Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MADAIRO ya KUFANYA ujinga kwa kutumia AKILI.

>> Wednesday, July 16, 2008

Kusema NISHAI!

Unaweza ukajikuta umehakikishia UMATI upumbavu kwa kitendo chako cha KUONGELEA KITU au hata SENENE.

Tatizo la kukaa KIMYA, ni udhaifu wake katika kusaidia watu kujua NANIHII au UPUMBAVU.

Ukitaka kuongea kama unaAKILI kuhusu jambo la KIPUMBAVU, kuna watakaofikiri jambo la KIPUMBAVU ni la MAANA au ni la akili.

Lakini...
...inawezekana kwamba ni kweli kila mtu anaAKILI na ni ujazo tu katika MATUMIZI ya AKILI utofautishao UJINGA wa yule na yeye kama sio MIMI.

Natishika na JINSI wenye BUSARA na AKILI wafanikishavyo KUFANYA UJINGA kwa kutumia AKILI!

SWALI:

  • Ushafanikiwa kufanya UJINGA mara ngapi tokea JANA?

SIKU NJEMA!


------------------------------------------------------------------------------------
Kama una nafasi mcheki Joshua Klein: azungumzie maswala ya AKILI ZA KUNGURU katika :The amazing intelligence of crows




Mike Myers akughanie malalamiko yake kidogo kuhusu MWANAMKE katika Woman Beat Poem


Au nimuache tu FOXY BROWN katika OH YEAH

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP