Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa Malenga wetu na wale wachekeshaji!

>> Thursday, August 17, 2006

Kwa sababu nisizozijua nimejikuta nafuatilia mashairi katika Def Poetry.Na huyu Black Ice amenisaidia kusikiliza hadithi za wamarekani weusi kutoka mtaani bila ya kusikiliza HipHop.Cheki moja ya kazi yake hapa .Nikakumbuka bongo tulikuwa na Malenga wetu radioni, sijui bado ipo? Hivi Malenga wetu imeingia katika Luninga Tanzania? Pia katika maswala ya wachekeshaji weusi wa Kimarekani nimerudi nyuma kwa wachekeshaji wazamani kama akina Richard Pryor.Ingawa huyu jamaa analalamikiwa ndio kachangia sana kusababisha waburudishaji weusi wawehuru kutumia neno Nigga. Cheki kipande hiki . Mwandani lini kitabu cha mashairi yako kitatoka?

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP