Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ukiwepo labda kuna mtu anajibaraguza!:-(

>> Tuesday, January 18, 2011

Na kinachoongelewa NA BAADHI YA UKUBALIAOKUBALIANA NAO KITU baada ya kuongea nawe na wewe kuondoka,....

..... ufananaji wake na vitakavyo ongelewa,....
.... labda ni sauti tu za watu  WALIOHUSIKA na sio kisemwacho.:-(

Swali:
  • Si unajua kisemwacho MBELE YAKO na wakati umeenda msalani kinaweza kuwa ni tofauti hata kama sio kibaya na moja ya sababu inaweza kuwa  wakusemao wanakuheshimu na kisemwacho wala sio KUKUKANDIA?
Ndio,...
.... mara nyingine kisemwacho ukiwa haupo ,...
.... ni kusifiwa ambako watu kwa sababu fulanifulani hawakupi dozi mbele yako,...
.... ingawa kusengenywa nako kupo kwa kuwa kama una bonge la misuli  au tu mama mwenye nyumba unajua tena kuwa huyo hausigeli atakuwa hataki kazi kama atajitutumua kukupa DOZI ya  ukweli kuwa unamuonea bwana yako kwa kumnunianunia kila akitoka kazini  wakati mtaani wajulikana kwa kuchekea kila mtu!:-(

Naendelea kuwaza...


Na hebu tupumzishe wazo kwa kumdeku Rais  NYERERE akinyolisha kinyolinyoli baiskeli yake....




Au tu Mighty Sparrow arudie katika kumkumbuka nguli Lord Melody adinye tena ndude-Melo

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP