Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Samahani kwa kupotea!

>> Wednesday, March 14, 2007

Samahani unajua tena nimebanwa kinamna .Nimekosa nafasi ya kublogu kinamna.
Lakini mimi, Mtimkubwa,Aliko na Dr Chiwalala , tunaanzisha blogu ya sanaa na wasanii wa Tanzania hivi karibuni....
Duh!Kama hutujui...
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mtimkubwa

tra

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko aka Altune




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Simon. Duh!Sijui kwanini ninajina la Kizungu!Silibadili lakini:-)

Samahani! Dr Chiwalala picha yake inakosekana hapa leo.
Lakini nisikilize basi....



Lakini washikaji tuliokuwa pamoja siku hizi chache ambazo sija Blogu asanteni!Hawa baadhi yao. Kama sijaweka picha yako usistuke. tukopamoja.Unajuatena!

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mkuu wa Kikao



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Deo




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Don Philly





Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Tony Asante kwa yote.Unajua namaanisha nini



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sini




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
T.I na Wax. Lakini mlinikimbia...



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ronaldo aka R.Kelly/50


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee Mago aka Strategy


Aliko eeh !Unamkumbuka huyu Snoop Dogg alichotufanyia wikiendi iliyopita?.....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Huwa nasikiliza Hiphop lakini...
Kuna washikaji wananiambia kwanini katika blogu yangu hakuna Hiphop.Nasikiliza miziki yote. Halafu kama unanijua vizuri unajua huwa napiga miziki karibu yote saa nyingine. Au?
Ngojea nikuache na kikundi cha hiphop ambacho hakinichoshi......TribeCalledQuest..

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Anonymous 9:17 am  

Why did you have to put that ugly one? :DDD

Simon Kitururu 9:33 am  

@Sini. That is one cute photo of U in my opinion.

mwandani 10:01 am  

Why are you advertising tobacco?

Simon Kitururu 10:41 pm  

@Mwandani:Sikustukia hichokitu mpaka ulivyosema. Lakini nafikiri unakumbuka kuwa mimi sivuti chochote chenye moshi

Jeff Msangi 1:12 am  

Nakubaliana na Mwandani,
Tumbaku imetangazwa kwa sana hapa.

Rundugai 7:06 am  

Labda anataka kutukataza tusivute wengine.
Tumbaku ni mbaya

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP