Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

HONGERA mvivu UGUNAYE CHOONI kama YEYE ,yule au MIMI !

>> Friday, July 11, 2008

Swali:

  • Ushawahi kukutana na UAMINIYE kuwa ni MVIVU wakati ana NJAA?


Uaminiye ni Mvivu, anaweza kukushinda kwa bidii ya KUOMBA!


Mvivu kwenda KAZINI, anaweza akawa ni JEMADARI kwa kwenda MADUKANI kununua ANASA , kama unampatia au anajipatia ile PESA AMBAYO ingekuwa yakununulia Bata wa KRISMASI au ya kujipendekeza tu kwa MAMA MKWE au JIRANI

Mvivu wa kusoma KAMASUTRA aweza kuwa anajuhudi ya kupika KASHATA:

Saaaaasaaaaaaaaaaaa!

NISikuzingue MDAU!

SIna stori kama kawaida zaidi ya ujinga wangu!

WIKIENDI NJEMA!


-------------------------------------------------------------------------------------------------
SAMAHANI kwa HERUFI KUBWA!

HEBU kama si muoga wa mashetani au muoga lakini unataka kujua stori za ATOLEWAYE SHETANI , twende UFILIPINO Kidogo tukasikilize kitu....

HALAFU Kama MUOGA , usiangalie kideo hiki cha SHEKHE amtoavyo shetani pale BRUNEI

AU tulia tu au ANGALIA na SIKILIZA Morgan Heritage wakupe dawa iitwayo Liberation

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP