Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Hebu Wangari Maathai aongelee tena ya Tanzania,....

>> Thursday, June 30, 2011


Read more...

Swala la LADHA labda huweza kufanya kuna apendaye BAMIA kama NYAMA!

Na kiladha,...
.... kuna wapendao MDUNDIKO zaidi ya BONGO FLEVA,...
... na kiladha zaidi wameoa MZUNGU!:-(

Swali:
  • Si unajua LADHA ni moja ya DANGANYA TOTO iwezayo kufanya mwenye ladha ya BONGO FLEVA kujidanganya kucheza SINDIMBA hadharani kwa wachezao SINDIMBA hadharani sio UJANJA?
  • Na si inasemekana kuna MPENDA NYAMA awezaye kufikiri ladha ya KISAMVU sio TAMU?

Ndio,...
.... maswala ya LADHA ingawa husahaulika saa nyingine kwa BAADHI ya watu,...
... huweza kudanganya MTU kuwa LADHA ya avionavyo yeye ni vitamu,...
...vitamu ni hivyo tu au vifananavyo na hivyo tu,...
... ingawa ukweli ni kwamba MPENDA samaki labda ladha ya MAHINDI ya kuchoma  kama tu mpenda KHADIJA awezavyo kupenda na HALIMA au basha awezavyo kuwa anainjoi usenge pia  ,...
...nayo HATA KAMA HUTAKI  kukubali kwa kuwa sio LADHA YAKO,...
....bado  kuna mtu kwake ni UTAMU tu!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA hata kama limepinda!:-(


Hebu Marvin Gaye akatizie kwa - Lets Get It On




Marvin Gaye anunishe - Heard It Through The Grapevine



Au tu Marvin Gaye azime manyanga tena kwa-Sexual Healing


Read more...

Leo katika kumbukumbu: R.I.P Patrick Mahlangu!

>> Wednesday, June 29, 2011

Kama humkumbuki ngojea ,...

... Nkepile Mabuse ...
... akukumbushe kiduchu ....






Au tu  pata kimaneno ambayo kwa bahati mbaya mkao wake ni wa kiung'eng'e hii ndude:

Pretoria, South Africa - Patrick Mahlangu is just one of several thousand South Africans who disappeared without a trace during the apartheid era. But after 25 years of searching, his body has finally been found.
Mahlangu, a member of the banned ANC's guerilla movement Umkhonto We Sizwe, or MK, was tortured and killed by security police in 1986. His body was then blown up, to make it appear he had been killed while planting explosives.


Passersby found the 28-year-old's scattered remains the next day. They were collected, buried, but never identified.

"It's very painful. The pain is made worse by the fact that you have never buried this person nor do you have a death certificate," explained Mahlangu's widow, Queen.
"Sometimes you imagine him just appearing from nowhere. Sometimes, when you are watching TV you see someone you think could be him. You never really accept that he is dead," she added.

The South African Missing Person's Task Team has been searching for Mahlangu's remains for years. Finally, they have found them.

As the task team changes the status of one more victim from missing to found, hundreds more families await their turn to uncover the truth.

Mahlangu is among nearly 500 missing persons the Truth and Reconciliation Commission (TRC) has mandated that the team find and, where possible, hand their remains over to their families.
It's a difficult process as investigators uncover the past but for the families it's also a chance for final closure and the opportunity to give their loved ones a proper burial.

"What we have learnt is that in as much as getting the remains is important for the families, getting the story of what happened to their family member known is equally important," said head investigator Madeleine Fullard.
"No one has ever heard of Patrick Mahlangu ... but when you actually look at his case and what he went through he really went through the complete horror of death at the hands of security policemen," she continued.

Mahlangu's story reads like many others caught up in the unrest in 1980s South Africa. The year was 1986 and as the black majority demanded an end to white minority rule, township riots escalated.
Umkhonto We Sizwe was stepping up the pressure against the government. It was in this climate that Mahlangu became a hunted man and was taken away in the night. His family never heard from him again.
"In one sense he was problematic for the system because he had knowledge of training of arms intelligence and covert operations," investigator Tshiamo Moela said.


"But also he was an active member of society actively opposing the state as a trade unionist and as a member of the civic associations, so in a sense he became a knowledge base that they thought that they could extract information from," he continued.


It wasn't until 10 years later, with apartheid abolished and a new government in place, that details of Mahlangu's disappearance were finally heard.


At the TRC perpetrators of apartheid atrocities sought amnesty from prosecution in exchange for telling the truth. It was there that it emerged Mahlangu had been abducted by two black policemen pretending to be MK operatives.


"He was tortured -- after that it was felt that he had seen the black policemen that were operating with the security police so he could identify them then so it was easier to eliminate him. He was blown up after he had been killed," Moela said.

Authorities say he was among many "enemies of the state" to be killed and then later blown up.


Armed with confessions from the TRC, the Missing Person's Task Team was able to begin their search for his burial site.

Investigators say that after following the paper trial that was available to check through the police, they then went through cemetery records and finally a cemetery itself.



The probe pointed to a cemetery in Soshanguve Township, north of the capital, Pretoria. It was here that a team of anthropologists and investigators started looking for Mahlangu's remains.
It was a difficult and long process. The cemetery records didn't match what was underground and the team dug up six graves before they found the right one.



Claudia Bisso is a member of the Argentine Forensic Anthropology team that came to South Africa in 2005 to train local graduates and oversee the search.

She has done similar work in Argentina, Bosnia and Kosovo but says that the South African process is very different to what she has been exposed to elsewhere in the world.

"A very important point is here the South African government is doing it -- in other countries it's usually NGOs doing the search of the missing; it's only in South Africa where the government took the responsibility for the missing," she said.

After nearly 30 years, Mahlangu's family finally has some kind of closure, but for the Missing Persons Task Team, the work continues as this country tries to piece together a painful past.

For his wife, it is finally time to forgive her husband's killers.
"I used to have a lot of anger in my heart, especially towards white people, but now I have forgiven them because you can't blame the whole race for the deeds of a few," she said. "Today it is white people that have helped me find my husband's remains."

Swali:
  • Si umecheki lakini kuwa waliokuja kumchukua enzi hizo za  UBAGUZI wa rangi na  kumtesa kulikuwa na WEUSI wenzake Patrick Mahlangu?


Ni kumbukumbu tu hii NJOMBA!:-(

Read more...

Kuna wakusifiao ambao UNAINJOI ZAIDI wakikusifia!

SI KILA MTU unainjoi akikusifia,...


... na kuna akusifiaye ambaye kutokana na UMCHUKULIAVYO,...
... kilekile USIFIWACHO ambacho unafurahia watu wengine WAKIKUSIFIA ,......
.... unaweza kusikia AIBU kisa akusifiaye hichohicho kitu ni kivingine UMHESHIMUVYO!:-(
Swali:
  • AU?
  • SI labda ASKOFU akimsifia  KIGOLI  katika umahiri wake KIUNENGUAJI kitu hicho kinaweza kurejista tofauti kisifa kama utafananisha kitu hichohicho kama amsifiaye KIMWANA kwa kunengua  ni mdau tu asiyehubiri ya YESUYESU au  ni libwana lake KIGOLI ambalo unafikiria moja ya kunengua kwa kimwana huyo ni staili inayolipagawisha?

Ndio,...
.... kuna ambao WAKIKUSIFIA sifa zao hunoga zaidi,......
.... ingawa kuna wengine wakikusifia ,...
.... sifazao ni MATUSI aisee!:-(

Ni wazo tu hili KIKORE!:-(

Hebu Keith Sweat arudie- Nobody




Frank Ocean akatizie kwa - Nature Feels





Au tu hebu Keith Sweat  arudie tu na - Twisted

Read more...

KUHUSU MDADI usio wa KUDOKOA MBOGA kwa kuwa kuna mwenye hamu ya KUDOKOA MBOGA!

Ukidadisi kitu,...
.... waweza kustukia LABDA hata kwenda haja kubwa kuna ambao hupata mdadi huo,...

... kitu kifanyacho hata kama hawajabanwa HAJA ,...
... unaweza kukuta bado wanasafari za kwenda MSALANI!:-(

Swali:
  • SI hamu ya kitu si lazima MTU anahitaji hicho kitu?

Na SWALA ZIMA la MTU mzima kupandwa MDADI,...
..... yasemekana ikabidi mpaka hata DINI zikemee MIDADI mingine kisa ni ukweli,...
.... labda kama UMEPANDWA tu MDADI hata kama ni ule wa kutaka sehemu za siri za mwenzio,..
... labda utakacho usipokipata bado wewe utabakia mzima na BUHERI wa AFYA,...
... kwa kuwa MDADI yasemekana hauna maisha marefu na ndio maana UKIRINGIWA sana na akupandishaye mdadi,...
... mdadi hufa kama tu mwenye hamu ya samaki asipopata samaki kisa kala MAHARAGE .:-(

Swali:
  • Katika MDADI ufanyao mtu adokoe MBOGA kama hafanyi hivyo kwa msukumo wa NJAA si unajua labda kwa kutodokoa mboga labda baada ya dakika ishirini anaweza kusahau alikuwa kapandwa mdadi wa kudokoa MBOGA?
  • Umeshawahi kupandwa MDADI hatalafu ukautaimu kucheki unaishi kwa muda kgani kabla hujasahau kuwa ulikuwa na MDADI hata wa mawalimu wako DARASANI kisa mdadi uliamshwa na atingishavyo tako wakati anafuta ubao?

Ndio,...
.... kama hauna addiction na kitu/ huujadakwa kiugonjwagonjwa vile katika matakwa yako ya kitu,...
.... labda MDADI hata wa pombe ni kitu kipitacho tu kwa kuwa hata aidia ya kwamba unahitaji POMBE ukiilia kobisi kwa dakika kadhaa unaweza kusahau kuwa ulipandwa sana MDADI wa pombe!:-(


NI wazo tu hili MHESHIMIWA lililopinda na usikonde!:-(








Hebu Onyeka Onwenu arudie - Ekwe




Manu Dibango aingilie kati kwa -SUPER KOUMBA



Au tu MANU DIBANGO aisogeze  pembeni kwa kinu-Lady



Kabla  tu Fela KUTI hajamleta tena origino -Lady

Read more...

MOJA kwa MOJA kama ya MTU ya kutoka UTOTONI mpaka UKUBWANI!

>> Tuesday, June 28, 2011

Ni moja kwa moja,..
....kama chakula kisafirivyo kutoka Mdomoni kwenda kule CHOONI


Moja kwa moja,...
...kama asubuhi ibadilikavyo moja kwa moja kufikia yale ya USIKUNI.

Swali:

  • SI unajua ingawa kuna wafikiriao kuwa kuna ambayo hayaendi MOJA kwa moja kwa kuwa wanadhani DUNIANI kuna mpaka yale yapigayo ZIGIZAGA, ...
.... lakini labda bado ukweli ni kwamba labda yote uyajuayo kunajinsi tu ambavyo yako MOJA kwa MOJA hata kama ni kijinsi yagusavyo kitu FULANI?

Na bado ni MOJA kwa MOJA,...
... hata kama KIENDACHO MOJA KWA MOJA  ni matapishi kwa kuwa hata hayo  ukiyachorea mstari wa safari yake  waweza kustukia yalitoka moja kwa moja tumboni kabla hayajamtokea MTU puani!:-(

Swali tena:
  • Kwani unafikiri kama  kuna wadhaniao  kuna vizungukavyo na sio kwenda MOJA kwa MOJA basi  hilo ni kweli?

  • Hudhani kuwa labda kunauwezekano asiyeona kuwa kila kitu kina enda moja kwa moja kutoka sehemu moja mpaka nyingine kama mwanga wa tochi utokavyo kwenye tochi mpaka kummulika panya chini ya kitanda,...
... labda huyo  hajatanua tu jinsi ya kuliangalia SWALA?:-(

Ndio,...
... labda vidhaniavyo haviendi moja kwamoja,..
....hivyo havijapigiwa mstari  au tu kikuangaliwa kuna arukaye vigezo kuwa labda wakati anafikiri kuna vipikavyo kona ,...
... labda wakati huo bado anaviangalia MOJA kwa MOJA!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na si lazima ulielewe MKUU!:-(



Hebu moja kwa moja Keziah Jones Muafrika anizinguaye sanal tu aingilie kati JUMANNE yangu akianza kukuna  kwa :-African Spacecraft



Keziah Jones  anyuke - Where's Life



Keziah Jones  anong'one kuhusu - Beautiful Emilie




Au Keziah Jones amalizie tu kwa ndude- Rhythm Is Love

Read more...

Kama MDADI wa UDADISI kama mimi umekupanda: Tujifunze kuhusu KANISA la The Eastern ORTHODOX kwa mtazamo wa KIOTHODOX CHACHI kiduchu!:-(

MADHUMUNI ya hii TARALILA ni udadisi tu  kuhusu hili kanisa  na usitishike KWA KUWA  wala nia hapa sio KUHUBIRI  ,..
... ila ni kupata kujua tu linabenjukaje kiimani ukizingatia waumini wake huamini ndilo la kweli na la zamani kuliko makanisa yote DUNIANI  kwa kuwa lilianzishwa na YESU mwenyewe  kama wadaivyo hapa kwa ung'eng'e:

``If you are ORTHODOX Christian, your religion was founded in the year 33 by Jesus Christ, the Son of God. It has not changed since that time. Our church is now almost 2,000 years old. And it is for this reason, that Orthodoxy, the Church of the Apostles and the Fathers is considered the true "one Holy Catholic and Apostolic Church." This is the greatest legacy that we can pass on to the young people of the new millennium´´



Hebu kivideo tupate mambo,..
....katika ndude ibebwayo na kichwa cha habari :

The Eastern ORTHODOX CHURCH is the ONLY TRUE and Apostolic CHURCH










Kwa kifupi,..
... kwa kichokonoleo kwa UNG'ENG'E:


How old is the ORTHODOX faith?

If you are a Lutheran, your religion was founded by Martin Luther, an ex-monk of the Catholic Church, in the year 1517. If you belong to the Church of England, your religion was founded by King Henry VIII in the year 1534 because the Pope would not grant him a divorce with the right to re-marry. If you are a Presbyterian, your religion was founded by John Knox in Scotland in the year 1560. If you are a Congregationalist, your religion was originated by Robert Brown in Holland in 1582. If you are Protestant Episcopalian, your religion was an offshoot of the Church of England, founded by Samuel Senbury in the American colonies in the 17th century. If you are a Baptist, you owe the tenets of your religion to John Smyth, who launched it in Amsterdam in 1606. If you are of the Dutch Reformed Church, you recognize Michelis Jones as founder because he originated your religion in New York in 1628. If you are a Methodist, your religion was founded by John and Charles Wesley in England in 1774. If you are a Mormon (Latter Day Saints), Joseph Smith started your religion in Palmyra, New York, in 1829. If you worship with the Salvation Army, your sect began with William Booth in London in 1865. If you are Christian Scientist, you look to 1879 as the year in which your religion was born and to Mary Baker Eddy as its founder.

If you belong to one of the religious organizations known as "Church of the Nazarene, Pentecostal Gospel," "Holiness Church," or "Jehovah's Witnesses," your religion is one of the hundreds of new sects founded by men within the past hundred years.

If you are Roman Catholic, your church shared the same rich apostolic and doctrinal heritage as the Orthodox Church for the first thousand years of its history, since during the first millennium they were one and the same Church. Lamentably, in 1054, the Pope of Rome broke away from the other four Apostolic Patriarchates (which include Constantinople, Alexandria, Antioch and Jerusalem), by tampering with the Original Creed of the Church, and considering himself to be infallible. Thus your church is 1,000 years old.

---------------______________________________________-------------------------------

.


Links za kiwanzabanga:


ROMANIAN site about ORTHODOXY in English:


http://www.sfaturiortodoxe.ro/orthodox/index.htm


AGAINGST ECUMENISM
http://www.orthodox.net/articles/against-ecumenism.html

SITE The ORTHODOX Church of America

http://www.oca.org/




ORTHODOX FAITH:

Concerning the Holy Trinity

I believe, confess and worship the Holy Trinity. I worship the One, Holy, Indivisible, Consubstantial, Life-Creating and Most Holy Trinity. In the Trinity I worship three persons -- three hypostases -- that of the Father, that of the Son and that of the Holy Spirit. I do not confuse the persons of the Most Holy Trinity. I do not believe that the Father, the Son, and the Holy Spirit are, as it were, three masks of a single person. None of the persons is alienated from the others, but each has the fulness of the Three together.


Concerning Immortality

I believe that only God is eternal and immortal by nature and in essence. The angels and the souls of men are immortal only because God bestows this immortality upon them by grace. If if were not for the immortality which God bestows by His divine will, neither the angels nor the souls of men would be immortal of themselves.


Men's souls have no pre-existence. The how of the soul's birth, as well as separation from the body at the moment of the latter's biological death that it might be reunited to the body when the dead are raised at the Second and glorious Coming of our Saviour is a mystery which has not been revealed to us.


http://www.orthodoxphotos.com/

Read more...

Ingawa WASTAARABU walao HARUSINI huenda HARUSINI wakiwa tayari wameshiba,...

... WAUNGWANA walioshiba KIAFRIKA hula pia MSIBANI!:-(

Swali:
  • SI wajua KULA ni muhimu kwa ALAYE kwa kuwa yaweza kuwa LABDA kula kwake ni faraja ya ALIWAYE?

Ndio,..
... KULA mwanawane HATA KAMA HUNA NJAA ,...
..hasa kama sio mbinafsi ni MUHIMU kwa kuwa LABDA  kuna aliwaye ,...
... na KILIWACHO au aliwaye hata kama siye kwa kuliwa wakati huo NIA  ndio apataye MIMBA,...
... lakini kiuwekezaji wa  YA BAADAYE ,...
...ajilazimishaye KULA wakati KASHIBA  labda ANAWEKEZA VYEMA  kwa kuwa HAIJULIKANI  ni lini ALAYE kwa manufaa ya ALIWAYE atakuwa na njaa ya KULA  kisicho na hamu ya kuliwa na labda akumbuke tu kuwa mpishi YASEMEKANA huwa anakumbukumbu na kama kwa kuwa leo umeshiba na ndio maana hata kuonja hutaki,...
..unaweza kukuta kwa hilo unaharibu MUNKARI wa mapishi ya siku ukihitaji KULA kwa kuwa una NJAA kisa mpishi analipiza kisasi au anafikiri mapishi yake hayafai KULIWA kisa wakati umeshiba hata kuonja kwa shingo upande  HUKUONJA!:-(


NI HILO tu NGULI,..
... na ni wazo tu hili NGULI ingawa nahisi unajua kuwa kutolielewa Kirais Mwinyimwinyi  ni  RUKSA:-(


Hebu Onyeka Onwenu na King Sunny Ade waamishie vita tena pembeni kidogo ya tundu kwa
-Wait for me




Au tuache tu longolongo ili Onyeka Onwenu atulize tu mtuno kwa ngoma ambayo mpaka Bongo ilitamba iitwayo-EKWE


Read more...

Jibu la MUSA ukilifananisha na la FIRAUNI!

Yasemekana ,...
...``UKISHANGAA ya MUSA  utayaona ya FIRAUNI!´´:



Kwa hiyo ,...
... Ukiona ya FIRAUNI kabla ya ya MUSA,...
... ya MUSA  labda  kuna atakayedhania ni ya kisenge yani!

Swali:

  • Ila si umewahi kusikia kuwa labda ya kisenge hata kama ni yale ya AISHA  labda tayari hupofua macho watoto kama ni yale ya kiutu uzima kama tu  ya ABDALLAH?




Ndio,....
..... jibu la ya MUSA,....
..... lashangaza pia ingawa  labda MUSA anajibu  hivyo KIRAHISI  kwa wasiojua ya FIRAUNI  kwa kuwa kashawahi kuona  na kuzoea KULIKO WENGINE yale ya FIRAUNI.:-(

Swali:
  • Unafikiri ukishuhudia ya FIRAUNI  hayataathiri majibu yako KIMUSA?


Ndio,..
... hili ni WAZO tu MHESHIMIWA!:-(
SHIKAMOO basi kama umenuna kisa hunielewi!:-(

Hebu King Sunny Ade aingilie kati tena kwa -Kale Sanwa Jowuro Lo



King Sunny Ade akaushe utoko kwa - Samba



Au King Sunny Ade aje tu live tena kwa mtuno-African and American


Read more...

MFUMO huweza kumgeuza NYERERE kuwa KIKWETE na KIKWETE kuwa NYERERE!:-(

>> Monday, June 27, 2011

Pamoja na UMUHIMU wa nguvu na akili za MTU BINAFSI,...
.... kwenye MFUMO UFANANAO hata ukiwa na watu wawili tofauti mpaka kiakili na kiitikadi  kama Rais OBAMA na Rais BUSH,...

....katika MFUMO uleule unaweza kukuta matokeo ya watu hao WAWILI wawazao tofauti YAKAFANANA kama tu hayatakuwa ni YALEYALE.:-(

Swali:

  • Si unajua ni kwanini ili UINGEREZA iendelee kubakia UINGEREZA ileile -pamoja na kubadili MAWAZIRI WAKUU ili kuendeleza mkao uleule serikali kwa kawaida hufuata MFUMO uleule wenye MAMALKIA na WAFALME watokao katika familia ileile?
  • Na si unajua kama MFUMO ni MZURI  hata kiongozi mjinga anaweza asifanikiwe kufanya UJINGA?


Ndio,...
....katika mfumo bora unaoeleweka hata kwa NG'OMBE,...
.... yasemekana  HUFANYA ni vigumu kwa ng'ombe hao kupotea ZIZI,...
... kama tu silabasi nzuri  iwezavyo  kuongoza MWALIMU  asiyejua cha kufundisha aweze kuchagua  kufundisha kwa wanafunzi  yenye MANUFAA!:-(

Ni wazo tu hili KINGUNGE!

Hebu DE LA SOUL watulize kwa-Baby PHAT





Ndio ,...
... bado niponipo bado yani!:-(


























Read more...

KIKOJOZI anachakusema kuhusu KUJIKOJOLEA ingawa labda asikilizwaye KWA KAWAIDA ni amzomeaye KIKOJOZI!:-(

Kila mtu anachakusema,...
.... ingawa kuna wakaao KIMYA kwa kufikiria hawana cha kusema.

Swali:
  • Si ushawahi kusikia usemi kama HUNA la kusema kaa kimya?

Ndio,...
... lakini bado ukweli ni kwamba,...
... inategemea tu na utafsirivyo nini nicha KUSEMWA,...
.... kwa kuwa lakusemwa labda ni lolote lile,...
... hata kama kwako na uliyojifunza ufikiriayo hayana kibiongo LISEMWALO  kwako ni upumbavu!:-(

Ni wazo tu hili BOSI!
Jumatatu NJEMA!


Hebu turudi Algeria kupewa na HARMONICA  ndude-Salam alikoum



Harmonica warudie na ndude- Tassili

Read more...

Kuna MTU anakufa SASA hivi,...

... na kuna MTU anazaliwa SASA hivi!

Swali:
  • SI unajua  kunauwezekano pia kuwa kuna  MTU anapata mpaka  MINYOO sasa hivi?
  • Si unajua labda vile vyote ulivyowahi kufikiria kuwa vinatendeka kama hata vile vya kukeketa mabinti labda kuna avifanyaye sasa hivi?

Ndio,....
... ingawa tupo tuaminio kuwa hakuna MTU mwenye afya 100%,...
....labda kuna MTU ambaye ndio anaanza kupata afya hata ya KIAKILI sasa hivi!


Tunakumbushana tu kitu MHESHIMIWA ,..
...katika staili hii ya UjingaBUSARA!:-(

Hebu Garnet Silk abadili wazo kwa kumsifia-MAMA


Read more...

Patrick Pama Balisidya!

>> Sunday, June 26, 2011

Napenda tu kazi zake huyu Jamaa!

Hebu arudie:

-Malewo







Arudie pia -Wikiendi





Jikumbushe huyu Nguli,...
... kwa msaada wa-JON LUSK:

Patrick Pama Balisidya, singer and composer: born Mvumi, Tanzania 18 April 1946; married (one daughter); died Kibaha, Tanzania 7 August 2004.

The name of the singer, musician and composer Patrick Balisidya is recalled regularly in his native Tanzania, as his biggest hit "Harusi" (Kiswahili for "wedding") is played at nuptial ceremonies around the country.

Like his better known colleague, the late Hukwe Zawose, Balisidya was a member of the Gogo tribe from the poor, arid Dodoma region of inland Tanzania. The area is renowned for its wine and the Gogo people, often referred to as the "Gypsies of Tanzania", for their musical prowess - especially as singers.

After leaving school, Balisidya briefly made a living as a technician before beginning his musical career in 1967 playing guitar for the Dar es Salaam Jazz Band, one of Tanzania's most popular groups at that time. By 1970 he had formed his own group, Afro 70. While initially dependent on cover material, Balisidya soon developed a style which he dubbed "Afrosa".

Not one to follow the crowd, he shied away from the Congolese soukous sound then dominating East African music, instead drawing inspiration from the thumb piano and vocal melodies of Gogo tradition. He would sometimes translate lyrics into Kiswahili to broaden his message, and his guitar and piano playing also showed some blues influences. Refraining from political commentary, he addressed social issues and enjoyed national success with songs such as "Wikiendi" ("Weekend"), "Dirishani" ("Window") and "Tausi" ("Peacock").

At the height of his popularity in the mid-Seventies, he and Mbaraka Mwinshehe visited Japan, and he represented his country at the 1977 Festac festival in Lagos, Nigeria. He only managed this by borrowing equipment from the organisers, since a disastrous traffic accident two years before had destroyed all Afro 70's instruments, effectively causing the demise of the group.

In 1979, Balisidya and two other musicians working under the name Afro 70 visited Sweden and collaborated with the progressive rock group Archimedes Badkar on their album Bado Kidogo (Kiswahili for "Not Yet"). An early example of world music fusion, it was notable mostly for the way the headliners were relegated more or less to the role of backing band on their own recording by their African guests.

Back in Dar es Salaam the same year, Balisidiya played piano on the hit "Uniambie Siri" ("Tell Me the Secret") by Kikumbi Mwanza Mpango, aka King Kiki. It was to be his last hit, and he spent the rest of that decade earning a meagre living as a session musician for various Zairean bands resident in Tanzania. On his last album, Harusi, released earlier this year, he revisited his Seventies heyday with new versions of old hits.

Although some colleagues describe him as strict or even "prefect-like", he is remembered by fans as down-to-earth and friendly, and for his charismatic onstage manner.

Jon Lusk

Read more...

Leo katika HISTORIA kwa UNG'ENG'E: Racism - a HISTORY!

Kama unamuda Deku vidude,...
... na usishangae kama utajifunza kitu!:-(


Kwa kifupi:

Racism: A History ,...
.....is a three-part British documentary series originally broadcast on BBC Four in March 2007.
It was part of the season of programmes broadcast on the BBC marking the 200th anniversary of the Slave Trade Act 1807, a landmark piece of legislation which abolished the slave trade in the British Empire. The series explores the impact of racism on a global scale and chronicles the shifts in the perception of race and the history of racism in Europe, the Americas, Australia and Asia. The series was narrated by Sophie Okonedo.

In its first episode the series begins by assessing the implications of the relationship between Europe, Africa and the Americas in the 15th century. It considers how racist ideas and practices developed in key religious and secular institutions, and how they showed up in writings by European philosophers Aristotle and Immanuel Kant.


The Colour of Money


Fatal Impact




A savage LEGACY



Swali:
  • Umejifunza kitu ?

Read more...

Kwa MPENZI ambaye bado unayempenda sio MIMI!:-(

Yawezekana MAPENZI ni safari,...
.... na apendwaye kwanza ni yule wakufanyia MAZOEZI !:-(

Kwa hiyo labda SIRI ni;...
....labda MJANJA si yule apendwaye mwanzo,...
... ingawa kwa asiyependwa MWANZONI  huweza kufikiria kuna wengine ndio waliomuondolea bikira  hata ya PENDO.:-(

Kwa hiyo labda PENDA tu wengine mwanawane PENDA!

Lakini  kuna uwezekano utakaye mpenda MWISHONI ndiye wako ambaye utampenda mpaka mwisho wa siku ,...
... na hapo ni kama kuna SIKU ambayo mtu huweza kuishiwa uwezo wa KUPENDA!:-(

Swali:
  • SI unajua  apendwaye ushahidi uko moyoni tu  hata kama aambiwaye ANAPENDWA kwa SAUTI   ya MDOMO wa MTU na mwenye mpaka PETE kama ushahidi kuwa ANAPENDWA labda  si yule apendwaye kwa dhati kutoka MOYONI?
  • Unafikiri ni muhimu KUPENDWA au KUPENDA?

Ndio,...
... MPENZI ambaye bado si wangu,...
.... labda penda tu kwanza hao wengine,...
... ilimradi wa MWISHO kumpenda ikiwezekana basi  itakuwa ni furaha yangu kama huyo akiwa MIMI!:-(

Swali:
  • Lakini mpenzi  MTARAJIWA hivi unaweza kuwapenda hao wengine harakaharaka ili uwe wangu kabla hujazeeka?

Wako,...
... ni mie mpenzi wako ambaye BADO hujastukia kuwa unanipenda kwa kuwa sasa hivi unahangaikia KUPENDA mtu mwingine.:-(

Ni mimi ,...
...yule LIMBUKENI wa PENZI na mwenye UMIMI kidogo kama udhaifu wangu ambao hujitokeza kidogo kwenye MAPENZI na wakati alengwaye kimapenzi ni WEWE ndio maana nasubiria kupendwa na wewe MPENZI mtarajiwa !.:-(

Haya ngojea mie niendelee kukupiga chabo kwa siri huku nikisubiria zamu yangu!:-(

BaiBai  basi kwa sasa  ewe TOTOZ zuri lenye macho ya GOLOLI, mashavu kama KITUMBUA , tako Mchina, Kujichubua fulu mia kwa mia, mwendo kama BATA,..
... DUH ngojea NISIMWAGE mchele kwenye KUKU lukuki ili nisije nikafanya mpaka wabaya wangu wajue nakuongelea WEWE KIPENZI  mwenye kijambo harufu ya BAMIA -ewe KIPENZI mtarajiwa- na kuniharibia gia!:-(

-----------------------------------____________________--------------------------------------------

NIMEACHA wazo MHESHIMIWA,...
... na ni ruksa kulitemea KOOZI wazo hili  lenye kibiongo cha kinyeo POHHH!:-(


Na tukiacha UTANI:
  • SI unajua hapa DUNIANI kuna sababu wako wapendao MABIKIRA kwa sababu mojawapo ya kutaka tu MABIKIRA  ni wao kujisikia WAMEPENDWA kwanza?

  • Kwani unafikiria kuna umuhimu  katika orodha ya waliowahi kupendwa uwe mtu wa KWANZA kama hata kama ni wa mwisho wakati unampenda mtu PENZI lilikuwa ni la kweli?


NI WAZO TU hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu Tupac arudie -The King of Sorrow



Na Bilal arudie - Soul Sista

Read more...

Hapo zamani za kale AFRIKA hakukuwa na siku ya JUMAPILI!


Asante WAMISHENARI kwa kutuletea mpaka JUMAPILI,...
....kitu ambacho huathiri mpaka  KISAIKOLOJIA na kufanya kuna watu waamini kuna tofauti kati ya IJUMAA na JUMAPILI,...
....Jumatatu na JUMANNE,...
....au tu na kusababisha tuamini kuna kitu kinaitwa WIKI na kuna siku saba katika WIKI,...
... kitu kiathiricho mpaka VIGEZO vifanyavyo tuamini kuwa hata mwenye sehemu za siri zilizosinyaa bado ni KIJANA kama kikalenda zenye mpaka siku TAKATIFU ya JUMAPILI ,...
... huyo anamiaka MICHACHE.:-(

Swali:
  • SI hata uonekane UMEZEEKA vipi kimuonekano bado ni KIJANA kama kwa kufuata kalenda ifanyayo tuamini tuifikiriayo ni SIKU ya SABATO JUMAMOSI kweli ni JUMAMOSI kisa kalenda isemayo lini ni JUMAPILI ndio tuinukuuyo kutabiri MUNGU wakati anaiumba dunia alipumzika LINI?
  • Lakini si labda ni kweli pia KILA siku ni tofauti na SIKU nyingine?


Ndio,...
.... labda bado ni kweli HAPO zamani za kale bado kulikuwa na KALENDA iliyoruhusu WA KALE wajue nani kijijini ni MZEE kuliko wote,...
... ingawa labda hiyo kalenda haikuwa na JUMAPILI wala ALHAMISI!:-(

Swali:
  • Unabisha?
Asante WAMISHENARI kwa  kufanya IJUMAA isitukuzwe na baadhi ya WAKRISTO kama JUMAPILI,...
... na kwa nyie wengine JUMAPILI NJEMA!:-(
NI wazo tu hili MHESHIMIWA na WALA usikonde !



Au tu Bascom X aingilie tena wazo kwa - Eyes On The Prize



I Wayne aanzishe upya kwa-Life Seeds


I wayne atulize kwa-Cool as the Breeze




I wayne arudie - Need Her In My Arms


Read more...

Kama mtu anategemea sana MAWAZO ya wengine katika MAMBO yake,...

>> Saturday, June 25, 2011

.........kuna UMUHIMU gani kwa MTU kuwa na MAWAZO yake BINAFSI?



NI wazo tu HILI Mheshimiwa!:-(

Hebu Richie Spice abadili kwa- Ano Me Dat


Queen Ifrica asawazishe kwa kumsuta baba ya msichana fulani kwa-DADDY




AU tu Queen Ifrica amalizie kwa - Below The waist



Au tu Bascom X aingilie tu kati tena kwa-Lonely Girl

Read more...

Unafikiri LEO kimawazo UMEJISITIRI?

Ndio,...
.... inasemekana kuna uwezekano watu wengi ambao unakutananao BARABARANI kimawazo HAWAJAJISITIRI,...
.... ndio maana HOTUBA za WAJANJA, au hata MAHUBIRI tu matamu KIUJANJA  wakikutananayo katika pitapita zao ,...
....KIRAHISI wanaweza kugawa mpaka ROHO !

Swali:
  • Unafikiri UMEJISITIRI?

Ndio,...
.... unaweza kugeuza  mpaka DINI,....
...kukubali kirahisi ukitongozwa ,...
....au tu kujikuta huna MSIMAMO  kwa kuwa yawengine  yanafanya usijiamini  NA YAKO kwa kuwa tu HUJAJISITIRI!

Ni wazo tu hili MKUU!


Hebu OSIBISA warudie-Welcome HOME



Au tu Osibisa warudie tu na-Woyaya



Kabla tu hawahawa OSIBISA hawajasigina tu na ndude - Che Che Kule

Read more...

Wee Nchekeechekee tu! NTAKUCHUMBIA wewee !Ooohoo, we lete utani tu!-Labda ni MKWALA!:-(

>> Friday, June 24, 2011

MKWALA!

Nia ni KUTISHA mtu,...
... na katika tishio hata kwa litamkwalo tu LABDA  ni ``MKWALA´´



MKWALA!
Na kwa kikupiga mtu MKWARA hata kwa waitao hilo bonge la kitu  ``MKWALA``,...

... yawezekana KITISHIO ina maana kuwa ajaribuye KUKUTISHA kwa MANENO labda huyo kivitendo hana NGUVU na ndio maana anakupiga ´´MKWALA``.:-(



MKWALA!


Ntakubabua weweee mpaka mama yako MZAZI  akikuona atasahau kuwa aliwahi kukuzaa;...
... labda ni :``MKWALA´´.:-(

Kaa kimya  la sivyo unavunja SHERIA za SERIKALI ya TANZANIA!Nyooooo!(bonge la msonyo!);...
... labda ni:`` MKWALA´´.!:-(


Wee letaleta za kuleta ! Utafirwa (samahani ) wewe UTANAJISIWA lione  dume zima  SHAMBENGA katika  ya wanawake yasiyo mhusu NTAKUBONDA mie na kukuchokonoa na kijiti maeneo !LIONE vile!;...
... labda ni: `` MKWALA´´!:-(

FALA ataka ngumi eeh! Unataka ngumi  eeh? Vuka mstari basi uone kama MWAMBA maana ntakushikisha adabu mpaka utajinyea leo hii kudadeki !
....LABDA ni:`` MKWALA´´!:-(

Swali:
  • Ushawahi kushuhudia mtu akipigwa MKWARA au ushawahi kupigwa MKWARA ukastukia ni MKWALA tu?
  • Kwani hujui MKWALA/mkwara  ni nini?




LAKINI labda SAA nyingine ni muhimu KUKUMBUKA,...
......asiyekupiga MKWALA na wala kukutisha kwa hata jinsi akukaribishavyo kwa ahadi za PIPI chumbani, darasani, migombani ,KANISANI,  maktaba, kwa mama ntilie, MSIKITINI,...
... au tu pale POPOTE  ambapo  ndipo  USIPOTISHIKA,...
... labda huyo ndiye wa KUMUOGOPA kwa kuwa ndiye  AFANYAYE  VIBAYA  WATU hata kimdudu kwa vitendo KABISAA halafu wakati wewe umetulia kabisa  wakati ukipokea UJUMBE mzima  ukifurahia KIKILO TANI FULANI   kwa kuuelewa au kibulungutu LOTE hata kama ni lile la KUNENGULIWA au lile lijalo kwa  ule UTE au UJIUJI,...
... na na  labda  HUYO ndiye HATARI na ndio maana hahitaji tishatoto za manenomaneno  KIMKWALA kwa kuwa yeye kuanzia kiudanganyifu mpaka ufisadi wa ngono na sio tu ule wakulia katika ofisi za bunge ,...
...yeye HUFANYA na sio kupiga tu MKWALA wa neno!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na kutoelewa RUKSA!:-(



Ngojea Levert wabadili wazo kwa - Casanova



Halafu Black UHURU waingilie kwa kubadili tena muelekeo wa wazo kwa - World is AFRICA


Au tu Black UHURU wamalizie tu kwa -Happiness



Nipo bado!:-(










Read more...

Kuna baadhi ya wauaji kama RAIS OBAMA hapa DUNIANI hushangiliwa hata kwa kukiri WAMEUA!

Binadamu ni KIUMBE cha AJABU,.....

...na ukimtafutia BINADAMU sababu AU KUJIELEZA  akakuelewa ,...
.... anaweza hata kukushangilia kwa kwenda haja kubwa HADHARANI!


Swali:
  • Kwani unafikiri watu washangiliavyo  MTU  kwa kawaida wanashangilia  NINI?:-(
Hebu tumsikilize OBAMA akikiri kaua ndani ya maelezo yafanyayo ugundue kuwa ukiua na kama unajua kuelezea sababu labda jamii haikuchukulii tena kuwa ni MUUAJI....




Swali:
  • SI ukitoa amri MTU auawe ina maana KITAFSIRI fulani kuwa  wewe UMEUA?
  • Na hivi si inasemekana KUUA ni dhambi eeh?

Ndio,...
...najua kuwa inasemekana ni staili ya kuua na jinsi unavyofikia kuhukumu KIVITENDO MTU afe ndicho KIBINADAMU hutofautisha,...


... nani anaua KUTETEA ya MUNGU na nani anaua kutetea ya BINADAMU ambayo kwa BINADAMU labda yote ,...

.... ukicheza karata vizuri KWA KUUA  unaweza kuitwa SHUJAA kwa kuwa HAYO  huweza kutafsiriwa kuwa ni USHUJAA kwa kuwa uliye ua ni kibaka na sio WAZIRI wa UFISADI!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Read more...

Labda kuna MAMBO ni mpaka UYAISHI ndio utajua kwanini labda kwenye familia izalishayo WALOKOLE nako kuna aliyekua na kugeuka MCHAWI!:-(

Ndio,...
.... labda kuna MAMBO ,...
...hayaeleweki kama  cha wengine UJIHUSICHACHO nacho ukweli ni kuwa  kwa kuwa ni cha wengine,...
...wewe HAUHUSIKI!:-(

Ndio,...
..... labda MTU  kujifanya anaelewa sana ya WENGINE mambo,....
.... kama yale ya WADAIO wanajua MTU  kisa kuna kitu wanafananisha na wakijuavyo kikiwagusavyo maishani MWAO ,...
... wanaweza kusahau kuwa swala la   kujifanya wanajua kwa uhakika lile la ni kwanini MALAYA kawa MALAYA wakati  ni mtoto wa ASKOFU labda ni KUJIDANGANYA kwa kuwa labda  HATUA zimfanyazo hata MWIZI kugeuka MWIZI hata kama ni mtoto wa SHEKHE ni VIGUMU kuzijua kama katika maisha ya MHUSIKA  hao wanyosheao mtu kidole kikuhusika HAWAHUSIKI.:-(

Swali:
  •  SI ya wengine hata kama huyo mwingine ni mtoto wako kujifanya unajua kila kitu kwa kuwa ni mzazi -labda ni KUJIDANGANYA?
  • Kwani ukifikiria kisawasawa si utastukia kuwa hata nyumba moja  huzalisha  tabia na mielekeo tofauti ya wanafamilia hata kama wasomayo ni BIBLIA ileile moja?
  • Si inasemekana ni rahisi kuhukumu ya wengine  kwa kuwa si yetu na kivyetu ni vigumu kuelewa hao watu imetokeatokeaje  wametumbukia kwenye kibano ambacho kwetu ni cha kijinga?
  • Si inasemekana kama hujatembelea kiatu cha mtu ukapata kusikia joto alikabilio  labda usihukumu MTU au angalau  harufu mbaya za kiatu cha mtu ?

Ndio,...
.... labda  kuna MAMBO,...
.... ni mpaka UYAISHI wewe mwenyewe ndio utapata jibu la swali ``KWANINI?´´

Swali:
  • AU?

Ndio,...
... labda kuna sababu MAPACHA waliozaliwa tumbo moja na kulelewa sawasawa ,....
... mmoja akawa JAMBAZI asiyependa MALAYA na mwingine akawa MALAYA asiyependa MAJAMBAZI,...
... kutokana tu na KUHUSIKA na yasiyotuhusu na tusiyoyajua  ,....
... kitu kifanyacho kama tutajaribu kutoa jibu la uhakika la ``KWANINI?´´ kisa tunajifanya tunajua jibu ,...
.... labda tutakuwa tunajidanganya!:-(


NI wazo tu hili MHESHIMIWA!
Ijumaa na WIKIENDI njema!

Hebu Angie Stone aingilie kati kwa - No More Rain




Angie Stone Aendeleze- Wish I Didn't Miss You



Au tu sijui kwanini ila ngojea Angie arudie tena -No more Rain

Read more...

Leo katika kumbukumbu: MUNGIKI!

>> Thursday, June 23, 2011


Read more...

Kuwa ulipo SASA HIVI,....

....na BAADAYE ,...
... kuwa utakapo kuwa BAADAYE!

Swali:
  • Kwani HUFIKIRI tatizo kubwa la WATU ni kuwa  angalau KIFIKIRA mahali pale wasipo kuwepo?

Ndio,...
.... inawezekana HAPO ulipo,...
... uko kimwili tu,....
.... kitu kifanyacho ya HAPO ulipo sasa hivi HUYASTUKII kwa kuwa kifikira uko mahali pengine!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Au hebu  Electrik Red waingilie kati kwa - So Good



Halafu HYPNOTIC BRASS ENSEMBLE wamalizie kwa - Fire


Read more...

Ya DUNIA: Voodoo and Vaccines

>> Wednesday, June 22, 2011

Mie chichemi,....


SAMAHANI ngojea nicheme tu njomba,...
...kuna utamaduni unakufa HAPO!:-(

Read more...

Samahani MHESHIMIWA ngojea mie niende CHOONI kukojoa!:-(


Tahadhari MSOMAJI : Wazo LIMEPINDA!:-(


Naanza taralila;....


....Na kwa kuwa kuna WATU wamesababisha choo kidharauliwe,...
.... basi nakokwenda kama ni CHOONI ingawa kila  MTU yoyote anauhakika kila MHESHIMIWA huwa anaenda choooni,...

....ila choo saa nyingine labda BADO  ni kweli  CHOO hujajiwa VIBAYA kutokana na HESHIMA za watu  zisivyoheshimu VYOO labda ni mpaka  HUFANYA kuna WATU kwao HUFANYA kuna  vitu  kama CHOO kwao kwa kuwa ni  visivyo sahihi kwa kuwa huwa wanavioanisha na MPAKA wakumbukavyo wawaheshimuo  WATU WAZIMA ambao WAKIJINYEA hujaribu kufanya iwe ni kama  na sio ni KWELI mtu MZIMA haki ya nani  vile KIUTU UZIMA VILE   kajinyea ,..
... kwao hujaribu kubadili  iwe MHESHIMIWA KAJISAIDIA  na kama MHESHIMIWA KALEWA watadai  tu  kuwa MHESHIMIWA anaumwa kichwa au kalewa tu katika tukio HILO!:-(

Swali:

  •  SI inasemekana HATA PADRE hutetewa na mpaka BIBLIA tukiachilia ASKOFU?
  • SI shekhe hata udhaifu wake labda ni mwiko kuusikia au kuujadili kama unadhalilisha ili kiheshima  zaidi ya SHEKHE hata kama zaidi ya hiyo ni dini ndio kitetewacho??
  • Hivi unafikiri wamuheshimuo MHESHIMIWA wakistukiwa hata kwa bahati mbaya kuwa MHESHIMIWA anafirwa  na katika jamii ya wa  wachukiao wasenge au kama UHESHIMIWA wa MHESHIMIWA utachafua KANISA au tu KITONGOJI kwa MHESHIMIWA kujulikana wajanja wanamuonja sehemu za nyuma   unafikiri WATETEAO UHESHIMIWA  amabao nao ni waheshimiwa watamteteaje?


 DUH!
Labda ngojea niende CHOONI.!:-(

Swali wakati naenda  chooni :
  • Hivi  BADO unasubiria pembeni ya CHOO ili  nitoke chooni?
  • Ondoka basi-Nikijamba je KAMA nikienda CHOONI  wakati BADO unasikilizia nifanyayo  ambayo mengine nafanyia chooni-hivi  kwako ndivyo vitakuhakikishia nilikunya na sikukojoa tu kisa umesikia sauti ya KIJAMBO?

Ndio,...
... samahani waheshimuo WAHESHIMIWA,...
.... kwa kuwa MHESHIMIWA kama hakulalamikiwa NA WEWE  kuwa  ananuka mavi wakati anaingia chooni,...
... labda akitoka CHOONI ananuka bado mavi sio kosa lake na usijifanye ghafla ndio unafinya pua ili GHAFLA TUAMINI umestukia ANANUKA mavi kwa  kuwa labda alikuwa hanukisana wakati anaingia CHOONI kwa kuwa  wakati anaingia chooni  ALIKUWA akinukia mavi ya kuku tu ,...
... na labda ni kosa lako anatoka chooni ananuka mavi ya MTU na MAVI YA WATU saa nyingine  kiharufu yasemekana hayanukii kama PEREMENDE!:-(

Swali kwa MHESHIMIWA:
  • SI unajua mavi ya kuku hayanuki  zaidi ya kinyesi cha MTU hata kama huyo mtu anaendeshwa kwenye bonge la BENZI na sio KIBAJAJI au tukutuku ya staili ya BODABODA?

Samahani MHESHIMIWA,...
... hebu mie niende CHOOONI!:-(

NI wazo tu hili kitaralila  MHESHIMIWA,...
...na naheshima  kwa wenye heshima MKUU!!:-(


Sijui kwanini hebu Samba Mapangala aturudishe NAIROBI ...
.....pale Carnivore halafu adinye -Vunja Mifupa





Sam Mangwana aingilie kati TENA kwa - Maria Tebbo



Au tu Sam Mangwana azime TU  manyanga kwa ndude iliyotuna na kulowa tayari bila kuchezewa ile
- Kabibi


Read more...

YA maisha : MAPACHA!

>> Tuesday, June 21, 2011

Read more...

Kwa kuwa LABDA kelele ni UKIMYA,....

.... kama MTU kaziba sikio!:-(

Swali:
  • SI inasemekana KELELE kwako labda ni UKIMYA kwa mtu asiye na sikio zuri?




Kwa hiyo kama ni KIMYA kwako,...
... LABDA kumbuka kuwa  TEMBO anasikia!:-(



Swali:
  • SI unajua kuna sauti za TEMBO ambazo MTU hasikii?
  • Na si ukifumba MACHO labda  ni wewe tu USIYEONA?

Ndio,...
.... labda kusikia KELELE na kuona YATISHAYO,...
.... ni maswala ya mtu BINAFSI!:-(

Ni wazo tu HILI Mkuu!:-(


HEBU tupumzike kidogo kwa kwenda Brazil tena kufikiria haki za wanawake kujishebedua ni kwa ajili ya STAREHE za akina nani....



Au tu Isley Brothers waisogeze pembeni kidogo kwa-Between the sheets



Au tu The Notorious B.I.G. achezee tena wimbo wa Isley Brothers katika-
- Big Poppa


Read more...

Kuna vipendwavyo kwa MBALI!

Yasemekana hata wapendao  JUA ,....
.... hulipenda kwa kuwa liko MBALI.

Swali:
  • AU?
  • Si ni  kwa karibu ndio anastukiwa anukaye kikwapa?
Ndio,...
... kuna ambavyo vikiwa KARIBU,....
..... waweza usivishangilie YASEMEKANA!:-(

Ni wazo tu hili MKUU!


Hebu Hot Chocolate warudie-You sexy thing



Au tu The Jackson 5 watulize kwa - It's your Thing




Kabla THE ISLEY BROTHERS hawajakatizia denge kwa-Summer Breeze



Au tu The Isley Brothers wamalizie kwa -Who's That lady

Read more...

Unachokiona hata baada ya kumvua MTU nguo KWA MACHO lakini sio KIFIKIRA!

>> Monday, June 20, 2011

Unachokiangalia KAMA sicho UNACHOKIFIKIRIA,...
.....LABDA huoni KITU!

Swali:
  • Unabisha?


Labda UNACHOFIKIRIA wakati unaona kitu ,...
....ndicho UKIONACHO vizuri aisee!:-(

Swali:
  • Si unajua kila siku barabarani  ni mengi uyaelekezeayo MACHO lakini huyaoni kwa kuwa UFIKIRIACHO ni kitu kingine?

Na  MTU ANAVYOFIKIRIA wakati anaangalia kitu,....
...... yaweza kuwa ndicho kipofuacho na kufanya  MTU asikione vizuri ANACHOANGALIA,....
.... kwa kuwa  kama unavyofikiria kuna misingi  mavi ya KUKU ni kinyesi,....
.... unaweza kutoona kinyesi  HICHO cha kuku KIRAHISI kama bonge la MBOLEA!:-(


Swali:
  • Si unafahamu MBOLEA ya mavi ya kuku ukiiangalia tu kama KINYESI ni vigumu kustukia mkao wake wa duka la mzungu liwazi KIMBOLEA?
  • Kwani WATU wanavyofikiria hujagundua ndicho kisababishacho wengi hawaoni hata MCHUMBA mzuri  KWAO aliye mbele za macho yao kisa wafikiriacho hupofua jinsi ya kumuona kuwa kimwana ingawa SANGARA wamo hana na anamatege kwa mbaali ila KITABIA ,akili lukuki na mambo mengine yote mengine  ni MAKSI mia kwa mia kikufaa kuwa MCHUMBA?

Ndio,...
.... unavyofikiria LABDA hupofua hata ni nini UNAKUMBUKA na kukiamini,...
... tukiachilia mbali ukweli LABDA hufanya unachokiangalia kilete maana tofauti KWAKO ile ya KUTOLETA MAANA  ,...
.... wakati kwa wengine hicho KINA MAANA:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu Winard Harper apige ngoma.
Dr Billy Taylor afundishe muziki ...
...halafu tu ...

Dr Billy Taylor 's Trio wakati Billy Taylor akiwa kwenye piano, Chip Jackson kwenye bass na  watupigie
-  Caravan.




Au tu Papa Wemba aingilie kati na kusawazisha kwa -Show Me The Way

Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP