Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Samahani kwa Kupotea kiduchu!

>> Wednesday, June 11, 2008

Katika mtafuto wa kuweka maisha katika uzani ambao hauangaishi sana, nikajikuta niko uchochoroni kiasi kwamba, kuna maeneo hasa ya mawasiliano na ndugu, jamaa,maadui na marafiki , yakakaa kushoto kidogo.

Kwa wadau wa BLOGU hii, ..
Samahani kwa kutokuwepo hapa kijiweni kwa muda!:-(
Tuko Pamoja!
Au niseme......

Kabla sijasema zaidi, msikilize kidogo MOS DEF



SAMAHANI naweka tena Picha zangu na wadau za mchanganyiko! Naendelea kuwashukuru wadau wangu kwa yote niliyojifunza kwenu na mliyonisaidia, Wadau ambao tumekutana , Wadau niliowaweka picha hapa na pia wadau wote popote duniani!
ASANTE!

(Zinaweza zikawa zinajirudia kutokana na kuzipandisha haraka haraka)

Samahani kwa wawezao kuzinguka!


Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket
Photobucket

Powered by beta.joggle.com

Basi Bwana!
Mpate tu Talib Kweli akikukumbusha KUSIKILIZA

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP