Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa kuwa AKOROMAYE hajisikii akikoroma!

>> Saturday, July 16, 2011

 Na,...
..... labda mengi tufanyayo ni kama KUKOROMA,...
.... kwetu hayatuathiri na ni bughudha TU  kwa wengine!:-(

Swali:
  • Unakumbuka kuwafikiria wengine katika yako yasiyokubughudhi kiuwezekano  labda kimtekenyo ni MAUMIVU kwao?

NI wazo tu hili MKUU!
Jumamosi na WIKIENDI NJEMA MKUU!



Hebu Da Brat a- Funkdafied


Au tu Da Brat na T-Boz warudie - Ghetto Love




Kabla R Kelly hajadai-Your Body's Callin'




Kabla R. Kelly hajawa siriasi kidogo kwa - When A Woman's Fed Up


3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Unknown 10:05 am  

NJE YA MADA
Kwa kawaida, kuna aina mbili za mawazo ambazo kila binadam huwa anazo na aina mbili hizi hufanya kaz kwa kupokezana. Aina ya kwanza huitwa: Mawazo ya kawaida (consicious mind) wakat aina ya pili huitwa; "Unconsious mind".

Mtu anapokuwa macho, kwa mfano mchana, huwa mawazo ya kawaida (conscious mind) ndio yanayotumika. Unapolala au kupoteza faham unconscious mind hufanya kazi.

Ni sahihi kusema, kama yalivyo mapgo ya moyo, mawazo yetu hayajawahi kuacha kufanya kaz tangu tulipozaliwa mpaka leo.

Hapo ingekuwa Jenereta vipi...

MUNGU NI NOMA!!!

emuthree 10:23 am  

Mkuu nami nawaza nakujiuliza hivi kukoroma ni ugonjwa! Na abughuziwaye na mkoromo hana usingizi!jwa! Na abughuziwaye na mkoromo hana usingizi!

Simon Kitururu 7:43 pm  

@Rasta Mcharia: Mungu ni MKuu aisee!

@M3:Mmmmh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP