Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati NAHAMU kweli kama YULE asiye WEWE ya KUKUBALIWA!:-(

>> Tuesday, January 04, 2011

[ Tahadhari: Lugha katika taralila hii haijavaa chupi!:-(]


LABDA kuna wengi,....
.....tupendao KUKUBALIWA,...
.... hasa  ni kwa kuwa tunafikiri tunahitaji KUKUBALIWA!:-(

Swali:
  • AU?


Na UKIKATALIWA hata katika tu  ni kwa USEMALO,....
....kama tu mwenye hamu AKIKATALIWA uchi afikiriao ndio anauhitaji HATA KAMA ni wakati anayeumiliki uchi wa AMANI, HESHIMA au tu UCHI  tu  ULEULE kama neno uchi kwa WASWAHILI LIMAANISHAVYO wa ambaye hata HUMPENDI VIZURI KIHIVYO wakati unatamani chake kidude,....
...............................................................
NDIO,....
.....KIDUDE KIMAANA hasa ILEILE kwa mwenye kufikiria ngono aaminivyo uchi ni  ule ujulikanao kama sehemu za siri hata  WAKATI SEHEMU ZA SIRI LABDA SIO SIRI KIHIVYO hasa kama ni  kwa kuwa kila mtu anacho au tu  kwa aliyeshiriki hata KISICHOPATA MIMBA hasa kwa walioshiriki naye  KIITWACHO SIRI na WAUNGWANA  hata kama HAKIKUZAA MIMBA cha julikana sio siri ,....


..... kwa kuwa kuna mengi  ambayo hudhaniwa ni siri hata kama YALE YA KAMA tukijua wewe ni FISADI si lazima tukuambie ni nini unafanya udhaniacho ni SIRI wakati labda sio siri ,...
.....ingawa tunaweza kinamna kukubali  lifanywalo NAWE  kuliko hata  swala la siasa za KUJITEGEMEA kipunyeto laweza itwa siri kwa kuwa HATA NIKATAE chaajabu kuna wadhaniao ni SIRI hiyo,........:-( 

Swali:

  • AU?
  • SI umestukia napoweza kuwa NACHEMKA?


Ndio,...
... labda ,....
.....UKIKUBALIWA unaweza kujisikia kama aviziaye UBWABWA WA MSIBA usiomhusu ajisikiavyo akifanikiwa kupata SINIA  ZIMA LA PILAU lake MWENYEWE msibani kwa kudhaniwa tu ni ndugu ya MAREHEMU,....

...ingawa tunajua kuna WALIOWAHI KUKATALIWA ambao kwa hilo wanajisikia vizuri kweli leo,...
.... kwa kuwa kwa KUKATALIWA hata tukiruka  ukweli walikuwa wanaogopa UKIMWI,....

... leo hii moja ya KUKENUA KWAO MENO kwa furaha kunatokana na kustukia tu KWA KUKATALIWA KWAO labda ndio sababu leo hawana UKIMWI na aliyekubaliwa ndio aliingia kichwa kichwa KASWENDE ,gono na UKIMWI   na baada ya fangasi za kunako ndio akacheki na kustukia MDUDU wake ni kama wa LIMPENZI alilowahi kujifikiria kuwa ni mjanja kwa kuwa katika lililokuwa linawachekea embe LAWALAWA aliye wini ni yeye ambalo lilikuwa kwa mbali kunakoNANIHII lilikuwa angalau na mifangasi!:-(

Swali:
  • SI unajua katika KUSHINDA kitu labda USHINDI bado sio kile washangiliacho WATU?




Ndio,....
.... katika KUKUBALIWA sio vyote vya kila mtu kushangilia hasa ukizingatia,....
..... wakati kuna MSENGE awezavyo kushangilia ushindi kuwa ni kupata  tako la mwanamume mwenzake,....
.... wapo VIDUME washangiliao hadharani uzuri wa matako ila SHAHADA YAO  ni kupewa hata kiuasherati cha mdada kilicho kwa mbele ya matako.:-(


Na ndio,...

...pia kwa KUTOKUKUBALIWA pia  kuna walioenda shule nzuri ZAIDI ya baada ya yakupasi kutokukubaliwa,....
...kitu kiwezacho KUTAFSIRIWA kutokubaliwa KWAO ndio siri ya MAFANIKIO yao,....
...... ambayo WENYE akili wanaweza kustukia hilo hata bila KUKAA kitako.:-(


NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA na kwako ni  RUKSA KULITEMEA MATE POOO na samahani kama kwa kukatizia denge limegusa LUGHA au hata  tu kidude ambacho kwako hukifanya chooni ulikopekee na sio HADHARANI ujulikanako kwa UHESHIMIWA  WAKO na usingependa kukutananacho HADHARANI kwa wasio heshimiwa kama SISI!!:-(




Swali nje ya tundu:
  • Si unakumbuka WEWE sio SISI na yule sio MIMI?
Hebu ICE CUBE na Dr Dre wabadili na kuongelea ng'we - Natural born killaz




 MAXI PRIEST anisaidie kulainisha mshawasha kwa kujaribu  kuomba tena lawalawa kwa-One more CHANCE




Halafu sijui kwanini hebu tumtembelee tena ICE CUBE katika- It was a good day

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

emu-three 2:38 pm  

Mhhh, mkuu, hebu nisome tena, maana sijatulia kiakili...mmmh

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP