Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KUHUSU MDADI usio wa KUDOKOA MBOGA kwa kuwa kuna mwenye hamu ya KUDOKOA MBOGA!

>> Wednesday, June 29, 2011

Ukidadisi kitu,...
.... waweza kustukia LABDA hata kwenda haja kubwa kuna ambao hupata mdadi huo,...

... kitu kifanyacho hata kama hawajabanwa HAJA ,...
... unaweza kukuta bado wanasafari za kwenda MSALANI!:-(

Swali:
  • SI hamu ya kitu si lazima MTU anahitaji hicho kitu?

Na SWALA ZIMA la MTU mzima kupandwa MDADI,...
..... yasemekana ikabidi mpaka hata DINI zikemee MIDADI mingine kisa ni ukweli,...
.... labda kama UMEPANDWA tu MDADI hata kama ni ule wa kutaka sehemu za siri za mwenzio,..
... labda utakacho usipokipata bado wewe utabakia mzima na BUHERI wa AFYA,...
... kwa kuwa MDADI yasemekana hauna maisha marefu na ndio maana UKIRINGIWA sana na akupandishaye mdadi,...
... mdadi hufa kama tu mwenye hamu ya samaki asipopata samaki kisa kala MAHARAGE .:-(

Swali:
  • Katika MDADI ufanyao mtu adokoe MBOGA kama hafanyi hivyo kwa msukumo wa NJAA si unajua labda kwa kutodokoa mboga labda baada ya dakika ishirini anaweza kusahau alikuwa kapandwa mdadi wa kudokoa MBOGA?
  • Umeshawahi kupandwa MDADI hatalafu ukautaimu kucheki unaishi kwa muda kgani kabla hujasahau kuwa ulikuwa na MDADI hata wa mawalimu wako DARASANI kisa mdadi uliamshwa na atingishavyo tako wakati anafuta ubao?

Ndio,...
.... kama hauna addiction na kitu/ huujadakwa kiugonjwagonjwa vile katika matakwa yako ya kitu,...
.... labda MDADI hata wa pombe ni kitu kipitacho tu kwa kuwa hata aidia ya kwamba unahitaji POMBE ukiilia kobisi kwa dakika kadhaa unaweza kusahau kuwa ulipandwa sana MDADI wa pombe!:-(


NI wazo tu hili MHESHIMIWA lililopinda na usikonde!:-(








Hebu Onyeka Onwenu arudie - Ekwe




Manu Dibango aingilie kati kwa -SUPER KOUMBA



Au tu MANU DIBANGO aisogeze  pembeni kwa kinu-Lady



Kabla  tu Fela KUTI hajamleta tena origino -Lady

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP