Niko TANZANIA , najifunza KWA muda KIDUCHU kunanihii!
>> Wednesday, July 30, 2008
Niko BONGO nyoso , bado sijajulia.
Unawezakunipata kwenye namba:+255765855382
Usipoangalia, NITAKUJIBU!
Nikichelewa kurudi hapa kijiweni, NAOMBA MSAMAHA!
BAADAYE BASI!
Niko BONGO nyoso , bado sijajulia.
Unawezakunipata kwenye namba:+255765855382
Usipoangalia, NITAKUJIBU!
Nikichelewa kurudi hapa kijiweni, NAOMBA MSAMAHA!
BAADAYE BASI!
WEWE si YULE!
Kuna ambacho YULE anaweza akakudanganya UKAAMINI!
:-(
Wakati unamkubalia, unaweza ukawa unauhakika ANAKUDANGANYA ingawa unapenda tu SAUTI ya SENTENSI.
Wakati unakataa , unaweza ukawa na sura ya FURAHA ingawa labda UNGEKUBALI, ungekula PILAU, kama wewe ni MPENZi wa PILAU.
SWALI:
Ukiwa na HAMU!
Akili yako itajaribu kukutimizia HAJA za HAMU.
Ukiwa na haja, ni rahisi kufikiria kuwa kuna staili BOMBA za kutimiza HAJA yako kama YAKE.
Kutimiza haja yako ,inawezekana kuwa ni WEWE PEKEE unaweza kusawazisha kwa sababu UKWELI ni kwamba haja yako unaijua vizuri wewe MWENYEWE.
Swali:























































© Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008
Back to TOP