Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MESEJI ya UJUMBE wako au WAKE huweza KUPOTEA akilini mwa BIN-ADAMU umtongozaye hata kama ALIIPATA KAULI!

>> Friday, July 18, 2008

Kuna watakaosema kuwa ,HATA UJUMBE wa YESU au IDDI AMINI , kuna waliousikia na KUUSAHAU kama tu UJUMBE wa NYERERE au yule BABU YAKO.


NGUVU ya UJUMBE ulioupata na KUTOUFANYIAKAZI ni MZURI tu kama MABIRINGANYA uliyopewa lakini HUKUYALA.

Tatizo la ujumbe uupatao,.........

....... ni ukweli kwamba MTU MWINGINE ndio anayekupa huo USHAURI ,ilikukusaidia ufike AFIKIRIAKO unataka kwenda au inawezapia kuwa ANAKUGAWIA UJUMBE katika kujisaidia YEYE MWENYEWE kujisikia kasaidia , kakusaidia AU kakushauri!

Swali:

  • Hivi ni kweli unataka kwenda KULIA kama ushauriwavyo nawafikiriao unakwenda KUSHOTO?
  • Meseji ya ujumbe wako leo kwa YULE ni NINI?

WIKIENDI NJEMA!
--------------------------------------------------------------------------------------

Pata SOUTH AFRIKA kwa KINYUME....


Ngoja JAMES RANDI ajaribu kuangalia Psychometry



Namuacha tena MICHAEL JACKSON katika DANCE BREAK

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP