Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MASWALA ya kumtamani MKE au MTU wa MTU!

>> Sunday, July 13, 2008

Swali:

  • Ushawahi kumtamani mke wa NYANI?
Kisicho chako kinavutia kama kufanya MATUSI!

Staili yako yakuvutiwa kugida UKOKO anaijua aliyepembeni yako wakati unajifanya unaonja UTANDU.
Asiyejua jinsi uchuchumavyo MSALANI ,wakati unatafuta KUSIGINA, anaweza akadhani kuwa anajua unavyo KUNYA kwa sababu anajua kilaMTU baada ya muda fulani KIDUCHU, ana kunya.

(SAMAHANI kwa kutamka neno KUNYA. Nilikuwa na maanisha kwenda haja KUBWA!):-(


Wakati unamtamani KIKWETE au KHADIJA, inamaanisha USHAKULA chaKULA.

Ukiwa na njaa........., HAUSIgeli, hausiBOI,au hata MWALIMU wa KEMISTRI, haTAMANIKI.

HATA ZUBEDA au SAIDI, kama unatumia afichasho SAIDI na MWAJUMA,hatamaniki kama tu KISAMVU wakati unahisi unataka kula CHIPSI mjusi.

LAKINI.....
.....wakati unafikiria kutamani kufanya UASHERATI na nanihinoo, inamaana ungetaka tu kufanya UASHERATI na nanihino kwa sababu nanihii IMEPIGA MAGOTI au imelowa kutokana na shahuku ya JEMEDARI HAMU . Tendo hilo lingekufanya UWE TU BINADAMU haLISI.


Kuna vitu wewe kama binadamu , lazima uvipitie au vikuPITIE tu.

AU?

SWALI:
  • USHAWAHI kutamani KUWA MKUBWA?

Naacha hii TOPIKI MDAU!
NAACHA kabla ujaanza kuwa na uhakika kama namtamani HAUSIGELi wako kama TIGER WOODS alivyo mpata MKEwake kpitia kwa .........

DUH!
------------------------------------------------------------------------------------
PATA kidogo TOUCH and GO wakiuliza UTAFANYA uasherati na MIMI?


Jaribu kucheka kama HAWA JAMAA watakuchekesha

AU tuende tu kumsikiliza ISPECTA akiwa na wadau zake wa BONGO NYOSO katika dawa iitwayo JELA

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP