Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Siasa za Bongo zinavindumbwe vyake, lakini ukicheki Kongo sijui utasemaje!

>> Wednesday, August 02, 2006

Joseph Kasavubu

Raisi wa kwanza ambaye alimpiga vita waziri mkuu wake Lumumba ilakujikuta anapigwa chini na Mobutu.






















Patrice Lumumba Tarehe May 11-25, 1960 alishinda uchaguzi uliowezesha yeye kuchukua uwaziri mkuu wa nchi .Hivi unakumbuka kuwa ni UN iliyokataa kumuokoa kutoka kwa majeshi ya Mobutu kutokana na amri kutoka makao makuu New York?




















Mobutu Sese Seko Nkuku Ngbendu wa za Banga alipindua tarehe 14,septemba 1960













Laurent Kabila. Aliyempindua Mobutu Mei 1997.













Joseph Kabila mtoto wa Dar au tuseme Mbeya? Alichukua nchi tarehe 26 January 2001 mpaka kwenye uchaguzi huu wa Julai 30,2006.


















Nzanga Mobutu . Mtoto wa mke wa pili wa Mobutu atakaye kuila nchi tena.








Haya inavyoonekana bado Kabila na Mobutu wamo katika siasa za Kongo. Siasa zetu Afrika zinahitaji ukarabati wa hali ya juu. Afadhali Tanzania viongozi bado wanang'atuka bila vita. Lakini wanapeana ulaji katika staili ambayo hatuwezi kubadilika au kuendelea kwa kirahisi. Haya tusubiri matokeo ya mwisho. MUNGU ibariki AFRIKA!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP