Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Chakula cha Mawazo-Biblia !

>> Saturday, December 30, 2006


Katika vitabu ninavyovipenda kimoja wapo ni biblia. Leo naendelea kusoma historia ya kitabu hiki kama nilivyosema kwenye video hapo juu.Nitaandika zaidi siku nyingine lakini kwa kifupi historia ya kitabu hiki huwa inanizingua sana .Najaribu kukisoma na kuendelea kujifunza kutoka kwa watu wengine wengi . Na kila mara nakutana na watu wengi wenye maelezo tofautitofauti wakiwamo hawa hapa chini...

na mwingine huyu hapa..


Pia ningeomba mtu mwenye data nzuri za kuaminika kuhusu historia ya Kuran zaidi ya hii hapa anisaidie dondoo za vitabu au sehemu nayoweza kujenga picha zaidi ya jinsi kilivyoandikwa na kutunzwa mpaka sasa.Ningependa zaidi kujua histori ya jinsi maandishi yalivyokuwa yanaandikwa au kukaririwa katika kipindi Quran ilipoandikwa.
Nakuacha na Injili ya Yuda hapo chini, wakati nikiendelea kutafakari kasoro na upungufu wa kiubinadamu unaotukabili sisi wanadamu.

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP