Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

AlQaiDa/Talibani mbaya lakini......

>> Friday, July 07, 2006

Kwa wale wasafiri wa anga za magaribi miaka mingi watakubaliana na mimi. Enzi hizo Mtu mweusi alikuwa ndio mtu mbaya mipakani. Madawa na kila uhalifu walikuwa wanaoanisha na rangi nyeusi mipakani mwa nchi za viwanja vya juu. Siku hizi angalau Waarabu na Waislamu weupe wenye madevu marefu wanasaidi watu weusi tupite kirahisi kidogo.Hata Rasta kama mimi Mara kibao au karibu zote nakatiza tu siku hizi.

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP