Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

James Brown afariki!

>> Monday, December 25, 2006


Mzee James Brown ndio kaanza hivyo. Mimi kama mpenzi wa Soul , Funk amekuwa akiniburudisha muda mzefu tu. Uwezi pia kusahau mchango wake kwenye Hiphop na miziki mingine.Mzee kafariki akiwa na umri wa miaka 73 baada ya kupata nimonia.Pumzika Mzee!

Hapa Chini mwaka 1966 akikupa zile nyimbo zake. Baba ana mkoba mpya na pia ule wimbo najisikia vizuri


Hapa chini katika mwaka 1966 vilevile akinipa nyimbo kadhaa ukiwamo ule utukumbushao kuwa leo inawezekana ikawa ni siku yetu ya mwisho kuwasiliana ,kusalimiana, kushikana mikono na kadhalika. Duh unajua hii leo inawezakuwa siku ya mwisho kwetu wote?Samahani nilio wakosea na nimewasamehe mlionikosea.Kama hatukutani tena bye bye!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP