Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati tunashuhudia USHENZI wa jamii ya watoto!

>> Monday, January 31, 2011

Labda moja ya kisababishacho watoto ni WASHENZI,...

... labda ushenzi wa TOTO sio kitu KIPYA kwa kuwa  labda  dalili za SHENZI zipo tu  hata kwa jamii ya wakubwa waliotengeneza MITOTO!:-(




Swali:

  • AU?


Naendelea kuwaza!....:-(


Hebu MOMBASA ROOTS wapige krosi kwa-Kasha Langu



Mombasa Roots waendeleee kukuna kidude kwa - Msa Mombasa


Au tu Boyoyo Boys wamalizie mashambulizi kwa - Dube Station

Read more...

LABDA ogopa KUKUBALIWA kila kitu!

KUKATALIWA kitu,...
....nasikia ni moja ya kifanyacho aliyekataliwa KUANZA upya!:-(


Na labda ogopa kukubaliwa kila kitu,....

.... kama kwa kukubaliwa kwakutuliza mshawasha mpaka kwa sababisha  ni vigumu kustukia labda wahitaji  kujifunza jambo JIPYA upya!:-(

Swali:
  • AU?

Naendelea kuwaza!:-(

Hebu tumsikilize MWANAHAWA katika -Tutabanana Hapahapa



Au tu ngojea tena Safari sounds band wadinye tena -MAMA LEA MTOTO WANGU

Read more...

SABABU labda KITUMBUA kinaitwa KITUMBUA, na sio CHAPATI .....




....ingawa LABDA KITUMBUA na ANDAZI sio tofauti sana ,...
.... ingawa MAANDAZI bado katika mfanano bado  andazi  laitwa ANDAZI!:-(



Swali:

  •  KWANI  unafikiri ANDAZI ni tofauti sana na KITUMBUA?
  • SI labda hatujui MAANDAZI kwanini kwa KISWAHILI yanaitwa MAANDAZI tukidadavua undani hata wa MAANDAZI hata wakati tufikiriacho ni MAANDAZI na sio KITUMBUA?


Ndio,...
... labda kunasababu PEPSI haiiitwi KOKAKOLA ,...
.... hata MPAKA kinamna nasio wale wasio kinamna WAJANJA,...

... hata wale wenye MPAKA  kuchanganya PEPSI na COCACOLA!:-(


NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA !


Hebu LEADBELLY arudie-Irene Goodnight




Au tu R. KELLY alainishe kitobo  kwa -I believe I can fly


Read more...

WAKATI labda ni KWANINI kitu hadharani KINACHANGIA uheshimiwa wa WAHESHIMIWA!:-(

>> Sunday, January 30, 2011

Moja ya MATATIZO wajitakiayo WATU,...
......labda moja wapo ni WATU kutaka KUHESHIMIWA!:-(


Swali:
  • AU?


Na kwa kuwa kuna siri,...
...zifanyazo watakao KUHESHIMIWA,...
....labda zaweza kufanya  wafikiriacho na wafanyacho WAHESHIMIWA kwa kuwa  sio vya KIHESHIMIWA,...
...  labda hicho ndio MOJA YA SIRI ya kwanini unaheshimu WAHESHIMIWA FULANI,....
....kwa kuwa   kunaaminikika kwa kuwa KAMA hakiko HADHARANI basi  hicho kwa kuwa HATUJUI na tunaheshimu MTU ni cha HESHIMA  HICHO kwa kuwa afanyaye hicho tumeshajijengea ni MHESHIMIWA  hata kama twajua labda  NI MATUSI  MATUPU kwa afanyaye NGONO hata  kwa kuwa kiheshima hicho kikuna UTUPU safari hii hakiitwi kutombana,...
....  hata kama ni kwa kuwa hatusemi  hata hilo KISIRIkwa kuwa kiheshima  ni SIRI.:-(



NA siri ,....
..... labda ndio sababu hata TANZANIA labda ni MASIKINI hata katika kugawia MASIKINI utajiri ingawa,...
....hata kama twajua VIONGOZI  WA TANZANIA na wasio masikini BONGO aka TANZANIA,...

....kwao TANZANIA ni  tambarare ingawa labda HILO NALO wala sio  SIRI.:-(



Siri,...
.....inaweza mpaka KUCHAKACHUA hata  ya MTU,....
....na kufanya mpaka ya MTU ya ukweli ujulikanao NI KWELI ila kwa kuwa NI HESHIMA kufanya kwa sababu hata za kusingizia MAADILI kufanya HATA  tujuavyo ,...
....kiheshima ni SIRI.:-(

Swali:

  • AU?
NAWAZA tu hapa MHESHIMIWA na usikonde MKUU!:-(


Hebu tuhame wazazo tena kwa chupi ivuliwayo na Tippa Irie katika - Complain Neighbour




Au tu Smiley Culture achakachue tena ....

Read more...

Katika KUNENEPESHA kitu na sio TAKO!

Swali:


  • SI unajua  labda unene  ni moja ya UGONJWA?




Ndio,...

... wakati unanenepesha KITU  ,...
... labda KUMBUKA TU  kwa kunenepa  TU waweza kuwa unajitafutia  kwa kunenepa MAGONJWA.:-(



NAWAZA tu hapa MHESHIMIWA!:-(



Hebu Art Blakey na The Jazz Messengers warudie kitu kwa...





Au tu PAPA WEMBA arahisishe kwa-SAI SAI

Read more...

WAKATI inasemekana katika JAMII hakuna wajitahidio kutafuta UHURU hata wa kutumia au kusema wanatumia KUMA au MBOO hadharani!:-(

UHURU ni kitu ambacho wachache ambao hata wanaamini wako HURU,...

... wanautumia.:-(

Na kwa kuwa kuna walioko HURU;...

.....labda uhuru wao  wakati wanastukiwa wako HURU ni pale tu wakati ghafla wanatuambia maoni yao kisa Simon KITURURU kaonekana hadharani akitamka anapenda KUMA kama wao tu labda wapendavyo MBOO,...
....
.... hata kama ni kwa kuwa labda ni TAKO hata  KATIKA kunyegelesha watu HAO katika kunyegeleshwa  ndio wanacho tumia.:-(



Swali:

  • Kwani unafikiri kama matumizi  yako ya CHOO ni choo kukojolewa au KUNYEWA kwani bado sio kweli labda CHOO kina haki YA kupuliziwa mpaka PAFYUMU hata kama ni kwaajili tu ya baaada ya KUNYA  waiokunya wakati huo labda wakihusishe CHOO na harufu nzuri?

Ndio,...

...wakati kuna  WAJITAHIDIO  kupata UHURU angalau hata wa kunya choo kimoja na  MABOSI wao,...
.... LABDA kuna wasahauo kuwa kuna ambao LABDA wananyanyasika na mpaka ,...
.... KWA KUNYANYASIKA wamefikia mpaka KUAMINI  kuwa haki ya KUNYA PEMBENI YA CHOO bado umuhimu wake  sio ule wa kunya ,...


...... kwa kuwa kutokana na yote waliojifunza  KIHESHIMA ,...
....umuhimu  hata WA aliobanwa haja kubwa ni CHOO na sio KUNYA.:-(


Swali:
  • Unabisha?
  • SI inasemekana labda ni kweli labda hata wasiotumia KUMA na MBOO kama tu watumiao KUMA na MBOO na tundu la TAKO PIA   labda sio muhimu kuongelea KUMA na MBOO kwa kuwa labda kiheshimiwa kuongelea siasa  au udaktari ndio  utajulikana una akini na ndio boma la KITU kiheshima?

Ndio,...
... nawaza tu hapa MHESHIMIWA hata kama  kiuheshimiwa wako  sio heshima kutamka KUMA na MBOO hadharani.:-(

BASI tubadili wazo kwa utoko wa asiye MBWA JIKE wa Paquito D'Riveira katika mtuno wa kidude kisicho na utoko- To Brenda With Love





Au tu Koffi Olomide akatizie denge kwa-STAND BY






Bado,....
....nipo:-(














Read more...

Wakati NADOKOA maswala ya KITIMOTO yalipozaa swali la Prof. MBELE kuwa: Je, kuku wa kienyeji ni wa kienyeji kweli?

>> Saturday, January 29, 2011




KUKU wa kienyeji siku hizi TANZANIA kama hutaki kustukia labda inawezekana ni KUKU wa KIZUNGU  ,....
... labda inabidi  umdadavue KIVIPENGELE  BONYEBONYE KWELI ili ujue kwa kuwa  sio MUARABU labda NI KWELI   muonekano wake  ambao MPAKA  hana nywele za kipilipili  sura YA BINZARI  hata kama  sio MSOMALI,...

...labda  kibidii fulani za kutafuta atakavyo tumuone yeye kikwini  ni  bonge la  KINGI .:(




Na labda KUKU wa kienyeji KIAFRIKA siku hizi,...
.....labda ni yule ambaye hujui HATA nywele zake za kienyeji  ni zipi ,...

.....kwa kuwa LABDA  kachoma nywele au tu kaongezea nywele za MHINDI katika USUSI , .....


...na labda wakati ana nywele zisizo za KIZUNGU ,...
....bado kavalisha kichwa  WIGI.:-(


Na KUKU,...
...wa kienyeji  siku hizi,...
.... labda hata kumdaka  inahitaji usasa kwa kuwa  hata matembezi yake  UKIKAA KIENYEJI utakacho watu waelewe kuwa ni ``NAZITAKA  mbivu hizi´´,...

... kama wewe SIO mwenyeji  kwenye tobo LABDA  unawezakuta  KIGUNZI  na labda kweli ndicho katika kuzuia watamanio ``NDIZI MBIVU´´ gunzi kwenye tobo laweza kuwa katika kuzuia MENDE ASIINGIE ndio  ifanyayo kazi ya  KISIGI.:-(


Swali:

  • AU?


SAMAHANI  hebu tuanze TENA ni nini  kilichonipindisha mawazo kutoka kwa Prof. MBELE  katika  chombo cha ujumbe kiitwacho-`` KITIMOTO´´


......ambacho kipo HAPA








Au tupate tu mdadavuo uliofanya kutoka topiki yenye kichwa cha habari `` KITIMOTO´´ kimefanya mpaka nimefikia hapa,...

.....na kabla  ngojea niombe MSAMAHA kwa kumuhusisha mtu  bila kuomba ruhusa,...


SAMAHANI Profesa MBELE kwa  kuanza mbele bila ruksa na baadhi ya vitu nguli nilivyotoa kwako HAPA ambapo ni kijiwe nikihusudishacho sana tu!:-(

 ...ambavyo ni:




Blogger SIMON KITURURU said...

Naombea tu nyama zetu zisiingie magonjwa ya ajabu ajabu TANZANIA kwa maana tutapukutika sana tu!

Kwa maana kuna udhaifu sana katika kukagua usalama wake. Na kama magonjwa kama yale ya kichaa cha ng'ombe na mengineyo yakianza kutawala Tanzania cha moto tutakiona kwa kuwa sidhani kama kuna mzoga utatupwa na kuchomwa uteketee kama wafanyavyo wenzetu nchi tajiri.:-(

Na nasikia mpaka CHIPSI ni kawaida kabisa kutumia mafuta ya transformer za umeme kwenye vikao vingi tu.:-(

January 27, 2011 8:20 PM

Blogger emu-three said...

We acha tu, na watu wanavypenda kuila hii nyama ya nguruwe...kwanza ina mafuta mengi...halafu ...oh, ...na wengine sasa wanaila kwa `ushabiki'..tuangalieni na afya zetu kwanza, mafuta mengi ni hatari!

January 28, 2011 12:48 AM



Blogger SIMON KITURURU said...

Nakubali kuwa kuna mapungufu katika vyakula UGHAIBUNI kutokana na makemikali na nakadhalika lakini angalau wenzetu wanajinsi ya kufuatilia. Sisi kwetu mpaka uoteshaji wa mazao unageuka siku hizi.

Makemikali hata Tanzania yamebobea, mbolea za chumvichumvi nk. Kwa hiyo unaweza kukuta unakula kitu ambacho unazania ni freshi na hakina kemikali lakini kinazo.

Nakumbuka kwa mfano shamba letu la mahindi Songea kabla Baba yangu hajaliuza ilifikia bila mbolea za chumvi chumvi hupati kitu na pia hata kulima nyanya ilikuwa madawa kwa kwenda mbele.


Nachojaribu kusema ni kwamba Tanzania haina usimamizi wa afya za watu katika mazao na vyakula viuzwavyo. Magharibi pamoja na makemikali yao angalau wana institutions zinazofanya kazi kila siku kujaribu kukabili hali!

Ila mengine nakubali kabisa ulicho sema.


Narespond hivyo kwa comment hii hapa chini ambayo niliidaka hapo kabla halafu sasa siioni ambayo ni :


``Napenda kuwamegea kidogo uzoefu wangu, nikiwa mzoefu wa u-Swazi na mteja wa kuaminika wa kitimoto :-)

Mkaanga kitimoto ana wateja wengi ambao ni wateja wa kudumu, watu wa karibu yake, kuanzia marafiki, na pengine ndugu. Anawafahamu; anawapenda na kuwajali sana. Ana uchungu nao. Hawezi kuwafanyia jambo la kudhuru afya zao, labda iwe bahati mbaya au kutojua.

Yawezekana akatumia mafuta ya transfoma, kwa kutojua madhara yake. Lakini akielimishwa, naamini ataacha, maana hawezi kufanya kitu kwa makusudi cha kumdhuru ndugu yake, rafiki yake, au shangazi yake anayekuja kula kitimoto hapo.

Kama ni vyakula bomu, ughaibuni ndiko kwenyewe. Kuku wanalishwa kemikali wakue upesi. Matunda yanakaa "supermarket," hadi kupoteza thamani yake kwa afya ya binadamu. Lakini yanamwagiliwa maji ili yaonekane "fresh." Lakini ni matunda bomu. Na kadhalika.

Tofauti na kitimoto, wanaoandaa vyakula ughaibuni ni makampuni ya kibeparti ambayo lengo lao ni kuchuma pesa. Hawamjui mteja.

Na sasa hao mabepari wasiotujua wametua Bongo na "supermarket" zao zenye kuku kutoka Brazil, vikopo au vipaketi vya juisi ya machungwa vilivyofungashwa Dubai, na kadhalika.

Na wa-Tanzania walioenda shule sana utawakuta kwenye hizo "supermarket." Shule imewaharibu; wanaamini kuwa kwenda "supermarket" ndio maendeleo.

Mimi napendelea u-Swazi. Ukikatiza mtaa kama unavyoniona kwenye picha hapo juu, unakutana na mkokoteni umebeba maembe yaliyoteremka leo leo kutoka Morogoro, au unakumbana na genge panapouzwa machungwa yaliyoshuka asubuhi hii kutoka Msoga kwa Kikwete :-)´´

January 28, 2011 7:07 AM



Blogger Mbele said...

Lo, ndugu Kitururu, kumbe makala yangu uliiwahi hivyo, maana niliiondoa ili kurekebisha pale nilipotaja kitabu, lakini nimerejea tena nikaona umeshaniwahi. Sasa basi, sitaiweka tena, maana itakuwa ni kurudia hicho kipande ulichokinukuu.

January 28, 2011 7:20 AM



Blogger SIMON KITURURU said...

@Prof.Mbele: Mtandao unatisha! Yani uki press tu send kitu mtandaoni jua kuna mtu labda kashakidaka!:-(

January 28, 2011 8:06 AM




Blogger Mbele said...

Ndugu Kitururu, ni kweli unavyosema. Na wewe ni msomaji makini kuliko kawaida. Samahani kwa usumbufu niliosababisha kwa kuondoa makala na wewe ukakuta patupu :-(

Lakini mada yenyewe ni muhimu sana, na hayo unayosema, kwamba kemikali na matatizo mengine yameshaingia Bongo ni ukweli.

Inatisha, maana sasa suali linakuja: Je, kuku wa kienyeji ni wa kienyeji kweli? :-)




Na yote yalianzia kwenye shule  hii aliyokuwa anatoa Prof. J. MBELE  ,...

....kama kawaida yakeWAKATI anafundisha wale wafikiriao hawako DARASANI kama:...

Kitimoto

Neno kitimoto ni maarufu Tanzania. Kitimoto ni nyama ya nguruwe; inapendwa sana katika mabaa na sehemu zingine. Ubora wa kitimoto ni kivutio kwa wateja na neema kubwa kibiashara kwa wenye baa. Hapa kushoto ni sahani ya kitimoto ambayo niliinunua kwenye baa moja Sinza, hatua chache kutoka Lion Hotel.

Ninapokuwa katika miji kama Dar es Salaam, napatikana mitaa ya u-Swazi, kama inavyoonekana katika picha hii, iliyopigwa Sinza, bondeni ukifuata barabara inayopita mbele ya Lion Hotel. Kwa wale wasiojua, neno u-Swazi linamaanisha sehemu wanazoishi wananchi wa kawaida.

Hapo kushoto kuna baa na sehemu ya kitimoto ambapo nimeshakuwa mteja mara kadhaa. Picha hii inaonyesha jinsi mwenye kitimoto anayotangaza biashara yake. Tofauti na zamani, anaweza kuagiza nyama kutoka bucha kwa kutumia simu, na anaweza kuchukua oda za wateja kwa simu pia.


Pamoja na umaarufu wake, kuna hisia tofauti, michapo, na utani kuhusu kitimoto, mambo ambayo yanaweza kufanyiwa utafiti kama sehemu muhimu ya utamaduni wa leo wa m-Tanzania.













Sasaaaaa!....

...bado ,...
....SWALI alouliza Prof. J. MBELE :
  • Je wewe unafikiri ``Je, kuku wa kienyeji ni wa kienyeji kweli?´´:-(
  • Hivi kuna uwezekano KUKU wa KIZUNGU au angalau aitwaye ni wa KIZUNGUsio wa KIENYEJI  kisa kakua haraka, hana tako  au tu kimuonekano hajakomaa sana hata katika kukomalia SHUGHULI, - samahani hivi ni kweli kuna KUKU asiye wa KIENYEJI?



Hebu Roy Ayers na Erykah Badu walainishe katika kubadili matusi kwa - Searchin'







Au tu ZAP MAMA amalizie TU  na kinu NYAMANYAMA kilichobenjuka tayari  kiitwacho -RAFIKI

Read more...

SHENZI rais NYERERE, shenzi rais MWINYI, shenzi rais MKAPA, na SHENZI RAIS dokta KIKWETE!:-(

>> Friday, January 28, 2011


Lakini ,...
...wakati KUNA WAFIKIRIAO natukana WAHESHIMIWA ,...
.. kwa kuwa nimeandika ,...



   ``......
.....SHENZI Juliasi NYERERE, shenzi alihasani MWINYI, shenzi rahisi MKAPA, na SHENZI dokita KIKWETE!´´       ,....
... labda kwa kuwa wao ni SURA tu ya JAMII ya WATANZANIA,...

...wait a minute,...


.......KWANI hivi ni kweli MAPUNGUFU ya jamii ya TANZANIA ni makosa tu ya VIONGOZI wa TANZANIA?
Ndio,...
....Lakini bado INASEMEKANA ,....
....KULAUMU  au KUTUKANA kwa kawaida NI kutamu kama alaumiwaye NA ANAYETUKANWA  ni mtu mwingine tu !:-(




Ndio,...


... bado ni kweli NAWAZA TU hapa na kwa bahati  MBAYA wakati nafikiria mchango wangu kwa TANZANIA ni nini,...
.......hasa wakati najua MCHANGO WANGU hata kwa NDUGU ZANGU labda ni mdogo sana,....

.....bado najiuliza:


  • Kwani ni vibaya hata wewe ukifikiria LABDA SIO KWELI kila tatizo ni la wengine na wewe labda umechangia HATA KIDOGO angalau   HATA KATIKA kusababisha UMENASA BADO KWA mpenzi wako mwenye  sura MBAYA ila mtamu  au YULE mwenye  sura nzuri ila SIO MTAMU?
Ndio,...
... labda kuna nafasi za watu ZIWAPAZO nguvu zaidi ya kutoa MCHANGO MKUBWA zaidi hata kwa IBILISI,...
.... lakini bado ni kweli kiadoado  hata wasio na nguvu wanaweza kuchangia yasiyokaa mkao wa KIIBILISI!::-(




Swali:
  • AU?
  • Ila MCHANGO MKUBWA na mdogo  unafikiri ni kitu  BINADAMU awezacho kujua wakati tunajua  kuna michango isifiwayo kuwa ni mikubwa ambayo haichukui muda kuna kitu kina bumbuluka kuwa ilikuwa MICHANGO USHUZI MTUPU wakati michango midogo midogo kama ya kumchekea mtu ikaokoa maisha ya mtu kwa kumfanya mtu  afikirie angalau anasababu za kuishi kwa kuwa  angalau bado wajanja wanamchekea au ile ya kumpa tu mtu UBUYU na hata sio KEKI  ambayo ikasababisha muuza UBUYU aendelee kuwa na kazi?



Ndio,...
.... kuna mchango mpaka  WA michango midogo kweli kama michango ya vielea ndani ya shahawa ,...
.... ambayo HAKI YA NANI HATA UKICHUNGUZA kwa kuwa HUNIAMINI utagundua kuwa  huzaa SAA NYINGINE NYINGI bonge la  uwezekano wa BONGE la MIMBA!:-(




Na samahani  WAHESHIMIWA hasa  NYIE akina NYERERE kama mmenuna kwa kuwa nimetanguliza SHENZI mbele ya MAJINA yenu!:-(




Nawaza tu hapa MHESHIMIWA kwa staili ya UjingaBUSARA.....
Na hebu tuhame BASI wazo  MKUU nisije kupandisha mtu jazba bure !:-(


Na hebu EDDY MURPHY atusaidie kulainisha kwa vipengele kutoka kwenye sinema yake ya COMING to AMERICA kwa kuwa nasikia kuna baadhi ya wajanja vichekesho vya nguli MZEE JANGALA havipandi!:-(

... na kwahiyo,...


...basi BWANA hebu EDDY MURPHY aanze na bendi yake iitwayo SEXUAL CHOCOLATE akiwa kama RANDY Watson katika...




Tuendelee na COMING to America na..



Au tuangalie alichokuwa anatabiri EDDY MURPHY kama ni kweli katika..




Au tu tupate The Randy Watson Experience warudishe ustaarabu na kutuliza jazba za BAADHI ya watu watishwao na neno SHENZI kama tu watishikao TU  na  wale  WATAFSIRIO kuna  uwezekano JAMAA sio MHESHIMIWA kisa kacheua neno  KUMAMAYE !,...   kwa kitu - Hang On In There


Read more...

NGOJEA tubinyebinye mahusiano yaitwayo - ``URAFIKI!´´

Tukiangalia kiitwacho ``URAFIKI´´,...


....LABDA kuna sababu katika URAFIKI  kuna watokeao kuwa/ kuitwa ma- BEST FRIENDS aka MARAFIKI BOMBA,...
..... na  kunaoitwa ``MARAFIKI ´´ kijina tu!:-(

Na URAFIKI  ni neno pana ,...
.....kiasi kwamba limejumuisha mambo mengi mpaka WATU HUSAHAU  kuwa ,...
.... kuna aina nyingi za URAFIKI mpaka  yawezekana ,...

...UADUI labda ni aina moja wapo tu ya URAFIKI,....


.... kama tungeachilia mbali TAFSIRI kama HIZI  kikipengele kwa ung'eng'e  :

``Friendship is a personal relationship shared between each friend for the welfare of other, in other words, it is the relationship of trust, faith and concern for each other feelings. It is a relationship of mutual caring and intimacy among one another. A friend is one who knows you as a person and regards you for what you are and not what he or she is looking in a good friend. Best friend is one who accepts the good as well bad qualities of his friend and also takes an initiative in correcting and mending them. Friendship is a distinctive kind of concern for your friend, it is a relationship of immense faith and love for each other. ´´kutoka hapa

Yenye tafsiri kwa lugha fasaha :``UFRENDI ni uhusiano wa wadau ambao hata kama mambo sio BIYE bado  wanapeana shavu  kisela kwa lugha nyingine  -ni uhusiano wa wadau ambao WAKO TAITI YANI ile KINOMA , kuaminiana freshi, kusikilizia  maswala ya mdau AMBAYE  mambo sio mswano kinaeleweka YANI . Ni uhusiano  ambao mtu hananoma yani na mipangilio ya mtu mwingine  katika kukamatia hata ambayo si kila MCHIZI  anaona ni freshi  .

Mtu ambaye  anamchukulia MDAU  freshi tu vilealivyo na sio kumzingua kwa kuwa anahisi mdau kuna mambo ajichanganyayo nayo sio BAB kubwa  kiufrendi - yani ukienda mbele sendema MDAU yuko TAITI tu na wewe na UKIRUDI nyuma SENDEMA tu  kama kawa ingawa kiadoadao anaweza pia kuwa anatonya kiadoado  mtonyo kwa FRENDI kuwa  kuna maswala ni NOMA  yani kujipinda nayo KWA SANA kwa kuwa yaweza sababisha asali kuingia CHUMVI chumvini yani.´´


.....kwa kuwa labda neno RAFIKI ,...
... laweza kuwa ni miongoni ya maneno ya KISWAHILI ambayo hutumiwa hovyo kuliko yote hata katika kuashiria yasipofaa kutumika,...
....kwa kuwa kuna  yafikiriwayo afanyaye ni RAFIKI wakati ni adhaniwaye ni  ADUI ambaye ndiye bingwa wakumfanyia MTU .:-(

Swali:
  • Kwani huhisi kuwa LUGHA ya kiswahili inamapungufu sana ya maneno na pia WATUMIAJI wakiswahi  huzinguka na maneno  sana tu YA KISWAHILI  ndio maana unaweza kukuta pahitajipo  kutumika neno MWIZI kuna waridhikao  kutumia tu neno FISADI?

Samahani!
Ngojea basi tuanze tena UPYA kuangalia hiki kitu kiitwacho  ``URAFIKI  !´´




Mbinyo wa kwanza kimtazamo:


 Kama una marafiki wawili ,....
.....labda  WEYE  una urafiki wa aina MBILI,....
..... na kama una marafiki sita ,...
.... weye unaurafiki wa aina SITA!:-(


 Kama una MARAFIKI mademu hao ni marafiki zako tofauti kabisa na MARAFIKI zako wa KIUME.


Na  labda ni tatizo kama MTU atajaribu kutaka neno URAFIKI,....
.....liwe na maana moja kwa kuwa hakuna MTU mwenye marafiki wawili SAWA.

Na rafiki wako wa KIKE  hawezi kuwa sawa na rafiki wako wa KIUME,....
.... hasa tukizingatia kuwa  inajulikana kuwa kwa kawaida  HATA kwa sababu za KIBAOLOJIA,...
..... wanaume na wanawake ni tofauti ,...
... na JINSI wanaume waingiavyo kitu kichwakichwa KATIKA kufikiria kitu  ni tofauti na jinsi ya WANAWAKE katika ndude hiyohiyo wakaavyo mkao wa kukidadavua.

Swali:
  • Unabisha?




Mbinyo wa pili kimtazamo:




Na kama wewe ni MZAZI,...
.... labda jaribu kuwa MZAZI na sio RAFIKI kwa watoto wako,....
.... kwa kuwa mwisho wa siku ni MZAZI ahitajikaye kwa watoto wake na sio RAFIKI.


Na kama wewe ni MZAZI ,...
... kamwe MTOTO wako sio rafiki yako hata kama ni neno URAFIKI ndio  mnaita  mahusiano yenu  na ndio mmechagua  KUAMINI.

Na ingawa  kuna wadaio kuwa ni bomba WAZAZI  kutafsiri ni URAFIKI MAHUSIANO YAO NA WANAO aka watoto wao,....
......tatizo hujitokeza kwa kuwa wengi hawatofautishi URAFIKI ni nini kitu kiwezacho fanya URAFIKI wadaio watoto na wautambuao watoto ni ule waufananishao na urafiki wao na watoto wenzao kitu kiwezacho kufanya ,...

.... MZAZI aitwaye kuwa ni rafiki na watoto wake kuwa ni yule ambaye,....
.... labda  kuna kitu kama MZAZI anakiruka ili watoto wamfananishe na marafiki zao kitu ambacho madhara yake yapo tu.

Swali:
  • Unabisha?
  • Unauhakika na neno URAFIKI linamaanisha nini?






Ngojea tupate hoja kwa kutazama mahusiano ya MBWA na moja ya wamiliki MBWA ulaya katika mbenjuo wa hoja:

Katika tembea tembea zangu nchi za MAGHARIBI mara KEDEKEDE nimekutana na familia ambazo zinawafuga MBWA na kuwa na mahusiano na hao MBWA kama vile hao MBWA ni BINADAMU.

Na utakuta wengi wawachukuliao MBWA kama vile BINADAMU  mwisho wa siku hujikuta wanatafuta mpaka MAKOCHA wa MBWA aka DOG BEHAVIOR SPECIALISTS kisa hao MBWA wanawashinda kitabia. Utakuta nyumbani kwa MTU lakini ni MBWA katawala na  kama MBWA hataki mlale kitanda kimoja basi ndio itakuwa hivyo,...
....na kama MBWA hataki wageni basi wageni MWIKO hapo nyumbani na vikorokocho vingine kibao,...
...kisa tu MBWA mmnyama ambaye kazoea kuwa na KIONGOZI  hata katika kundi la MBWA kachukua nafasi yake ya uongozi katika kundi  na kuwa PACK LEADER aka kiongozi wa kundi la MBWA.:-(

Lakini kuna njia ya kuwa na urafiki na MBWA bila kugeuza mahusiano ya MTU na MBWA yawe sawasawa na ya MTU na MBWA.


Tukirudisha boli kwa watu ,...



Na labda MZAZI awe MZAZI kwa mtoto na urafiki  wa MZAZI na MTOTO ubakie kuwa ule wa MZAZI kubakia MZAZI MLEZI na mtoto  abakie kutafuta uzazi wa mzazi na sio kufikiria ni POA kwa kuwa MZAZI  mambo zake yanafananafanana na ya marafiki zake.

Swali:
  • Na si nilishaongelea uwezekano wa  HAKUNA mtu MWENYE MARAFIKI ambaye ana urafiki na watu wawili tofauti ambao uko sawa?


HITIMISHO kimbinyo:

Kama ilivyokuwa BINADAMU wote ni sawa lakini si sawasawa,...
.... tukumbuke kuwa kila RAFIKI  ni tofauti ,...
.... na labda neno lenyewe ``URAFIKI´´ linamapungufu kwa kuwa labda mpaka UADUI ni aina tu ya URAFIKI hasa kama UADUI  wako na mtu ndio unakusaidia  katika YAKO ya kupiga hatua mbele hata kama ni kwa KUJIHAMI .:-(




LUGHAA!
NI WAZO TU HILI LA CHAPUCHAPU  libinyalo hapa na pale KIMBINYO chapchap tu MHESHIMIWA  na usikonde kama kunaeneo halijabinya sana HASA KUTOKANA na LUGHA nitumiayo HAPA  kuhangaika sana na nachofikiria!:-(
Ijumaa na WIKIENDI NJEMA MHESHIMIWA yani!


Hebu KRS 1 apige krosi gemu kwa -A FRIEND






KRS 1 aingizie kitu katika- You Must Learn




Au tu Jeru DA Damaja atulize tu boli  kwa - Ya Playing Yourself

Read more...

WAKATI tunasifia USHUJAA wa KIBANGA ampiga MKOLONI enzi hizo au tu MASHUJAA TU waliopita!:-(

Yaliyopita hata jana tu KIRAHISI watu huyajaji  kwa vipimo vya LEO,...
..... wakati labda VIPIMO VYA LEO  havifai kupima ya ZAMANI kwa kuwa,...


.... labda CHAKUKUMBUKA TU  hataubishe,....
....kuna TOFAUTI kati ya ya JANA na ya LEO,...


..... na ushujaa wa jana na yaliyofanya MTU huyohuyo kuwa shujaa JANA,....
...vinaweza kuwa na UHUSIANO na yaliyokuwepo tu JANA,...
...kwa kuwa KIBANGA aliyempiga mkoloni  HAPO ZAMANI   au tu MTU HUYOHUYO  wa JANA angekuwepo  LEO,...
.... yawezekana kwa mazingira YA SASA au  yaliyopo tu LEO  ,...

...labda HUYO SHUJAA asingefanya LEO YALE YASIFIWAYO kama USHUJAA asifikao nao LEO  ,...
... kwa kuwa LEO labda angetoka BONGE la baruti kwa kuwa leo  kuna kitu tofauti ambacho chaweza kusababisha MTU yuleyule ALIYEFANYA KITU JANA ,...
...asifanye kitu LEO kama JANA kutokana na yaleyale yaliyojitokeza JANA.:-(

Swali:
  • SI unajua mengi yaongelewayo kuhusu nyakati ZILIPENDWA ni yakufikirika ZAIDI YA UHALISIA  na ndio maana MAREHEMU kwa kawaida hukumbukwa alikuwa MTU MZURI na ya zamani yalikuwa DHAHABU kitu ambacho ukifanya utafiti waweza kustukia LABDA ni ALINACHA TU?


  • Na  si unajua kuna WAKATI  hata mtu mwenye aibu huingiwa ushujaa wa kunya HADHARANI au angalau PEMBENI YA  BASI    kutokana tu na MAZINGIRA ya  WAKATI HUO TU  ingawa hata umshikie kiboko SIKU NYINGINE majanini hanyi NG'O kwa kisingizio anaogopa siafu?

  • Na si si unajua kuna siku hata MBWA KOKO anakuwa SHUJAA kutokana na engo tu uliyombana na atakutoa baruti  ingawa  unamazoea ya kumkimbiza kila umuonapo kwa kujua ni MBWA KOKO huku ukimbwenga mawe ?



Ndio,...
... labda WAKATI na MAZINGIRA yanamchango wake katika ushujaa wa mtu,...
...... ndio maana  kuna aogopaye MUNGU ambaye kuna siku tu na MAZINGIRA  YAKIRUHUSU ambayo atajikuta KISHUJAA KATONGOZA mtu,...
.... na kwa bahati mbaya MAZINGIRA na WAKATI huo labda amtongozaye ambaye kwa kawaida NI BONGE LA MNYIMI  kilokole naye  akajikuta kaingia udhaifu kutokana na WAKATI na MAZINGIRA  na akakubali ,.....
....... na wote hao WAASHERATI wa wakati  mmoja halafu  kwa kiduchu tu ya CHAPUCHAPU   kufanya  WAWASTUKIAO siku hiyo  kubakia na sifa ya aina moja tu ya  KUHUSU  HAO kuwa,....
.... jamaa hao kwa uasherati WAMEFUDHU na kwa bahati mbaya hiyo kubakia ndio sifa yao ikumbukwayo na  JAMII.:-(





Swali:

  • AU?
Ndio,...
.... labda ni wakati tu na MAZINGIRA,....
... ndiyo yaliochangia NYERERE , Kibanga ampiga mkoloni, mpaka MANDELA kuonekana mashujaa,...


.... ingawa hatuwezi kuruka WAKATI huo na katika mazingira hayo ,....
...WALIKUWA WANAJUA NINI kuhusu wafanyalo VILICHANGIA ,.....


...... kwa kuwa ukifuatilia watu kama  MALCOM X mengi aliyokuwa anafanya MWANZO ambayo YALIKUWA YAKITAMBULIKA KAMA USHUJAA  baadaye aliyakana na kustukia ALIKOSEA ,...
..... au tu  kama tu MANDELA wa sasa hivi ambaye ni wakuunganisha watu NA MTU WA DIPLOMASIA   labda asingekuwa na USHUJAA ulioitwa UGAIDI wakati fulani kwa ajuayo LEO na kwa staili zake za kileo ambazo  baada ya kujua kitu zimekaa mkao wa KIDIPLOMASIA ZAIDI ya ule wa KIGAIDI.:-(.

Swali:

  • AU?

SASAAAA,...
.... usishangae siku moja wewe tukikuita SHUJAA kwa utakalofanya kwa kuwa UTATUTETEA siku hiyo kwa kuwa MAZINGIRA, ujuacho  na WAKATI vimejipanga mstari wa kukuwezesha kuruka BONGE la KICHWA ,....
.... hata kama siku hizi inajulikana kuwa kama  KASHESHE LIKIZUKA  weye  kwa kutoka baruti FILBERT BAYI na mbwa koko wote utawaacha nyuma kwa spidi za mbio  mpaka watu wanajikuta wanashangilia  tu -WEWEEE!:-(



NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA na usikonde!!:-(


Hebu Mango Groove na The Sarafina Kids waje Live kwa -SPECIAL STAR




Mango Groove waendelee tu na-ULALE KANJANI



Au tu MANGO GROOVE watulize tu boli kifuani kwa-Right Time To Feel Fine

Read more...

Kitu TOFAUTI kwa kuwa ni TOFAUTI kuna kiwaingizao UOGA!:-(

Lakini,....



...kitu  tofauti  kinaweza kuwa ndio sababu  kuna MTU aliyekwenye ndoa,...
.... anavutiwa kuonja nje,...
... kwa kuwa kila akipigiapochabo anapandishwa ashki ya kujua  KAMA kitu tofauti ,...


.....NI KWELI NI TOFAUTI mpaka LADHA   au TAMUTAMU KUNOGA ni ileile tu  ya kuwa kwa kuwa ni BATA basi kwa vyovyote hata kama ni BATA MWINGINE  na HUYU NI MWEUPE basi ladha yake itabakia kuwa ya BATA TU ingawa bata huyu ni MWEUSI na mwenye matege kwa mbaali na MACHO ya kulegea.:-(


Swali:
  • Ushawahi kujiuliza ni kwanini KITU HICHO HICHO kimoja TOFAUTI kuna mwingine kinaweza kumtisha kwa kuwa ni TOFAUTI na mwingine kikamvutia kutaka kuonja kwakuwa ni TOFAUTI?


Ndio,...
.... labda uliyokutananayo MAISHANI  na  YALE ujuayo TU  yanakujengea misingi ya KUTISHWA , kuwa nyutro au tu KUVUTIWA  angalau kuonja au kuonjwa bila woga kisa ni KITU tofauti .:-(

Ndio,...
.... KITU tofauti na ULICHOZOEA pamoja na UTAMU WAKE kuna mtu anatishika nacho,...
... na labda ndio MAANA  kuna WATANZANIA hataufanyeje watakuambia ni HERI JINI LIKUJUALO halikuli  kidude mpaka KIGUNZI KIKAISHA kuliko JINI LISILO KUJUA ,...
... yote ikiwa ni kujaribu tu kuishi na WALIYOZOEA kwa kuwa YALE TOFAUTI yanatisha.:-(

Swali:
  • AU?
Ndio,..
... kwa kuogopa kitu TOFAUTI,....
.... kuna mpaka WAKRISTO ambao hawawezi kusikiliza ya WAISLAMU ,...
...... WAMASAI wala nyama ambao hawaonji ng'o SAMAKI kwa kuwa ni tofauti,    wa  BONGO FLEVA ambao kamwe wanaogopa kufuata MDUNDIKO,...
... na kwa ujumla kuna WARIDHIKAO TU na YALEYALE kisa wameyazoea VILEVILE ,...
... na hapa wala babu wee mie siongelei  KUWA WAMEZOEA staili zenu za chuma mboga na za KIMISHENARI ndio maana wameridhika nazo na kilichobakia inabidi watafute tamu kivingine  KWINGINE kabisa.:-(


Ni wazo tu hili MKUBWA na wala usipandishe jazba basi MHESHIMIWA !:-(



Hebu Earth, Wind & Fire wabadili kwa kuzibua sindimba kwa kibuyu -Devotion




Au tu Earth, Wind &Fire watulize tu boli pia kwa -Lets groove

Read more...

MDUDU ueleao chinichini kidogo ya kitovu cha HABARI NZURI !

Habari NZURI,....
.... kwa wengi ni ile yenye kitu WANATAKA kusikia.:-(

Swali:
  • Lakini kwani  HABARI nzuri ni kweli ni ile tu NZURI masikioni mwa asikiaye?


Ndio,...
....labda HABARI nzuri kwa mtu bado inamdudu hasa kwa kuwa ni HABARI TU na labda kuna kitu BADO hakijastukiwa mpaka uchokonoe KITU HALISI na sio habari tu  ndio ustukie.:-(

Swali:
  • SI unajua ahadi ya UTAMU mtu aipatayo kwa kuona tu mwili wa bonge la TOTO bado labda totoz pamoja na UKIBONGE WAKE bado lina MDUDU halafu kilawalawa nyama labda bado ni CHUNGU?


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Au tu tubadili ndude na  twende shule kwa kumsikiliza tena Ngozi Okonjo-Iweala akimwaga tena manyanga katika -How to help Africa? Do business there .

Read more...

Mazingira ni SHULE na kuna ujifunzacho tu kutokana na unapokulia!:-(

>> Thursday, January 27, 2011

Ndio,....
.... ukikulia KIJIJINI  kuna vitu tu utakuwa unajua zaidi ya waliokulia MJINI,....
.... kwa kuwa WATOTO wa mjini mazingira yao yanakawaida ya kubobea katika vitu vingine!:-(


Swali:
  • SI unajua watoto waliokulia mazingira yenye wasomi yasemekana kuna mambo huyajua hata bila kwenda kusomea kwenye ziitwazo SHULE?

Ndio,...
.... mazingira ni shule na MTU akikulia mazingira yaliyojaa MALAYA anaweza kujikuta anajua umalaya hata kama hatauita ni umalaya  HASA kwa kuwa kwa huyo mtu itakuwa tu ni MAISHA YA KAWAIDA na ni siku tu nyingine imepita.:-(

Swali:
  • Unabisha?


Ndio,...
..... labda WATOTO wa mjini kutokana na mazingira yao  kuna MAMBO shule yao ndogo,...
.... ukilinganisha na TOTOZ za kijijini!:-(

NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA!:-(


Hebu Asylum wabadili kwa-World's a ghetto






Au tu hebu DONNA SUMMER aturudishe miaka ya sabini tena kwa-I feel love

Read more...

Katika KUFIKIRIA jinsi ya kumtafutia ADHABU atakaye KUJINYONGA!

>> Wednesday, January 26, 2011

Atakaye KUJIUA,.....
......labda si adhabu kwake kuhukumiwa KIFO!



Lakini,....
....atakaye KUJIUA,...
.....bado labda ASINGEPENDA kuuawa na mtu mwingine kwa kuwa kitendo hicho chaweza kumuondolea KONTROO ya staili ya jinsi  ya kufanikisha chake KIFO.:-(

Swali :
  • AU?:-(



NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA!:-(

Hebu tubadili kwa kumsikiliza MOTHER THERESA



Au tuendelee kujifunza kitu




Tuendelee.....





Tuendelee zaidi....

Read more...

STAILI NYINGINE za kucheza MIZIKI hasa YA KIAFRIKA labda haina tofauti na STAILI nyingine za WAHESHIMIWA wafanyapo NGONO!:-(

>> Tuesday, January 25, 2011

MOJA ya kitu kishangazacho katika mahusiano ya vitu VIWILI TOFAUTI  labda ni MAHUSIANO ya WATU,...

..... na  MUZIKI  hata kama hatutagusia mpaka  WATU na  KUCHEZA KWAO muziki.:-(






Swali:
  • Kwani unafikiri ungekuwa HUSIKII halafu  ukaona watu wanacheza MUZIKI usingedhania kwa mara ya kwanza hao ni VICHAA?



NDIO,...
..... SIKU HIZI kuna staili za WATU za kucheza MIZIKI,...
.... kama ukiwavua nguo ,...
.... labda wafanyacho  ni ngono tupu!:-(


NAWAZA TU kwa sauti  HAPA na usikonde MHESHIMIWA!:-(

Hebu tuangalie  watu wakicheza MUZIKI halafu kisiri tufikirie wachezao hawajavaa nguo
wakati nguli  FRESH JUMBE anarudia ndude - AMA ZAKE ama zangu




AU tulainishe kwa kucheki tu kideo wakati  BUJU BANTON anaongelea -BATTY RIDER 


Read more...

Simon KITURURU presents UGONJWA usio MPYA uitwao...: ``UHESHIMIWA!´´ :-(

Tahadhari: [Taralila hii labda NI UJINGA mtupu kwa hiyo shauri zako ukiisoma HII NDUDE   MHESHIMIWA!:-(]




KUNA tafsiri NYINGI nini ni ``UHESHIMIWA´´´,...
.... kama ilivyo kuwa  kuna watu wengi ambao wana MENGI ambayo LABDA  kwa baadhi  YETU  hatujui tu ambayo labda KUNA UKWELI  ndio tiba  ila hatutajua TU LABDA kwa kuwa  haya kwao hayana uhusiano na walichojifunza NAKUAMINI TU HATA KAMA SIO KWELI  kuwa kuna uwezekano TU na sio ni KWELI TUPU kuwa huo  ndio ukweli KUWA huo ndio labda ni  UHESHIMIWA!:-(

NA labda UKIULIZA MTU  labda  kuna tafsiri nyingi za nini ni ugonjwa  au hata kuugua KWA wajisikiao kukuuguza  hata kama hujinyei  BADO na kuhitaji kubadilishwa CHUPI MARA KWA MARA  wakati huo au tu hata ukijinyea bado kuna kitu  wanaweza kujitetea kwa wawaheshimuo kuwa bado weye ni MHESHIMIWA,...
....ingawa kuna TAFSIRI NYINGI za ni NINI  ni UGONJWA ndio maana UKICHAA na maumivu ya TUMBO TU vyote huweza kuitwa ni  UGONJWA,...




.... hata wakati BADO inaweza kuwa  sio UGONJWA inaweza kuwa ndio tafsiri  ya mjanja  ambaye kwa kutofikiria anafikia hata kuhitimisha MSICHANA ALIYE KWENYE HEDHI na kwa bahati mbaya alikosea KIHESHIMA kukiweka vizuri MBELE YA KUMA  kinyonya damu  na damu ikapitilizia mpaka kwenye chupi basi KWA TAFSIRI HIYO,...


..... bado  inaweza kuwa  sio UGONJWA,...
...hasa kwa kuwa UKICHAA na maumivu ya TUMBO vyote huweza kuitwa ni  UGONJWA;...
...hasa ukizingatia ,...
...LABDA KUNA atafsiriye hilo  au mambo kama hayo ni DALILI TU ya ugonjwa,...
... na KWA KAWAIDA KWAKO  ugonjwa ni kitu KINGINE!:-(

Swali:
  • ``UHESHIMIWA´´ kama tu ``UKICHAA´´ hudhani katika engo fulani  ingawa  vyote sio kama ``UTAHAIRA´´ labda vyote ni  aina tu ya UGONJWA angalau KISAIKOLOJIA kwa kuwa tafsiri ya magonjwa ndio ile ile kwa wajanja  KIPINDUPINDU katika  kuharisha na MALARIA vyote pamoja na utofauti wake   kwa  WENGI WENYE AKILI watadai  ZOTE ni aina tu za MAGONJWA?


Ndio,...
....``UHESHIMIWA´´,...
.....moja ya madhara yake ambayo labda ni MOJA YA SABABU HALISTUKIWI KAMA  labda ni aina tu ya ugonjwa angalau KISAIKOLOJIA,...
.... labda NI kwa kuwa kuna mambo wauguao  waheshimiwa   yasiyoeleweka ,...
.... ila   ``UHESHIMIWA´´ na kiheshima moja ya walichojifunza  WASHUHUDIAO na WAUGUAO  ni kuwa KIHESHIMA labda sio HESHIMA kukaa uchi , kujamba hadharani, KUBANJA; ,...


... au tu  kama SIMON KITURURU kuandika mpaka yale waliofunzwa kitu waaminicho ni MATUSI  hasa KAMA HAPA KWENYE BLOGU  hadharani,...



..... ingawa LABDA tukumbuke tu katika vitendo hivyo vya vifikiriwavyo na kushuhudiwa  MHESHIMIWA  ni yule ambaye havifanyi hadharani  ,...
... labda hata katika HILO labda kifanyikacho  kikweli kuna ambaye tu kwa kutaka ajulikane kama ni MHESHIMIWA hata kwa hilo  anajikana tu HADHARANI.:-(




Ndio,.....
... katika ``UHESHIMIWA´´,...


 moja ya  MADHARA YAJULIKANAYO,....
.... ni kufanya WATU kukatwa KAULI   kwa akili kufanywa KUKAA  kimtindio wa  kwa KUTOA kauli fulani  KUWA  hiyo sio HESHIMA,...


..... au tu  kufanya  mpaka URAIS au  tu UKUU WA NYUMBA KUMIKUMI  ndio moja ya kitu kwa mtu ndio cha KUHESHIMIWA kama tu ukuu hata wa kufanya matusi kitandani ufanyavyo kwa afikiriaye kwa kuwa ni mzuri katika uasherati kitandani kuna kitu ANAHESHIMIKA hata kwa siri ambaye HATUMJUI ,...


... na kujikuta mpaka anaishi UONGO kwa   kuwa kwa kuaminisha watu vile afikiriavyo ndivyo vyenye HESHIMA na kuleta``UHESHIMIWA ´´ hasa  katika jamii HII  TUIJUAYO  vinafikia kufanya,...



... mtu kama hajui asikiri HAJUI , mtu kama anajisikia kujamba  HADHARANI asijambe hadharani , MTU KAMA HAPENDI KUWA RAIS WA TANZANINA aendelee kushangilia CCM  au CHADEMA kwa kufikiri vitampa ``UHESHIMIWA´´ kama BIBI TITI  au tu Mheshimiwa RASHID KAWAWA ambaye kivitendo namuheshimu zaidi ya RAIS NYERERE  ajulikanaye kwa kuongea,...


...ingawa  kwa jinsi ``UHESHIMIWA ilivyo labda ni ugonjwa´´,...
....bado inaaminika KIHESHIMA  kuna MTU kutogawa KIDUDE,....


.... hata wakati anahamu ya KUGAWA KIDUDE ili pia naye apewe kidude ambacho kiashki  ya KIKRISTO na  kiuzani ni BIBLIA,...
..... ``UHESHIMIWA´´´waweza kufanya mpenda MBOGA za MAJANI muislamu   akashuhudiwa akila iliashuhudiwe  tu  kiheshima anakula NYAMA YA NGURUWE.:-(




Swali:

  • Unabisha?

Ndio,...
... kutaka ``UHESHIMIWA´´  labda  KINAMNA ni aina tu ya UGONJWA,...
... ambao KISAIKOLOJIA labda ahitajie KUHESHIMIWA ni MGONJWA tu!:-(

Ndio,...
....na kutotaka kuheshimiwa kwa asiyejihisi ni MHESHIMIWA labda ni TATIZO na haki ya nani wala ni  ugonjwa,...

... kwa kuwa labda  mengi yasiyo UKOMA  au tu uke utoao usaha   KAMA TU mboo isiyodinda,...


....LABDA yale ya watafsirio mambo  kwa kutumia akili tu na kufikia MPAKA hitimisho la RAIS NYERERE na familia yake na sio  RAIS MWINYI na familia yake ndio wenye akili nyingi katika familia za viongozi waliowahi kutawala TANZANIA na ambao wanaendelea kutawala  TANZANIA ,...
...
....labda naweza kushindwa kubisha  kwa kuwa KITAALUMA  na KISHERIA ni mpaka uwe na cheti cha DAKTARI ndio kisheria  Simon KITURURU ni kichaa au tu  alizaliwa katika HOSPITALI ya BAPTISTI  MBEYA ndio   kisheria  HATA hii isiwe ni taralali tu.:-(




NALIKATIZA WAZO  HILI hapa MKUU ,....


....na kumbuka hili ni wazo tu   MHESHIMIWA na nakubaliana na  wewe labda hukuhitaji  kunisoma mpaka hapa kwa kuwa katika hata UjingaBUSARA,...
.....labda huu ni UJINGA MTUPU MKUU!:-(




Samahani HEBU ngojea 2 PAC abadili mshawashwa kwa ndude -DEAR MAMA




 2PAC arudie  tena ghafla ndude-CHANGES



DUH! -... ngojea  tu MUTABARUKA aingilie kati shughuli tena kiaina fulani ya kininja kwa...




MUTABARUKA aingilie tena kwa  UNDANI WA KITU CHENYE NDANI YAKE  hasa hata  kwa wajanja HASA  ndani ya  IMANI kuna waaminio vingine hata kama  hivi ki-Spirituality




Au tu MUTABARUKA ajaribu tena kitu katika kutetea  BAADHI YA watu ambao sio miye  ingawa  kunawanifananaishao nao katika  ndude -Dispel the lie

Read more...

Wakati MLIO wa TRENI ni rahisi kustukiwa ni wa treni kwa AIJUAYE treni!:-(

>> Monday, January 24, 2011

NDIO,...
.... kuna wengi  hata kwa kuangalia PICHA YA GARI bila kujua gari ni nini na linamlio gani,....
.....wasingeweza KUSTUKIA gari linaliaje LIKIWASHWA.:-(






Ndio,....
...... ajuaye mtu AKIWASHWA huwa anahaligani,....
... kunauwezekano huyo maishani alishawahi KUWASHWA.:-(


Swali:

  • Na si inakumbukwa mlio wa GARI bado  kwa wajua ni wa GARI bado kuna watakaoshindwa  KUTAMBUA hilo ni GARI gani?






Ndio,...
.... labda ni ajuaye WALI ni nini NDIYE astukiaye  kuna wali unapikwa kwa harufu tu,...
... ingawa vichakani kuna mpaka nyoka wanukiao kama WALI!:-(



Naendelea kuwaza  MKUU,....
....na usikonde kama huelewi nagusia nini MHESHIMIWA!:-(




Hebu FELA KUTI aingilie shughuli kwa-POWER SHOW



AU tu 2PAC akatizie denge nakubadili kabisa mchezo kwa -I Wonder If Heaven's Got A Ghetto






Ndio,...
.....bado nipo!:-(



Read more...

Labda hakuna tofauti kati ya asemaye HADHARANI na asemaye kwa siri CHOBISI kama wote ni BINADAMU ambao hata kama ni siri wote huweza kuwa wanaunganishwa kwa NYEGE!:-(

BINADAMU hupenda  kutafuta tofauti zao,...
..... kuliko kutafuta YANAYO WAUNGANISHA  YAFANANAYO KITU kitu kifanyacho TUSIOJUA WANAFIKIRIA NINI,...


.... ni rahisi kudhania wao ni tofauti na MATATIZO yao ni tofauti.:-(


Swali:

  • AU?
  • HUDHANI ni mambo ya KUDHANIA tu labda ndio siri KUBWA ya heshima yako KWA USIYEMJUA  VIZURI  unajuaye tu kitu kimoja UKIHESHIMUCHO udhaniaye ANAHESHIMIKA?

DUNIANI labda mambo mengi ni YA KUDHANIA TU,...
...... kwa kuwa mwisho wa siku  yeyote MWENYE CHOO labda  hata kama huwa  haonekani akienda CHOONI,...




.... mheshimiwa huyo KAMA  angalau nyumbani kwake ana CHOO,...
.... kuna wakati hutumia muda kunya HUYO na labda kivile tu ambavyo hadharani ingetafsiriwa na  wengine sio KUJISAIDIA HAJA KUBWA kiheshima.:-(




Swali:

  • AU?


NDIO ,...
... hadharani na CHOBISI labda kwa watu hata ukibisha kuna vifananavyo,..
... kwa kuwa labda  bado katika vyote hivyo  kuna BINADAMU alaye na wajua alaye huwa anamchezo wa KUNYA pia.:-(




NI WAZO TU HILI Mkuu!!:-(

Na hebu tuendelee na Bobbi Humphrey katika- Please Set Me At Ease



Bobbi Humphrey  ashambuliae kutoka  kona ya kulia kwa - Blacks And Blues



Hugh MASEKELA arudie-Patience



Au tu FELA KUTI arudie tu-FOGO FOGO

Read more...

Wakati inadhaniwa SIRI YA WOGA inauhusiano na KUJUA!:-(

KUJUA,...
.... labda kuna uhusiano na yatokeayo kwa  KUTOJUA,...
....ingawa  MUOGA ataogopa tu,...
..... hata kama ANAJUA  kuwa maumivu  ya aogopacho wala sio makali hivyo.:-(

Swali:

  • SI DUNIANI  kuna waogopao kwa kuwa HAWAJUI na kuna waogopao kwa kujua KITU?

Ndio,....
.... siri ya  UOGOPACHO hata kile udhaniacho unajua  ni KUJIDHALILISHA,.....
.....yaweza bado kuwa kiini chake ni udhaifu wa UBINADAMU wenye misingi yake katika yale ambayo ni vigumu kwa uhakika  KUJUA yaitwayo KUTOJUA.:-(

Swali:

  • Unafikiri unauhakika unajua?


NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA!

Na hebu HUGH MASEKELA abadili kwa-Witch DOCTOR



Hugh MASEKELA aendelee kwa-The BOY is doing it



Au tu HUGH MASEKELA amalizie tu kwa- FELA

Read more...

KUGUNA wakati TAMU na wakati kuna AGUNAYE wakati CHUNGU au tu wakati ANABISHA!:-(

>> Saturday, January 22, 2011

Kuguna ni KAULI,....
..... na kama unabisha GUNA,...
...... uone kama hakuna atakayeelewa au angalau KUFIKIRIA  kwa kuguna kwako,.....
..... labda  unasikilizia UTAMU!:-(

KUGUNA ,...
..... ni ushahidi hata ule usio NGUNA,...

.... na labda kuna  MTU kwaweza kuokoa mpaka MAISHA YAKE kwa kuhakikishia watu kuwa ingawa hajambi huyo MTU bado yuko HAI na hata kama  hajambi  anapumua  na katika kuishi wakati huo hasikii UTAMU.:-(




Swali:
  • AU?


KUGUNAAAA!:-(




Ndio,...
....ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(






Hebu Banana Zorro aingilie shughuli tu kwa - Zoba





Au tu Tshala Mwana asawazishe tena kwa -Dezo Dezo




Read more...

Kwa kawaida KIMOJA huanzisha KINGINE na HATUA kwa HATUA mwisho wa siku kuna MBUZI anaweza kujikuta na MIMBA!:-(

Ndio,...
.... MAMBO mengi  hayatokei GHAFLA,...
...... na  ni hatua kwa hatua  ndizo  zilizomtoa PROFESA MBELE  shule ya MSINGI na mpaka kumfikisha kwenye UPROFESA,...
...... kama tu  adokoaye MBOGA hatua kwa hatua ziwezavyo  kumfikisha  kuhitimu hadi UJAMBAZI.:-(


Swali:
  • SI unajua  KUFANYA kidogokidogo ndio mwendo wa KUIZOEA hata DHAMBI?


Na ni kwa hatua kwa hatua,....
... ajifunzaye ULEVI atafanikiwa kuwa MLEVI,....
.... MALAYA   atajulia ni akijisikiaje na mahali gani umalaya huwa mtamu,....
..... aliaye ofisini KIFISADI atajulia staili ya kuonekana MHESHIMIWA ingawa mwizi,....
..... au  tu ilivyo kuwa ni kwa  HATUA  kwa hatua  tu siku moja  mtu anavyoweza kufikia KUELEWA mtu asiye MUELEWA kama vile SImon KITURURU!:-(




Swali:

  • AU?
Ndio,...
.... labda si GHAFLA tu Rais KIKWETE  akafikia kuwa RAIS,...
... kama tu  ilivyokuwa sio ghafla  tu ukajifunza nini ni MATUSI!:-(







NAWAZA TU HAPA MHESHIMIWA!:-(
Jumamosi NJEMA MKUU!


Hebu Richard Dawkins adadavue kitu-On Morality




Prof. Richard DAWKINS aendelee kwa ndude- Absolute Morality





COCOA TEA akatizie denge mbadilisho wa wazo na kulainisha  kwa shughuli -Come again





Au tu Gregory Isaacs arudie - Cool Down The Pace

Read more...

Katika kuangalia UBINADAMU kupitia NDONDI!

>> Friday, January 21, 2011

Kuna uwezekano kuna MIDUME na MIJIKE ili MAISHA yawe na MAANA,...

... inahitaji KUDUNDANA.:-(


Swali:

  • AU?

BINADAMU ni  kiumbe wa ajabu,....
....  na  hata wakati wa amani anaweza tu kuwa na hamu ya KUBWENGA MTU hata ikibidi  KUBWENGANA akuite tu MCHEZO!:-(

Nawaza tu kwa SAUTI baada ya kualikwa kwenda kucheki NDONDI!:-(

Hebu DDC Mlimani Park Orchestra wabadili tu wazo kwa kurudia ~ Majirani Huzima Radio



Au tu MARIJANI RAJABU naye arudie-SALAMA

Read more...

Wakati WAMAREKANI wanasali na kuamini MUNGU yuko upande wa MAREKANI na sio CHINA,...

... halafu eti upande wenye nguvu bado UNASHINDA!:-(



Ndio,...
.... pamoja na kuwa  stori za DAVID na GOLIATI zipo,...
...kama huna nguvu  ukamuingia mwenye NGUVU kwa kisingizio MUNGU yuko upande wako ,...
...unaweza kula MKONG'OTO weye!:-(



Swali:
  • Ushastukia mara nyingi ni MWENYE MISULI ndio  mwenye KABALI yenye nguvu hata bila kusali?
  • Na si labda ni BAISKELI itakayoumia zaidi ikigongana na GARI hata iweje vile?

Ndio,...
...labda ya MUNGU tumuachie MUNGU:-(




Nawaza tu hapa MHESHIMIWA na samahani kwa wazo hili MKWECHE!:-(


Hebu QUEEN IFRICA aingilie kati na-NO LOVE AGAIN



QUEEN IFRICA arudie-Below the WAIST






Super CAT ambaye Sean Paul alimuiga staili akatizie denge kwa-DON DADA


Super  Cat aendelee Kunyunyizia-GHETTO red HOT



AU tu SUPER CAT amalizie tu kwa -ALRIGHT

Read more...

KISWAHILI kigumu MPENZI!:-(





Na labda AITWAYE mpenzi,...
...  hana mahusiano  na UPENDO  watu  MWANANA WAZUNGUMZIAO MAPENZI wauhusianishao na  MAPENZI!:-(

NA ukikuna kichwa hasa kama WEWE NI DUME na ukunacho  sio kile KICHWA  cha kule CHINI,..
 ....hasa weye  MHESHIMIWA  ujiandaaye kuita mtu MPENZI,...

.....unaweza kustukia kuwa katika MAPENZI,...
..... labda ni ajifunzacho tu KITU PENZI  awashwaye na kutafuta ni nini TAFSIRI na   ni nini  kuwashwa na kufikia hitimisho anawashwa  hata MDADI kama waitanao MPENZI awezavyo  kustukia kumbe labda mapenzi si NGONO, kupenda, kutombana, KUGOMBANA kwa kuwa unajali, kumkatalia aliyenenepa sana kwa kuwa unafikiria ni ujanja kwa kuwa huli sana na kisiri unafikiria huyo  KUWA MJANJA WAKULA SANA chakula, kumkatalia aliyelewa POMBE , kumpa mlevi pombe, au tu hata  kumkubalia na kumsikiliza aaminiye kuna MUNGU  wakati anaongelea MUNGU kama tu  kwa  demu alioneaye titi lake aibu kukubali anyonywe na DUME ZIMA  chuchu.:-(

DUH!




Kabla sijaenda NAYO  mbali  taralila hii ki - MADINGIRI DI haya  kipare,...
....ki MADUNGURU DU  KIPARE mpaka  mjanja kuchanganyikiwa navyochakachua,...


 SWALI:
  • VIPIIIII?- kwani  hujui kuna wajiulizao; ``MPENZI hivi penzi  lako limetuna MPENZI´´  ?
  • Na si unajua hakuna fomwula ya kugundua  MAPENZI ni nini ndio maana kuna waaminio KUMBWENGA DEMU WAKO ni aina ya kumuonyesha  KIVITENDO  sentensi yako ``NAKUPENDA WEE Mtoto  mzuri wa KIKURYA wee na chuchu yako juu ya TITI  murua sanaMPENZI mama wa watoto wangu  !´´ ?

NA ndio ,...
 ...kuna WASAHAUO kuwa neno MPENZI na MAPENZI,...
...labda sio hivyo kimfanano ndio maana  MPENZI anaweza kuwa MUNGU au MAMA na sio tu yule akupaye KIDUDE  MTU tu kwa kuwa YEYE cheupe dawa na unapenda vimwana WEUPE ki-CHEUPE DAWA  wenye titi jeupe  PE ila chuchu nyeusi TI ,...
...au tu wale  VIJEBA WEUPE kwa kuwa weusi  KWAKO wanafanana na BABA YAKO  na sio karibu kama yule MZUNGU ALIYEKAA KIKUCHUNWA BUZI KIKWAKO ,...
...au wale wakuwekao mkao wa huruma wa kuwagawia kirahisi kwa huruma KIDUDE.:-(




SWALI
  • AU?
Ndio,..
...labda KISWAHILI ni KIGUMU hata katika  MAPENZI  Mkuu,...
... ndio maana hata kutongoza MSWAHILI kwa KISWAHILI ni sanaa,...
... na labda kuna udhaniaye ni mwenye kigugumizi ndio apatiaye kupapasa UDHAIFU wa atongozwaye  na hata asipopewa nafasi ya kukubali labda kisiri anaweza kuwa kashachafua chupi,...




...kama tu labda ilivyo TUDHANIAYE kwa KISWAHILI anasali vizuri KULIKO SIYE KWA SAUTI  labda hiyo sio staili apendayo MUNGU kimnyenyekeo.:-(



NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(
Ijumaa na WIKIENDI NJEMA MHESHIMIWA!:-(





Hebu SADE aingilie KATI nakurudisha ustaarabu  katika kubadili wazo hapa kijiweni kwa - Is It A Crime


Sade aendelee na - Keep Looking



SADE anyuke tena -Smooth Operator


Au tu Vanessa Paradis adinye tu naye tena tamutamu-Joe le taxi




Shenzi !-...., HEBU TURUDI TU afrika KULE angola TENA KUPATA TENA KIDUDE kilichotuna-MARIKA

Read more...

Si rahisi kila wakati MAISHANI hata katika KUMSENGENYA MTU kutoa kitu STEREO!



Kuna vitu vinatoka tu MONO hata katika kusuta MTU,...
... na hata kama mtu angetaka kutoa safari hiyo  kitu STEREO,...
... na KWA BAHATI MBAYA labda ni kwa kuwa tu MTU ni BINADAMU.:-(


Swali:

  • AU?

Kama unabisha ,...
....mpe muda MTU uaminiye kila wakati anatoa kitu STEREO,...
....halafu  kabla hujavamia maswala ,...
....MASWALA ucheki.!:-(


Swali:
  • Si unajua ni RUKSA kubishia hii hoja?
Ndio,...
.... ni hoja tu hii MHESHIMIWA!:-(

NI WAZO TU HILI MKUU!:-(


Hebu Admiral Tibett na SHABBA Ranks warudie- Tell me  WHICH ONE


AU tu SHABBA RANKS na Deborahe Glasgow watie mguu kiatu cha kati  kwa -DONT TEST ME

Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP