Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati KIMAADILI kuna WAKOJOAO pembeni kidogo ya CHOO kwa MAKUSUDI yani na WALA sio kwa KIDUCHU tu yani!!

>> Saturday, March 31, 2012

Na kama akojoaye PEMBENI ya CHOO,...
.... anajua hapo ni PEMBENI YA CHOO,...
....kifanyikacho ingawa bado ni KUKOJOA,...
.... lakini LABDA  kina tatizo jingine KIMAADILI  zaidi ya lile la  KUKOJOA pembeni ya CHOO.



Swali:
  • AU?
  • Lakini na si mbinu nyingine za WASTUKIAO ambao ni WASAHIHISHAO maadili kiwafikirishacho staili za  kusogeza choo kidumbukie chooni bado huhitaji mtu ajisaidie pembeni ya CHOO?


Na aachiaye MSALANI pembeni ya shimo la CHOO,...
.... akumbuke tu afanyacho ni kuachia wengine waingize hicho choo chake SHIMONI hata kama wakati huo kifanyikacho na WASAHIHISHAO shughuli atakuwa HAKIONI!


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na wala siongelei ya CHOO  kama CHOO!
JUMAMOSI MWANANA MHESHIMIWA!


Hebu tupoteze maadili zaidi kwa  ICE CUBE akiingilia kati  kwa ya jana katika pini-FRIDAY




Ice CUBE aongeze kuharibu kwa  ya leo katika pambio-It Was A Good Day

 



Easy E aingilie kati na kuharibu zaidi maadili kwa -Real muthafuckin G's


 



Ila sijui kwanini ICE CUBE na Dr DRE wapindishe zaidi kwa dozi -Natural Born Killaz

 



Au SIZZLA ajaribu kuhama kwa kuongelea wajichubuao akiwemo VYBZ KArtel ila abaki palepale kwa -How Dem So Brite


 

Read more...

HISTORIA inamchezo wa KUCHAGUA wa KUWAKUMBUKA kama TU WEWE ukumbukavyo BAADHI TU hata kama WALIKUWEPO na ni uliochezanao MDAKO!

>> Friday, March 30, 2012

Ndio,....
......katika kila UMKUMBUKAYE kwa simulizi za WANAHISTORIA,...
.......kuna  WATU wasiotajwa MAJINA nyuma ya historia HIYO,....
.... ambao ni MUHIMU tu SANA katika uwepo wa HISTORIA HIYO.

Swali:
  • AU?
  • Kwani kwenye HISTORIA ya LEO WEYE huna UNACHOCHANGIA hata kama hatukujui JINA kama  akina ZITTO Kabwe, KIKWETE  au tu Rais OBAMA?

Ndio,...
....labda kuna WARUKWAO  hata katika siri za UTAMU wa PILAU kwa kuwa sio WAPISHI au waliooganaizi shughuli hiyo ya KITCHENI PATI,...
.... wakati siri ya UTAMU ni UKULIMA wao wa MPUNGA na NYANYA za KACHUMBARI,...
... bila kusahau hata WAKATA MITI iliyogeuzwa MKAA ili kuivisha PILAU iwe TAMU.

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Ijumaa na WIKIENDI NJEMA MHESHIMIWA!


Hebu MOMBASA ROOTS waingizie-MAMA SOPHIA




Safari Sound Band wakatizie denge kwa-MPENZI




Ila Andrew Ashimba ghafla azime kwa-Weka MAMBO

Read more...

Kwani kuna MZAZI aamkaye akiwa tayari na HAMU ya kuchapa MTOTO hapa TANZANIA?

Lakini,...

 MAKUZI ya TISHATOTO,...
.... labda ndio MUHIMILI wa WAZAZI wengi waleavyo watoto wa KITANZANIA.

Swali:
  • AU?
  • Kwani hustukii MITANZANIA hata baada ya kukua ilivyo MIOGA?



Nahisi,...
.... swala la MAKUZI ya TISHATOTO,....
... ndio yenye mchango mpaka MITOTO mikubwa unaikuta HAIJIAMINI hata katika YAKUJIAMINI


Swali:
  • Na siumesikia huko MBEYA mpaka POLISI huingilia maswala ya malezi hata ya VIJANA na badala ya kukamata majambazi wanatumia rasilimali kukamata wavaao mlegezo ili kuwatishatoto?



Ndio,...
....NAWAZA tu hapa KIJIWENI!:-(


Hebu Maxi Priest arudie-Strollin' on




Maxi Priest arudie - One More Chance

 




Maxi Priest aongezee-SHOULD I






Aingizie-Temptress





Halafu azime kwa-Marcus



Read more...

Tukimkodolea macho adaiye ``SHUKURANI za PUNDA ni kugidwa TEKE makende!´´

>> Wednesday, March 28, 2012




Kuna wadhaniao wanastahili SHUKURANI,...
.... ingawa kwa ambao wanagidwa TEKE ndio wastahilio SAMAHANI ,...
.... kwa huyo ategemeaye SHUKRANI kwa afanaylo alengeshaye SHUKRANI ,...
.... na kwa TENDO hilohilo AFANYALO.

Swali:
  • SI kuna uwezekano MLANDIZI anajisahau na kudhani ni mtupa MAGANDA  ahitajiye kujipendekeza na KUSHUKURU angalau kwa kupewa fursa ya kupata kipengele cha kutupa MAGANDA hapa DUNIANI ?

Ndio,...
.... wengi KIUANGALIO,...
.... labda kuna YASAHAULIWAYO,...
..... na kufanya watu WABOBEE katika ya MKAO  gani WAMEKAA ,...
....... bila kustukia wakati wanajadili staili za MKAO,.....
.... kuna waliye MKALIA!

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!


Hebu tu Hugh Masekela arudishe - Afro Beat Blues

 


The Funkees warudie kidude - Akula Owu Onyeara

 


Halafu FELA KUTI afunge kazi kwa -Waka WAKA

Read more...

ASHKI za kufagilia WAJIAMINIAO hata kama sio tu na ki-NYEGE MSHINDO Tanzania....

.....hasa  ambao LABDA ndio twawageuza kuwa eti ndio WAJANJA kiheshima KUHESHIMIWA hata ki- PUA ni MAKAMASI hadharani hata kama ni kwa kuyaficha na LESO!:-(



TUENDELEE na tetesi zenye kibiongo kiwazo:


HADHARANI  hata kindani ya TANZANIA,...
....labda hata ASHKI zisizohitaji SIRI,...
..... siku hizi TANZANIA tumezigeuza kuwa siri hata kwa visingizio hata vya UKUBWA , udini,
.... au tu hata KWA WATU kujaribu kujisingizia UJEMEDARI wa kushikilia tu HOVYO!!

Swali:
  • Si labda kuna uwezekano kuna wafagiliao ambao wanaaminika wana  KIBEZI kwa ambayo HATA unayapenda ila HATA ki-WEWE  labda -kisa UNASAUTI NYEMBAMBA katika hilo- na ni kuwa huna nguvu hata ya kuyapengea kamasi hadharani HAYO  ambayo unaogopa WAKUBWA WATAYAFIKIRIAJE na sio weye muhusika ``UNAYAFIKIRIAJE?´´
Ndio,...
..ashki nyingine,...
... labda WAPAMBE ndio wametungiwa  UPAMBE na MPAMBE!
Swali :
  • AU?
Nawaza tu MHESHIMIWA!
HEPI KIDUDE cha LEO AISEE!

Hebu turudi BURUNDI ili Khadja Nin adinye tena - Mama


Au tu tena Juliana Kanyomozi na Bushoke waongezee dhambi kwa-Usiende Mbali




Au tu ghafla Frankie Paul aingilie kati kwa -SARAH



Halafu labda  tu a-SHUB in






Ndio ,....
...NIPO  na SIZZLA alikuwepo AISEE:-(








































Hebu SIZZLA aombe msamaha tu tena  na kushukuru-MAMA




Au tu azime kwa -Just One of Those Days

 


Ajaribu kulainisha kwa - To The Girl I Love


Au akiri tu -WOMAN I need U


Read more...

Jipatie DOLLAR za KIMAREKANI milioni MOJA kama unajua maswala ya UPONYAJI wa kiimani , MAZINGAOMBWE au hata UCHAWI!

>> Tuesday, March 27, 2012

Hii kitu bado ipo:

The Foundation is committed to providing reliable information about paranormal claims. It both supports and conducts original research into such claims.

At JREF, we offer a one-million-dollar prize to anyone who can show, under proper observing conditions, evidence of any paranormal, supernatural, or occult power or event. The JREF does not involve itself in the testing procedure, other than helping to design the protocol and approving the conditions under which a test will take place. All tests are designed with the participation and approval of the applicant. In most cases, the applicant will be asked to perform a relatively simple preliminary test of the claim, which if successful, will be followed by the formal test. Preliminary tests are usually conducted by associates of the JREF at the site where the applicant lives. Upon success in the preliminary testing process, the "applicant" becomes a "claimant."
To date, no one has passed the preliminary tests.

Click here to see the application.
Click here to see the current $1 million statement which shows the current amount in our prize account.
Frequently Asked Questions
The Log of Applicants

Read more...

MAFUTA yagundulika TURKANA , Kenya!

>> Monday, March 26, 2012

FILE |NATION President Kibaki at his Harambee house office.                





Haya sasa ,...
.... inaonekana UGANDA na KENYA kuna MAFUTA,....
... na ukichanganya na yasemwayo TANZANIA ,...
.... basi AFRIKA MASHARIKI  inakuja JUU katika swala la nishati HII.

Kitishacho ni kuwa:
  • Kuna uwezekano mkubwa ni WAJANJA tu ndio wafaidio.
  • Pia kuwa hivi vitu huja na LAANA zake ukizingatia  vita na kasheshe nyingine za umasikini  na uchafuzi wa MAZINGIRA zikumbazo wenye nishati hizi hasa AFRIKA.
TUOMBEE haya mambo yasije na SHARI!

Pata habari zaidi HUKU

http://www.nation.co.ke/business/news/Kenya+strikes+oil+in+Turkana/-/1006/1373886/-/1537alm/-/index.html

Read more...

Katika UBINADAMU-labda HERI mtu agundulike MJINGA yaishe YALE ya KUJIBARAGUZA!

Ndio,...
... wengi huangaishwa na kuficha UJINGA ,...
..... mpaka hata hufunga MDOMO ili wasiseme kitu waziwazi WAKASIKIKA,...
..... na hilo tu laweza kuwa ni kigezo kamili cha kuwaita WATUMWA wa MAADILI yaliyotungwa na BINADAMU wenye UBINADAMU .



Swali:
  • Unafikiri wakaao KIMYA huwa WAMEFUNGA mdomo au WAMEFUNGWA MDOMO?
  • Kwani nikijulikana MJINGA ntakufa tofauti na WEREVU  WASIFIWAO wafao tu kila siku?
  • Hufikiri kama ujanja ni kuwa tu MJUAJI , mwenye BUSARA, au tu sio MJINGA ndio ujanja na kitu cha maana labda UJINGA MWINGI usingekuwa unafanywa na JAMII iwasifiao kwa werevu na BUSARA wakati tu labda JAMII yenyewe itafsiricho inakitafsiri kwa KUKOSEA?


Ndio,...
..... kuna WENGI wana hofu hata ya kufungua DOMO sio tu kwenye kuficha UJINGA ,...
..... kwa kuwa hufunga bakuli hata kuficha ukweli kuwa wana nyege,...
.... kisa eti ni angalau wakae kimya angalau usiwe na UHAKIKA kuwa ni kweli hawana hamu ya NANIHII au hawana UJINGA kisa HAWAJAWAHI KUKUTAMKIA hilo!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Jumatatu NJEMA Mheshimiwa!


Hebu Khadja Nin aingizie - Simba


Au aongezee matusi tena katika -Sina Mali, Sina Deni .



Au Khadja Nin azime kwa kutuliza zaidi tena kwa - Sambolera

 

Read more...

MACHACHARI labda KITAFSIRI ni tafsiri tu!

>> Friday, March 23, 2012

Na anayetafsiri mwenye MACHACHARI,...
.... kwa bahati mbaya yasemekana mara nyingi hana jicho na sikio au hata maadili ya afanyaye MACHACHARI.:-(
Swali:
  • Si machachari mengine kwa wengine ni UKICHAA?
  • Na si LABDA machachari ya PANZI kwa KUNGURU ni kitoweo?

Na usishangae kushuhudia uaminiye KAZUBAA ndioanayewini,...
.... kwa kuwa labda hata KUZUBAA kwa MTU ni tafsiri tu za WATU!:-(
Ni wazo tu hili MHESHIMIWA !
Ijumaa na WIKIENDI NJEMA Mheshimiwa!



Hebu Baron aanzishe kwa - Sweet Soca Man


 


King KIKI aingilie na kusawazisha kwa-MASANTULA




LUCKY DUDE akumbushie -Back To My Roots

 


Don Carlos ajaribbu tena kulainisha kwa - Just A Passing Glance

 


Halafu KWANZA UNIT wazime tena kwa-Msafiri

 

Read more...

KUFUNGWA KWA MASHINDANO YA KUCHORA

Siku ya Jumamosi tarehe 24/03/2012 kutakuwa na kufungwa na kugawa zawadi kwa washindi wa Mashindano ya Uchoraji yaliyobeba kichwa cha Habari cha Miaka 50 ya Taifa yakishindanisha Tasisii za Elimu kuanzia shule za awali ,Msingi,Sekondari na Vyuo ,mashindano yaliyoandaliwa na Image Profession.

Hafla ambayo itatanguliwa na maonyesho ya picha za washiriki wa shindano pamoja na kuonyesha picha za wachoraji wazoefu kuanzia saa 11 :00 (Saa Tano)asubuhimpaka saa 14 :00(Saa Nane)Mchana kwenye Ukumbi wa Jumba la Makumbusho ya Taifa makabala na Chuo cha Fedha(I.F.M.)

Njoo ushuhudie Vipaji katika Sanaa za Uchoraji ,njoo uwape moyo Washiriki na pia uweze kujifunza mambo mengi yahusuyo sanaa hii ya uchoraji.

Pia Njoo ujuwe kichwa cha habari cha Mashindano ya Mwaka huu 2012.

WENU KATIKA UJENZI WA SANAA NA MICHEZO

Image Profession & iP Sports Club

22/03/2012


Nimetumiwa na :
E.Manase wa Image Profession na iP Sports Club

Read more...

TANZANIA kama tu DUNIANI labda hakuna awezaye kufanya MATUSI watu wote!!

>> Thursday, March 22, 2012

Ndio,...
.... hata katika MAZURI,...
.... waulize akina NYERERE au GANDHI ,...
.... utastukia kuna NGELI ngumu katika  sentensi ,...
.... na LABDA ndio maana si  kila neno hutungiwa sentensi popote na kwa YOTE!



Swali:
  • AU?


.....au niseme...
.....NDIO,....
.... labda hakuna  AWEZAYE YOTE   kwa watu WOTE,....
....jitahidi lakini !

Ni wazo tu hili NGULI!


Hebu BOB MARLEY aingilie kati kwa -Get UP stand UP






Bob Marley aingizie tena - Lively Up Yourself

 


Ila sijui kwannini turudi Brazil tena CéU ajaribu kulainisha kwa - Roda


 




Halafu CéU anyutrolaizi zaidi kwa-LENDA




Halafu Herbie Hancock aingilie tena kati na kuongeza nguvu kwa huyuhuyu CéU halafu wazime kwa -Tempo de Amor

 

Read more...

HADITHI ya KITOTO ikiwa labda ndio SHULE ya MZEE JOHN, Mwanamama LILIAN , Mdada ZUBEDA au tu hata Mzee KIGOLI

>> Wednesday, March 21, 2012

Ndio,...
.... labda,...
.......ili MKUBWA atunge HADITHI ya KITOTO,...
..........labda SI LAZIMA akumbuke UTOTO ,....
... ingawa WAKUBWA waitavyo hadithi fulani zenye fundisho tokea utotoni,...
.... ni za KITOTO!:-(

Swali:
  • AU?
  • Unafikiri kuna UKUBWA wa MTU uliovuka UTOTO bila kuunganika?
  • Hivi kwani UTOTO ni NINI?

Ndio,...
....na labda UTOTO wangu au tu WAKO,...
....una mpaka  ULICHOJIFUNZA  utotoni USICHOKITUMIA,...
....kisa unajiaminisha au tumeaminishwa ni cha KITOTO.:-(

Swali:
  • AU?




Ndio,...
... na kutafsiri wafanyayo WAKUBWA ni ya kitoto,...
.... kama tu ya WATOTO yarukwavyo kama yamekaa KIKUBWA,...
....... labda zote ni TAFSIRI zirukazo tu KIPENGELE fulani.:-(

Ni wazo tu hili  tu MKUBWA na ngojea niende kukojoa!
Siku njema lakini MHESHIMIWA na wala usikonde!





Hebu tu tena Duke Ellington aturudishe mwaka 1943 wakati anarudia mdinyo- It don't mean a thing







Duke Ellington arudie pia -Sophisticated Lady


 

Louis Armstrong aingilie kati kwa - Mack the Knife




 


Hebu Louis Armstrong adinye pia- Hello Dolly


 


Halafu tu hebu LOUIS ARMSTRONG aweke pia kidude kwa pini-What a wonderful world







Halafu JOHN LENON azime kwa-IMAGINE





Read more...

MATUMAINI!

>> Tuesday, March 20, 2012




Nafikiri PICHA inajieleza!
Na MUNGU atujalie TUSIKATE TAMAA hata kama HALI HALISI kiugumu wa MAISHA inatisha!



PS:
Samahani kwa kudesa picha kwa kuwa sijui mwenye hakimiliki nayo!

Read more...

Leo katika UZUSHI: Jamaa aliyetengeneza KONY 2012 aliyewehuka -kapigwa KIPAPAI na KONY!

Nimekutana na kamjadala kuwa Joseph KONY ,...
..... ndiye kampiga kipapai jamaa nyuma ya FILM ya KONY 2012,...
.... na kumfanya  awehuke.

DUH!

Hebu tumchungulie......






Tusikie tena zaidi ya kipapai kizushi...


Read more...

Utamlaumu NYOKA mwenye SUMU kwa kuwa ana SUMU?

Ndio,...
.....labda ni haki ya CHOO kujazwa KINYESI!

Swali:
  • Unafikiri BINADAMU hana SUMU na jee ni mazuri tu ndiyo BINADAMU hustahili KUJAZWA wakati twajua BINADAMu kibao hata wasemayo tu tayari ni SUMU?

Ndio,...
.....hili ni WAZO tu!
Nakutakia SIKU NJEMA!


Hebu Carlinhos Brown arudie- A Namorada




Carlinhos Brown aongezee tena- Conga e Bongo




Au tu huyu huyu Carlinhos Brown azime kwa - Ashansu

 

Read more...

R.I.P Papa Shenouda III!

>> Monday, March 19, 2012

Pumzika MKUU ,...
....ingawa nimechelewa kidogo kukuaga!

3 August 1923 – 17 March 2012





Ndio ,...
.... kwa wasiomjua huyu Nguli,...
... ni yule PAPA wa kanisa la zamani kidogo lenye makao MISRI,...
.... lile la Coptic Orthodox Church of Alexandria Habari zaidi za kifo chake ,...
..... tekenya HUKU ....
...au HUKU


Ni hilo tu MUUNGWANA!


Basi tuhame kwenye swala kwa msaada tena wa Mighty Shadow katika- Shadow Ting


Turudi tu tena kwa NIGERIA ili jamaa nihusuduye sana kazi zake kwa jina Keziah Jones aingizie tu - Beautiful Emilie


Au tu Patrice aje live na kukumbusha-Everyday Good

Read more...

Kuhusu kile kipaji kirukwacho katika KUSIFIWA -kile cha KUNYA!

Vipaji  vingine,...
.... yasemekana ni  SIRI!

Swali:
  • AU?

Na misura MINGINE ,...
....YASEMEKANA  aisifiaye ni mama mzazi tu wa toto hilo lenye sura BAYA kama tako CHAFU  la nguruwe  lenye UPELE !

Swali:
  • SI chako kinavumilika hata kwa sifa MBAYA?
Ndio,...
... labda hata wewe Mheshimiwa  una KIPAJI cha siri,...
... na labda MUANZILISHI wa kutokisifia hicho kipaji ambacho wakijua wewe mwenyewe tu ni WEWE.:-(

Ni wazo tu hili BINGWA!
Jumatatu NJEMA!

Hebu tulazimishwe kugusana na ya mpenzi  tena kwa msaada wa EDDY MURPHY tena akiwa
na  Sexual CHOCOLATE






Abeti MASIKINI arudishe tena -LIKAYABO





Manu DIBANGO ajaribu kusawazisha kwa-WOA





Lil BiTS aharibu tena kwa -BUMP







TAMISHA NICHOLLS aharibu zaidi tena kwa-BADDER dan DAT





Tukatizie NAMIBIA pia ili Tate Buti arudie - Oshitenda



Halafu tu  tu hebu  FELA KUTI ndiye atulize mshawasha kwa-FOGO FOGO

Read more...

Hebu DENNIS BROWN aingilie shughuli LIVE!:-(





...au tu PETER TOSH ahamishe kidude na akukumbushe kuhusu mie kuwa kiaina aiseee...I AM THE TOUGHEST




Au tu turudi kwenye chupi orijino....



Aongezee..




Au azime tu kwa-PICK myself UP

Read more...

Hongereni akina MAMA!

>> Sunday, March 18, 2012

HAPPY MOTHERS DAY!
Yeah!
Nyie NGULI aisee!

Hebu tupate tukunyema bila jasho kwa ajili ya MAMA FULANI...

-Sweet Mother I no go forget you



Au tuachane tu na siku hizi za kutunga ,...
.... kwa heshima hebu Mdada Jocelyne Beroad aweke ulimbo kwa-Kay Manman


Au tu Sipho Hotstix MABUSE aingilie kati kwa -SHIKISHA


Halafu sijui kwanini ila huyu huyu SIPHO Hotstix MABUSE azime mshawasha kwa kunyuka tena-Jive Soweto


 



Ndio,...
.....bado NIPO!











































Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP