Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Leo katika NANIHII: Winnie Mandela!

>> Monday, June 06, 2011

Pata tu taralila za MMAMA huyu  KAMA ifuatavyo,....

... kivideo.:-(











Au adakwe tu kihivi ,...















Ndio,...
....HISTORI ni mwalimu fulani pia,...
.... kama ukichagua kujifunza KITU!:-(

Na ndio,...
.... kuhusu WINNIE MANDELA kuna wenye stori tofauti PIA kuhusu yeye.:-(

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Goodman Manyanya Phiri 4:28 am  

Mkuu, sijui kama kampyuta yangu imechoka; lakini sioni hoja yoyote hapa.

Naona tu (tena basi!) maandishi:


"Leo katika nanihii: Winnie Mandela!"


Ningependa kweli kutoa mchango; lakini mjadala sioni kabisa, wala maandishi yake!

Simon Kitururu 4:36 am  

At Mkuu Goodman: Nimeweka tu clips za video ili wengine waongee akiwa pia naye Winnie akiongea! Ndio maana nimekaa kimya zaidi!


Na video zenyewe ni za youtube kwa hiyo kama hazionekani kwako labda ni kompyuta yangu inidanganyayo!

Ila kifupi Mmama huyu na mzimia kwa kuwa stori za maisha yake kwa mtazamo wangu humuweka kibinadamu kweli na ndio maana kuanzia uchafu mapaka usafi wake kirahisi uko wazi kitu ambacho Viongozi wengi ni usafi tu usikikao!:-(

Goodman Manyanya Phiri 2:56 am  

Nitachungulia tena posti hiyo; labda mambo sasa shwari. Lakini maoni yako kuhusu huyo mwanamama yanaitikiwa na dunia nzima, kiasi kwamba Marehemu Doctor Khalid Abdul Mohammed alikasirishwa na talaka aliopewa Winnie. Na akauliza, kama huyo Babu alikuwa na huruma ya kuwasamehe wakoloni nchini humu, huruma hiyo ilikwenda wapi kwa wakati alipostahili kumsamehe mama-watoto wake. Pata hiyo hapa http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=uPRX5bJ261U

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP