Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Hivi Baiskeli Weusi hatuwezi Kuendesha?

>> Friday, July 07, 2006

Nilikuwa naangalia Tour de France! Sioni hata mweusi mmoja.Hakuna katika timu ya Marekani wala sehemu yoyote ya dunia hii mtu mweusi akiendesha baiskeli hata kwa kuwakilisha tu. Je, ni kweli hatuwezi kuendesha Baiskeli? Nimemkumbuka Madenge alikuwa anaendesha baiskeli mpaka za miti.nimekumbuka kuwa ni mwaka huu tu Nascar kumepatikana dereva wa kwanza mweusi. Monfils na akina Wiliams sisters wanawakilisha weusi katika Tenis.Sasa jamani baiskeli vipi?

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP