Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KUHUSU ubingwa wa BINADAMU katika KUSTUKIA harufu MBAYA ya WALI

>> Wednesday, July 16, 2008

INASEMEKANA ...
.....MBWA , Nguruwe au hata NGEDERE wanauwezo mkubwa wa KUSTUKIA harufu kuliko BINADAMU.



Inasemekana....
......BATA , Nyoka au hata MINYOO, inauwezo mkubwa wa KUOGELEA kuliko BINADAMU.

Labda.....
......KUKU anaweza akawa MJANJA kuliko binadamu ndio maana bado hajaanza kutafuta kuvaa chupi na bado anatembea kwa maringo BILA VIATU.

SI BINADAMU anaamini ANAAKILI kuliko viumbe vingine, ndio maana hata VISIVYO vya MAANA ni vya MAANA kwa MTU?

SI...
...ndio maana BINADAMU anadharau BATA na hata BIN-ADAMU MWENZIE kwasababu eti yule ni ANDUNJE?

BASI MKUU naacha hiiTOPIKI!

Swali:

  • Kama BINADAMU tujuavyo harufu ya MAANDAZI, unafikiria MBWA anafikiria binadamu ananuka sana WAPI na ananukia harufu GANI?


DUH!

Nakutakia HARUFU njema basi!
-------------------------------------------------------------------------------------------------



HEBU cheki WALIOKUWAnavyo tokea enzi hizo ndani ya AFRICA



Angalia tu kiendeleacho akilini mwa Binadamu akifikiria anashuhudia...

au twende tu KAMERUNI tukapate maswala ya Longue Longue

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP