Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa kuwa labda tunanogewa VITU kitofauti!

>> Tuesday, June 07, 2011

Kwa kuwa tunatofautiana staili ya kunogewa na KITU,....
.... kuna waaminio wananogewa na KITU SAHIHI,...
.... hasa kama wanogewacho nacho kinasifa za CHAI kwenye jamii ipendayo CHAI na tunogewacho kinasifa ya GONGO hata kwenye jamii yenye BIA.:-(



Na katika hilo ,...
... kuna wadhaniao kunogewa na KEKI ni ujanja kuliko kunogewa na UGALI kwa MAHARAGE!:-(



Swali:
  • SI  kunauwezekano wakati MTU ananogewa na yake hata kama ni ya DINI yake kuna wajitahidio sana kujihakikishia viwanogeavyo ndio sahihi kwa kunyoshea vidole tunogewavyo navyo sie wengine?

Ndio,...
..... kuna wakukosoao kwa unogewayo nayo,....
..... wafanyacho ni katika tu kijihakikishia yao ndio yenye utamu SAHIHI!:-(

Ni wazo tu hili Mheshimiwa!:-(

Hebu Lord Nelson aingilie kati kwa - King Liar




Lord Pretender aendeleze kwa - Never Ever Worry




3 canal wamalizie tu kwa -GOOD MORNING NEIGHBOUR



0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP