates And His Eugenics Lie




Kama umesahau kuhusu hii NDUDE kwa jina EUGENICS ambayo ilitumika sana na HITLER pia katika kuamua ni WATU wa aina gani wanafaakuruhusiwa kutengeneza MIMBA ,...
.... unaweza kuigoogle tu au BOFYA,..
...HAPA

JUA kitu,...
... kama unataka kukabili KITU.
Ni hilo tu MKUU!

Read more...

KATIKA KUMBUKUMBU:Tam Tam pour L'Ethiopie

>> Thursday, October 13, 2011

Mwaka 1985 ,...
....akina Lema Adé ,Hugh Masekela, Manu Dibango, Mory Kante, Salif Keita, Toure Kunda, Youssou N'Dour, King Sunny Ade, Yves N'Djock,....

... na wengine wengi walishuka na ndude kadhaa kinguli ikiwemo hii,..
.....katika kuchangia Ethiopia iliyokumbwa na NJAA kipindi hicho.




Ni kumbukumbu tu hii  KIBOSILE na wala USIKONDE!:-(

Read more...

Kiduchu kuhusu Brenda Fassie!

>> Wednesday, August 17, 2011















Read more...

Vijana wa zamani mnakumbuka SOUL BROTHERS?

>> Tuesday, August 16, 2011






























NI kumbukumbu tu MKUU!

Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP