Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Nipo zaidi BONGO!

>> Wednesday, April 07, 2010

Nachezea vipengele zaidi MOROGORO, Dar ES salaam , ARUSHA na NAIROBI!

Na kwa kuwa niko njiani sana UNAWEZA kunikosa kwa muda HAPA kijiweni.:-(

Lakini kama unataka kuninong'oneza kitu,....
...waweza kufanikisha kwa kutungua namba:

    +255756295664

SIKU NJEMA MKUU!

11 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:03 pm  

Kila la kheri. Na uwe na wakati mzuri sana ila ingependeza kama ungeaga kabla hujaingia Bongo labda ungepata maagizo:-(

Koero Mkundi 6:20 pm  

nakutafuta kwa udi na uvumba tufunge ndoa haraka tuishie zetu majuu....LOL, duh! bahati ya mtende hii jamani.......

EDNA 6:39 pm  

Uje na dagaa wa kigoma wakati wa kurudi.

MARKUS MPANGALA 7:18 pm  

bado unakula ndezi???

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) 10:55 pm  

Safari njema Mwanafalsafa Mtakatifu...

Mzee wa Changamoto 4:24 pm  
This comment has been removed by the author.
Mzee wa Changamoto 4:25 pm  

Ahaaaaaaaaaa.!!
Basi ingia "mawazoni" mwa wananchi kisha utueleze "namna waonavyo tatizo" lao maana wasipo-"vukani"ka kuna uwezekano wakafuata taswira ya uso (ambayo si mara zote huwa sahihi) watakaposhindwa kutambua kuwa "chakula kitamu na kichungu vyote vyaweza kumfanya mlaji akakunja uso". Utakuwa chachu ya "maisha na mafanikio" yao ukiwaeleza ukweli wa maisha na kuwawezesha "kujitamgua" na kufanya kazi na sio kung'ang'ania "kijiweni" kusiko na uzalishaji.
Pia ukirejea tueleze namna ambavyo "wavuti" zetu zatumika kuelimisha na kukomboa jamii za huko.
Kila la kheri Kaka
Tuonane NEXT IJAYO hapa hapa kwenye your "little world"

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 9:58 am  

njoo Bukoba au Musoma pia

Christian Bwaya 4:58 pm  

Nadhani sasa utakuwa wakati muafaka wa kutukutanisha wanablogu tuishio Bongo.

Fadhy Mtanga 11:39 pm  

Mwananchi mimi nina hamu ya kukutana nawe ili tu jielewe na kuambizana kulikoni ughaibuni kabla hatujaambiwa karibuni nyasa.
Kila mtu na kipaji chake, kaka Mubelwa ndo fundi wa kuunganisha blogs zikaleta maana.
Mtakatifu, Askofu anaomba uhakikishe mnakutana ili wazo la kaka Bwaya lifanyiwe kazi.

Simon Kitururu 3:46 pm  

Asanteni Wote!Na ntajaribu kufanyia kazi yote mliyodokezea!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP