Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Raisi wa Gambia agundua dawa ya UKIMWI!

>> Saturday, March 17, 2007

Raisi wa Gambia Yahya Jammeh








Kuna habari nyingine ukizisikia huachi kupigwa butwaa.Umeipata lakini habari hii . Anasema mababu walimtonya kuhusu dawa hiii alipokuwa usingizini.Ila huwa anaponya UKIMWI jumatatu na alhamisi. Halafu kama una Athma au bronkaitisi atakutibu jumatano.
UNABISHA?

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP