Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tukio la mwisho la Serengeti Fiesta 2011 Dar es salaam!

>> Sunday, July 31, 2011



PICHA ZOTE ,....
...ni kwa hisani ya AHMAD MICHUZI WA JIACHIE BLOG ,....
.....na CUTHBERT ANGELO WA HABARI NA MATUKIO BLOG
Na nyolinyoli hiii imetengenezwa na ,...


Fredy TONY NJEJE wa,....

Read more...

KIDOGO kwa kuwa HUJAINGIZA sana!

Kidogo labda ni MTAZAMO na KWENYE madogo YAKE,...
.....hata kimaumivu yasemekana labda ni YULE ndio aumiaye SANA na ndiomaana WEWE katika umivu hilo,...
....labda HUELEWI!:-(


Swali:
  • AU?
NI wazo tu hili MKUU na ni kiheshima kabisa AISEE!

Hebu Oliver Mtukudzi aanzishe UPYA kwa -Ndakuvara



Peter Gabriel &Youssou Ndour waingilie kati kwa - Shakin' The Tree



Au abakie tu Youssou Ndour katika kuumiza -Kocc Barma

Read more...

UTAMU SIKIONI kama sauti TAMU ya MALAIKA mwenye KIKOHOZI ,...

>> Saturday, July 30, 2011

.... labda haimaanishi MALAIKA HUYO anasikilizwa!:-(

Na asikilizaye SAUTI TAMU ya MALAIKA ,...
... haina maana kisemwacho  ANAELEWA!:-(

Na wengi tukipenda sauti,...
... labda yasemwayo  hayana sana MAANA!:-(

Swali:
  • AU?

NI wazo tu hili MKUU!


Hebu ZAP MAMA arudishe-SWEEET MELODY




Nasio Fontaine aendeleze kwa -Behold




 Trombone Shorty aingilie tena kwa -St. James Infirmary



Au hebu  tu Trombone Shorty amalizie kwa -Something Beautiful




Bado NIPO,....
.....:-(




















Read more...

Hebu ARETHA FRANKLIN arudishe HESHIMA!

Mabibi na MABWANA,...
-RESPECT





Aondezee dozi kwa ,...
-THINK



Ni nanihii tu hii MKUBWA!
AU?



Na bado ,....
.....NIPO kishkaji!:-(


























Read more...

Ukifananisha anachowaza KIBAKA na awazacho DAKITARI bingwa,....

>> Friday, July 29, 2011

 ... waweza kufananisha WAWAZACHO kwa kuwa labda wote mizizi ya kwanini hasa WANAFANYA wafanyavyo huunganishwa na UBINADAMU na MADHAIFU yake,...
..... ambayo mojawapo ni kutafuta tu TONGE!:-(

Swali:
  • Unabisha?
  • Na si unakumbuka DAKTARI anaweza kuwa ni KIBAKA?

Ndio,...
..... UKIFANANISHA,....
......... utapata tu MFANANO ingawa  kwa juujuu UWAFANANISHAO  hata KIMAVAZI unaweza kudhani ni TOFAUTI SANA kwa kuwa wamevaa chupi za rangi na HADHI tofauti  kutokana na BINADAMU waliyojifunza KUYAENZI,...
.... wakati bado labda kikubwa wote  bado ni BINADAMU,...
......na ``UBINADAMU´´ kwa BINADAMU ni KIUNGANISHI!:-(


Ni wazo tu hili MKUU!
 Ijumaa na WIKIENDI njema MHESHIMIWA!


Hebu chapuchapu Zap MAMA aanzishe kwa-MIZIKI



Zap Mama arudie-Rafiki




Zap Mama adinye tena-FURAHI


Kabla Sally Nyolo hajaingilia kati kwa-Tam Tam



Halafu ZAP MAMA amalizie tu tena kwa-Bandy Bandy


Read more...

Amani KITANZANIA!

Amani KITANZANIA,...
..... labda HATA kwa Kunguru na MENDE wakiiangalia  LABDA wangeweza kuitafsiri kama WOGA.:-(

Amani KITANZANIA,...

..... labda ni HESHIMA kwa WAHESHIMIWA ambao nyumba zao zina geti kali kitu ambacho labda ni WOGA.:-(

Amani KITANZANIA,...
.... labda ni KUFANANISHA na kwa kufananisha ya TANZANIA na ya KONGO ili kutuliza WATANZANIA ili iitwe ni AMANI labda  kuna uwezekano hilo nalo ni WOGA.

Amani KITANZANIA,...
..... labda ni USHAURI kuwa ridhika na ulichonacho kidogo kwa kuwa ni BORA kuishi tu na KIDOGO  kwa kuwa kwa kutaka zaidi hali haitakuwa SHWARI kwa kuwa inamaana itahitajika WATANZANIA wasiwe na WOGA.


Swali:
  • SI inajulikana lakini kuwa mara kibao KIDOGO ni nafuu kuliko KINGI hata katika swala la punda kupenya kwenye tundu la SINDANO?
Lakini AMANI Kitanzania,...
..... hata kama haifanani na AMANI kimizani ya tafsiri ya AMANI kwenye KAMUSI ila kama WATANZANIA wanaamini hiyo ni AMANI basi labda hiyo ni AMANI na sio WOGA.

Tatizo ni:
Je hivi WATANZANIA wana AMANI kweli?

Ni wazo tu hili MKUU!

Hebu Gil Scott-Heron arudie - Work For Peace

Read more...

Hebu tena Gil Scott-Heron atekenye USHAIRI!

Aanzishe kwa,...
....Message to the Messengers




Aongelee
-Definition of a Poet



Adinye tena,..
-The Revolution Will Not Be Televised




Adai,...
-Home Is Where The Hatred Is




Amalizie tu kwa kushauri- Work For Peace


Read more...

Happy Birthday kwa Bloga Fredy Tony Njeje !




Kwanza kabisa Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa afya Njema na kutubariki mpaka tupo hapa muda huu, lakini pia tunapenda kuchukua nafasi hii ya Kipekee kabisa kutoa shukurani zetu za DHATI kwa Mabloga wote wa Tanzania kwa kutupa sapoti kubwa pale tulipo na tunapo hitaji msaada wao, hatutaweza kumtaja mmoja mmoja lakini Mungu awabariki sana.. mafanikio yetu ni mafanikio yenu pia na kwa wadau wote.. Baada ya kusema hayo timu nzima ya Tone Multimedia Company Limited Victor Luvena, Ernest Luseshelo Njeje, Joseph Mwaisango sillah Mbuya  ambao ni wamiliki wa Mbeya yetu BlogTone Internet RadioLatest News Tz BlogCheka Upasuke Blog na Amazing Tanzania Tours Blog, pamoja na wadau wote tunachukua nafasi hii ya ki pekee kumpongeza Cheif Multimedia Architect Mr. Fredy Tony Njeje ambae leo anakumbuka siku yake ya kuzaliwa, tunamuombea maisha Marefu na Mungu amzidishie kipaji cha ubunifu na cha kipee alicho nacho,vile vile Tunampongeza sana kwa kuanzisha Radio ambayo ni ya kiteknorojia zaidi TONE INTERNET RADIO ni moja ya mafanikio yake makubwa tunamtakia afya njema.

Imetolewa na,
Joseph Mwaisango
Public Relation Officer
Tone Multimedia Company Limited




KHERI ya SIKU ya KUZALIWA MKUU!
-Simon


Hebu katika hili kinamna Steve Wonder asaidie,...
....na mengi asemayo yaoanishwe na siku yako.


Read more...

HISIA!

Hisia sio UKWELI
Lakini wakati UNAHISI labda uhisicho kihisia wakati huo ndicho KWELI


Na KWELI kama iko tu kama IMANI,...
..... KWELI yako labda ni tofauti na ya wengine hata kama HIYO sio IMANI

Kwa hiyo labda UHISIVYO,...
....ndio UKWELI kwako hata kama wengine tukikokotoa UKWELI hautupi AMANI.

Na uhisicho na kukiamini labda ndio siri ya yako AMANI!:-(


NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Miguel Jontel Pimentel arudie-Quickie




Miguel Jontel Pimentel arudie pia -My Piece




Au tu huyuhuyu Miguel Jontel Pimentel amalizie kwa -Be My Vixen


Read more...

Safari ya Mwisho ya MAREHEMU DANNY MWAKITELEKO kijijini kwao Mwakaleli Mkoani MBEYA!

>> Thursday, July 28, 2011

R.I.P Mpiganaji!





PICHA ZOTE ni kwa hisani ya  AHMAD MICHUZI wa  JIACHIE BLOG,....
......na JOHN BUKUKU wa FULL SHANGWE BLOG.

Imeandaliwa na FREDY TONY NJEJE ,....
.....wa- Mbeya yetu Blog

Read more...

Njaa SOMALIA- sijui hii ndio ile kitu idaiwayo kwa ung'eng'e kuwa ni SURVIVAL of the FITTEST?:-(

Yani wakati WATU wanakufa na NJAA,....

.... inadaiwa maeneo hayo hayo kuna WATU  kama wa  Harakat al-Shabaab al-Mujahideen (HSM) maarufu kama Al-Shabaab wakatazao hata misaada ya CHAKULA isiingie.

Na wakati kuna wadaio hali ngumu SOMALIA kwa ujumla ,....
.... inasemekana wako WATU wengi tu hata kwa kudaka MELI za WATU kiuharamia ,....
...... wamekuwa mamilionea/MATAJIRI wakubwa tu kwa kipimo cha AFRIKA katika kipindi hikihiki  kidhaniwacho ni cha shida.

Sasa sijui ndio tukubali tu kuwa KILA KIBANO,....
..... kinaneema kwa baadhi ya WATU na labda ukijisikia UMEKWAA kibano MAISHANI mwako na hali fulani kumbuka labda HALI hiyo ndio siri ya KUNEEMEKA kwa WENZIO?:-(

Na si inajulikana hata TANZANIA,....
...... hali ngumu ya MAISHA kwa baadhi ni stori tu wazichekizo tu kwenye TV au kuzisikia tu MAREDIONI kwa kuwa HALI HIYO NGUMU ndio chanzo cha UAHUENI wao?


NAWAZA tu hapa MKUU!:-(

Hebu David Sanborn & Group watubadili wazo kwa kutafsiri ndudeile-Try a Little Tenderness


Read more...

Historia ya UKRISTO!

Ni MOJA TU ya mtazamo tu wamtu,....
... DEKU lakini ushibishe mawazo.:-(









Ndio,...
.... ukisaka utapata MITAZAMO tofauti na huu,....
...... lakini labda chamuhimu ni IMANI YAKO TU inakujenga uaminini nini!:-(

MADHUMUNI ya TARALILA hii,....
...... ni kuchokoza FIKIRA tu!:-(

Read more...

MAISHANI kuna waogopao MAITI na ambao kikazi ofisi ni MOCHWARI!

>> Wednesday, July 27, 2011

Na kama ilivyo kwenye UCHAWI,....
....... kuna wauogopao na kuna ambao ndio HOBI zao!:-(


TUNAKUMBUSHANA tu MHESHIMIWA!:-(

Hebu Osibisa warudie - Fire

Read more...

WAMASAI na MAPENZi!





Read more...

LABDA jua UGUMU ili ujue KURAHISISHA mfanyo au KUFANYWA!:-(

Ndio,...
.... kama unarahisisha usiyojua UGUMU wake ,...
..... labda kuna TATIZO hapo!

Swali:
  • SI unajua KIRAHISI labda kinahitaji GUMU?


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu NINA SIMONE aingilie tena shughuli kwa-black is the colour of my true love's hair




Nina amwage-Feelings



Au tu Nina Simone amalizie kwa mtombo - Young gifted & black


Read more...

FIKIRIA TENA kwa kuwa labda kwa KUFIKIRIA tena -KUNYA kwaweza kugeuka kuwa ni KUJISAIDIA!:-(

Na kwa kawaida watu HUFIKIRIA wanafikiria,...
.... kuliko kufanya kitendo cha KUFIKIRIA!

Swali:
  • Unafikiria?

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu tugewe na  Simphiwe Dana akiwa na Mthwakazi adai-Nkwenkwezi



SIMPHIWE DANA atekenye - ILOLO



Aingizie - Unthandazo Wase Afrika



Au tu huyuhuyu  Simphiwe Dana amalizie kwa ndude- Malaika


Read more...

Hivi wewe ni DINI GANI?

>> Tuesday, July 26, 2011

Ndio,...
.... kuna uwezekano ,....
.....WATU wengi wajitambulishao  KIDINI ,....
..... dini wafikiriazo zinawatambulisha  wala kidini hizo HAWATAENDA mbinguni kwa kuwa ,....
.....LABDA,....
...... kihizo DINI  imani zao na maadili yake HAO  ukiwachunguza hata kama majina yao ni SHEKHE au ASKOFU,....
.... hao wala hawafai kwa kuwa HAWAZIJUI hizo DINI!


Swali:
  • Hivi wewe DINI GANI? 
  • Umewahi kujichunguza halafu ukajiaminisha kuwa ni kweli wewe ni DINI hiyo?

Ndio,...
....LABDA ni udhaifu kama moja ya kitambulisho chako ni DINI yako ,....
.... kwa kuwa labda hilo  ni moja ya KITAMBULISHO kuwa wewe kama WEWE haitoshi kikitambulisho!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA na wala usikonde!:-(


Hebu KOFFI OLOMIDE aingilie tena SHUGHULI kwa-Fouta djallon




Au tu Koffi Olomide aje na mwalimu wake PAPA WEMBA wastue tena ndude-Wake Up


Read more...

SIMANZI!

......kama tu FURAHA,....
....... labda  ni vitu ambavyo huhitaji KUJILAZIMISHA!:-(

Swali:
  • SI inasemekana kuna wajisikiao noma kwa kuwa wako MSIBANI  na hawana HUZUNI?

SIMANZI!

.... na katika hilo kama UNAJILAZIMISHA,.....
..... inaweza kukusaidia kuonekana MTU mzuri  mbele ya wategemeao SIMANZI ,....
..... lakini MOYONI unajua MAREHEMU hakuwa mtu MZURI!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Bob Marley aingilie kati kwa - Running Away / Crazy Baldhead



Au tu hebu Bob Marley arudie tena - Concrete Jungle


Read more...

Konono NÂș1

Ndude iaanzishwe na,...
....ki-Bazombo trance music.:-(





Wadinye pia -SOBANZA MIMANISA






Au tu tena BALOJI aingilie set ya KONONO NÂș1 kwa ndude-Karibu ya Bintou




Kabla Herbie Hancock hajajihusisha na KONONO katika-Imagine



Samahani ,...
... napenda tu kazi za hawa L'orchestre folklorique T.P. Konono NÂș1 de Mingiedi:-(

Read more...

Muhammad Ali

Deku tu,....
.....kama una muda!:-(

Reputations



Au,.....

......This is UR life!



Ni nanihii tu hii MHESHIMIWA!

Read more...

Mike Tyson KIDUCHU!

Mmmmh!,....
......

Read more...

BLOGU ya MUZIKI!

Angalia picha za wanamuziki mbalimbali na bendi nyingi zilizoko DAR ES SALAM ,....
.......ambazo huwa hazipewi nafasi katika media ya kawaida ,....


-- Halafu kuna HUKU,....
IMG_0263.JPG

Read more...

KIASI KIKIPIMO hata cha UUME WA UBWABWA kwenye UKE wa mchele!:-(

>> Monday, July 25, 2011

KIASI ,...
..... ni kipimo hata kwa wastukiao kikuingiza WAMEZIDISHA!:-(


Swali:
  • Au?
KIASI!


Na kuhusu KIPIMO cha kiasi hata cha kuingiza kwenye UKE,....
.... kwa kiasi inasemekana kama nia ni kupata UJI ukizidisha KIASI cha UNGA utastukia umepata UGALI.:-(

Swali:
  • AU ?:-(



Na ndio KIASI,...
.... ni kipimo ovyo hata kama huiingizi au unaingizwa,...
....kwa kuwa ina semekana KIASI changu kwa KHADJIJA inaweza kuwa tayari kwa KHADIJA  kuma inauma!!:-(


Na KIASI ,...
.......inasemekana kuna kizaidi walioingizwa au kitafsiri za WASTAARABU ni kuwa WAMEFANIKIWA.:-(




Swali:
  • Si KIKIASI kama kipimo inasemekana  labda TAMU inaweza kuzidi utamu?

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Black Uhuru warudie kikuanzisha - Plastic Smile




Ol Dirty aongee




Ol Dirty adai kuwa - Baby, I got your money



Kabla haja -Shimmy Shimmy Ya



Au halafu aje tu na BUSTA RHYMES katika -Woo Hah!


Read more...

REMMY ONGALA-Lediz end jentlomen kimtonesho tena!

Sasa ntafanya nini wakati tuongeleacho REMMY ndiye mtundu?

Hebu aanzishe kwa -Asili Ya Muziki




Hebu adai - Tembea Ujionee




Au huyu mtundu arudie pia- SIKU YA KUFA!:-(







Au tusilize tu  pia ki -Nasikitika



Nipo!:-(


Read more...

Habari zako MAMA KISEBENGO!Hujambo lakini Mwanakwetu?

 Ni matumaini yangu HUJAMBO !

    Madhumuni ya E-MAIL  hii ni kukujulia HALI!
Pia kukuuliza kuwa hivi baada ya wajanja kugundua internet bado unapata BARUA?
Na pia hivi si ni kweli  mara nyingi  wajuliwao hali kitamaduni za Kibongobongo huwa jibu lao hata kama wamelazwa MUHIMBILI huwa majibu yao ni kuwa hawajambo na kila kitu ni shwari?

Ni hilo tu MAMA  KISEBENGO  na wasalimie wote hapo nyumbani  na pia yule  bwana wako wa siri  muuza nyanya  pale  karibu na kioski cha karibu na nyumbani kwako!
Ni mie,
- DJ KALUBANDIKA mwana BONGELADENDA!

---------------------_____________________________------------------------

Tukiacha utani:

  • Si umestukia WATANZANIA wengi majibu yao ya SALAMU yako katika miundo ambayo automatiki  majibu yake ni CHANYA hata kama mtu chamoto anakiona?
  • Na siinasemekana kuna watu LUKUKI wenye mtandao kuandika BARUA  hata za kutongoza wameanza kusahau?


Ndio,...
.... mie niko SALAMA na SHWARI kibongobongo aisee!:-(

JUMATATU NJEMA MDAU,...
.....na usimaindi kama hunidaki stirio namaanisha nini kwenye hii TARALILA!:-(
 BAAADAYE BASI MTU WANGU!


Hebu Maxi Priest adinye tena - Wild World



Maxi Priest adai ana - Believe In Love




Kabla tu huyuhuyu Maxi Priest  hajamalizia kwa- One more chance


Read more...

Udhaifu wa KIPENDA ROHO kula mbatata MBICHI!

>> Sunday, July 24, 2011

Na kipenda roho humla MBICHI,....

.....kwa kuwa labda VILIVYOIVA vinamaishu yake na moja yake yasemekana ni ile ya UMACHINO/fulu kila kitu aliyeiva ajifanya AJUA!:-(



Swali:
  • Kwani unafikiri kila KILICHOIVA maanayake ndio KITAMU?
  • Na si unajua wapenda KACHUMBARI moja ya sababu kachumbari kwao ni tamu labda ni kwasababu wala HAIJAPIKWA na haitegemewi IIVE?

Ndio,....
..... tukiachana na ukweli moja ya utamu wa KACHUMBARI ni kuwa ilikuwa na NYANYA zilizo iva,...
..... bado tujuacho bila kuongezea manjonjo ni kuwa,...
....KIPENDA ROHO hula nyama MBICHI aisee!:-(



Ni wazo tu hili la jumapili MHESHIMIWA!
JUMAPILI NJEMA!:-(





Na hebu Isaac Hayes arudie kitu-Fragile


Au tu STING naye aje na ndude hiyohiyo -Fragile




Sting adinye-Shape of my Heart



Au tu Maxi Priest ahamishe ndude na kumalizia kibaba kisebengo  kwa - Just A Little Bit Longer


Read more...

Ladha YAKO labda ni siri ya MAIMUNA FULANI kupendwa NAWE na sio kiutamu aupendao FATUMA!:-(

 Kwa kuwa yawezekana akufaaye ni FATUMA,...
...... ingawa LADHA yako inafanya MAIMUNA ndiye akuvutiaye!:-(

Swali:
  • Si unajua labda hata kisiasa za TANZANIA na kimasilahi kama misingi ya karibu kila kitu mpaka kibiashara za viatu vya MCHAGA KAJITAHIDI  labda CUF  ndio ikufaayo ingawa kiladha unavutiwa na CHADEMA?
  • Si unajua LADHA kiutamu ndio isababishayo UJEMADARI  wa MTU  kudharau mapungufu ya MTU kitu kifanyacho labda kila mtu anawake BOMBA tu hapa duniani kwa kuwa kivyake ananoga?


LADHA!

Ndio,...
... labda hiyo ndude LADHA ndio ifanyayo,....
...... wengine siye wenye sura kama kiatu usichokipenda kuna atupendaye pia kitu KIKUSHANGAZACHO!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu twende UGANDA tena FRANKIE JOE RUKUNDO na KIDUMU waongelee-Kipenda ROHO


Halafu  Anthony David aanzishe tena upya  kwa -Something About You





Au tu Anthony David aje na India Arie katika - Words

Read more...

Shule kidogo: Historia ya COCAINE!



Ni udadisi tu MHESHIMIWA,....
.... na labda wala ukijua haitakusaidia kitu!:-(

Read more...

Katika JICHO na SIKIO la mtu MWINGINE,...

>> Saturday, July 23, 2011

 ...... ujionavyo na UJISIKIAVYO,....
........vyaweza kuwa ni vitu tofauti kabisa na umuonaye akikuangalia au ujuaye anakusikia AFIKIRIAVYO!:-(

Swali:
  • SI unajua si lazima unajua kwa uhakika akuangaliaye au akufikiriaye ANAWAZA nini?

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(





Hebu Recho aongelee - Kizunguzungu



L40  asimulie ya - Penzi La Sandakarawe



Kabla  tu OFFSIDE TRICK hawajarudia ya -Kidudu MTU

Read more...

R.I.P Amy Winehouse !

Nilipenda baadhi za kazi zako!
R.I.P!

(14 September 1983 – 23 July 2011)



Hebu tumsikie katika wimbo watu wengi walipoanza kumstukia -Rehab


Au ule -Will You Still Love Me Tomorrow

Read more...

Sindimba KWECHUKWECHU na MS Ngoma Troupe kutoka ARUSHA!





Au wamalizie tu kwa UKALA


Read more...

Priest Anthony De Mello katika -How to love!

Msikilize jamaa,...
... kama una muda ingawa kunauwezekano mawazo yake yamekaa kibuddhabuddha!:-(

















Ni mtazamo wake tu huu MKUU!:-(

Read more...

Jinsi ya KUMCHOKOZA Kishtobe ZUBEDA!

Achokezekaye,...
.... huyo kiuchokozi LABDA kashakaa mkao wa KUCHOKOZEKA!:-(

Swali:
  • SI uchokozi  ni mpaka ukuguse ndio UTACHOKOZEKA?
  • Ushawahi kufikiria ni nini kwako  ni UCHOKOZI?
  • Si unajua chochote kile aongeacho mtu inaweza kuwa ni UCHOKOZI na siri ya ni kwanini kuna mengi hayakuchokozi LABDA ni kwa kuwa tu hayo ki hata kikipele weye huna hicho na ndio maana hata mtu akune vipi wewe kwa kuwa huwashwi basi afanyacho mtu kikubinya jipu kwako ni KUFINYWA?
  • Si unajua chochote labda ni UCHOKOZI ila inategemea tu mapozi yako?


Na jinsi ya KUMCHOKOZA Kishtobe,....
.... kama unataka urahisi,...
.... labda mjue kwanza huyo MTU na ndio kirahisi unaweza kustukia hata KUMKARIBISHA UGALi na sio MATOKE kwa SENENE labda huo KIHAYA ni UCHOKOZI:-(



Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Prince aanzishe upya kwa -KISS



Turudi  tu kidogo Zimbabwe na Chidzoka kwa ndude -Rocqui



Au hapahapa Zimbabwe Decibel achomekee nanihii-Chido




Halafu hebu  PRINCE arudishe utu uzima kwa - Sexy MF




Kabla tu huyu huyu  PRINCE amalizie tu kwa .....Crimson and Clover


Read more...

Ingawa Mwanamke MZURI kwa MSENGE havutii NASIKIA!:-(

>> Friday, July 22, 2011

 Ila ,...
... labda kwa wavutiwao na WASICHANA sio WASICHANA tu,...
...hasa ukizingatia eti  inadhaniwa WANAUME  inasemekana ndio washughulikiao maeneo ya KIKE wakati labda MWANAMKE kwa kuwa ndio ajuaye UKE labda ndie angehitajika kiufundi KATIKA HILO la kike KITATUZI  !:-(


Swali:

  • Si inasemekana labda SERIKALI ya WATANZANIA labda kwa WATANZANIA ingehitaji wahitaji UFUNDI WA WATANZANIA kuliko ilivyo sasa kuwa wasio WATANZANIA  ndio waamuao mpaka BAJETI ya TANZANIA kwa kuwa ni pesa zao kwa kuwa KITANZANNIA hata umeme kitatuzi SHIDA?
  • Si unajua kiusagaji MWANAMUME hausiki?



NI wazo tu hili KAMANDA na usikonde!!:-(


Hebu tubadilishiwe wazo na Super Cat ki-Vineyard Style




Au tu Super Cat arudishe na nyundo ya enzi ile -Don Dada




PRINCE alikuwepo lakini,...
... kama nilivyojaribu kumdaka!:-(

























Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP