Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna kitu labda KILA MTU angependa MTU FULANI akisahau na labda si kile TU cha alivyojamba kwa BAHATI MBAYA maeneo fulani!:-(

>> Tuesday, January 18, 2011

Na chakusikitisha,...

.... unaweza kukuta mpaka MAJEMADARI WA MAJESHI kama Rais IDI AMIN,Saddam Hussein Abd al-Majid al-Tikriti ,Rais OBAMA au tu RAIS NYERERE,...
.... kisiri kuna kitu kuhusu MTU FULANI ambacho wangependa huyo mtu KAISAHAU ni vile kwa bahati mbaya kuna maeneo kwa bahati mbaya walijamba na JAMAA ndio alistukia,....
..... hata kuliko kitu  siriasi zaidi kwa mtazamo fulani ambacho ni wakati wao ni MAJEMADARI wa MAJESHI YA NCHI zao nni watu wangapi wasio na hatia WALIUAWA,...
.... hasa kwa sababu tu walifanikiwa kujiengua KISAIKOLOJIA  kutoka katika kujisikia AMRI ZAO na MAUAJI YALIYOTOKEA katika VITA ZAO vinauhusiano.:-(


Swali:
  • UNabisha?:-(


Ndio,....
...kuna kitu  MTU MWENYEWE MHUSIKA,...
.... labda hataki hata MWENYEWE kukikumbuka,...
.... ingawa labda KUJISAHAULISHA au kutaka watu WASAHAU inaweza kuathiri KIHASI fundisho litokanalo na KITU hicho nishai!:-(

Swali:
  • SI labda BINADAMU kaumbwa na uwezo wa  kumbukumbu kwa makusudi fulani MWANANA tu ingawa KUSAHAU kunapendwa  kuchaguliwa katika mambo fulani  vyema ili watu hata baada ya bonge la MKONG'OTO  au msiba wasiendelee kulia?

  • Lakini hudhani  kusahau kuna watu huchagua na wapendacho kukumbuka hata kuhusu wewe ni pale tu ukoseapo  ila yale mazuri yako husahauliwa?

  • SI unajua labda kuombea WATU au wewe mwenyewe USAHAU KITU inaweza kuwa haina FAIDA hasa kama KUMBUKUMBU za KITU ni kitu muhimu katika kuendelea  kunyosha MAISHA ya mtu?



Naendelea KUWAZA na usikonde MHESHIMIWA  kama hunidaki vizuri  katika mtiririko huu wa UjingaBUSARA.:-(


Hebu Billly OCEAN kwa kurudia -SUDDENLY



Au tu jamaa acheke tu tena...

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP