Thursday, June 28, 2007

Umoja wa Afrika nishai!- Asema Gaddafi !



Gaddafi kasema juzi kuwa jawabu ni kuwa na serikali moja ya Afrika.
Asema mtengano huu wa nchi za Afrika hausaidi hata nchi moja ya kiafrika.
Asema OAU na AU kwa miaka yote hii hajafanya kitu ambacho serikali moja ya Afrika inaweza kufanya.
Lakini.....
Hata hapo Afrika Mashariki, kuunganisha Tanganyika na Zanzibar kasheshe.Je, Kuunganisha Kenya na Tanzania .......halafu.....
DUH!
Katika mambo fulani ambayo Gaddafi anazumgumzia ambayo nayaunga mkono , pamoja na kuonekana kuwa yeye ni muovu kwa wengi, ni hili swala la muungano wa Afrika.

Lakini ....

  • Nakumbuka jinsi Kwame Nkurumah alivyo tumia pesa ya Ghana kujaribu huu mradi wa United States of Africa.
  • Nakumbuka jinsi Nyerere alivyo kuwa anaboresha Afrika kwa ujumla kwa kutumia mali ya Tanzania bila ku...Duh!Unakumbuka eti kavita ka kagera kanatukosti mpaka leo
  • Halafu nakumbuka jinsi Lumumba hapo Kongo alipokuwa anamfuata Nkurumah na.....
Lakini na kumbuka pia Sun Tzu katika kitaku chake cha The Art Of War alivyo sema kuwa.......
  • Ukitaka kushinda, kuwa na mpango ,lakini unayetaka kumshinda usimjulishe unatakakumshinda.Atajiandaa.
AU?
KWA Hivyo ...
Tuendelee na Kutengeneza Umoja wetu wa Afrika.
Swali:
Lakini ubangaivyavyo ni lazima wengine wajue?
DUH!

Labda...!

Lakini ngojea nikuondoe katika siasa zilizo kichwani nikuache na picha za chobisi za siku nilizo kutenga kidogo.
Napia ....
Umemsikia huyu mdau wa Moshi/Arusha akiwa na bendiyake 1/2 Caste.
Duh!Kiswahili si ni Chotara eeh?

Lakini kuna Mdau Mwingine huyu wa Arusha/Moshi ambaye Bongo hawamjui lakini katika Maiki Duh!Nikimdaka vizuri sehemu utamsikia..
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Yasin .Huyu we ngoja utamsikia halafu utaniambia
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Akiwa nami
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Abdulkarim!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Abdulkarim eeh?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mtimkubwa . Samahani nilibakia!
Ushawahi Kumuona Aliko bila kofia?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko !
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko eeh?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Lakini nakutakia kila la heri kati maonyesho yako Urusi!

Ze mambo mengine...

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ze mimi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sio hoteli yangu lakini:-)
Samahani tena msikilize Majuto


Lakini mambo mengine zaidi....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sasa...
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Saaasaaaaa eeh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Ngojea nimuachie Snoop Dogg aelezee....

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Vyombo vya Rumi viko tayari.
Samahani kama hujui hili jambo.....!
Tulipitia hapa kumcheki mbongo aitwaye Rummy akiwa na bendi yake Mighty 44
Msikilize kidogo basi....

Sasa Rummy aka Rumpunch aka Mr B alipokuwa kazini....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mpiga gitaa
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mfuta jasho nyuma ya maspika
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Rummy kazini
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ushangilizi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko, nilikudaka ulipogeuka katika ushangilizi:-)
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Rummy na Aliko baada ya kazi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Abdulkarim, Rummy , Mtimkubwa na mimi baada ya onyesho.



Sasaaaa.....
Turudi kwa
Gaddafi! basi.....

Huyu jamaa wengi wanamuita Muarabu kwasabau ni Muarabu. Lakini Huyu jamaa anajaribu sana kuwahakikishia watu kuwa ni Muafrika.
Duh!
Swali:
Hivi Libya si iko barani Afrika?
Hivi Dewji pale bongo ni Mhindi eeh?

Sasa wale Waafrika ya kusini, akina Dr Leakey na wale pale kilosa na chobisi nyingine ambao ni weupe , sio Waafrika eeh?
Najiuliza tu usitishike!
Niko Mawazoni!
AU?


Halafu usimaindi sana Snoop Dogg pale juu.
Endelea na Onyeka Onwenu na King Sunny Ade hapa
Alhamisi njema!

Lakini kuna wadau wamenitumia e-mail kusema kuwa wanapata taabu kufuatilia nasema nini na namaanisha nini!
Duh!

Mzee Manento eeh!
Nimeingia mjini jana usiku !
Nikipata nafasi usishangae kile kitu.

Sunday, June 24, 2007

KUNONG'ONEZA!

Kwa sauti ya Nzige
Wakati jicho likimuiga kinyonga
Kumtazama......
Kumuambia......
yale maneno ya asali...
matamu hata kama ujala futari....


Ili nikunong'oneze....
lete sikio karibu basi!.....
Upatiwe mnong'ono ......
ili watu wengine wasisikie basi.

Duh!
Hebu Meiway na Lokua Kanza watupooze kidogo.........



Ngoja niendeleeee............

AU?



Nipe mkono
Usikie mnong'ono wa moyo wangu basi.....
kwani mdomo..............!
wafikisha nusu ya ujumbe usiowazi...
Ingawa na hema na moyo usiowazi
Nahisi kama paka...
wajua ushanidaka basi!


Duh!
Sasaaaa........!


Pumua kidogo na Damian na Steve Marley
.
Najua lakini kuwa nimezidisha rege za familia ya Bob Marley kipindi hiki lakini....!



Sasa nakuacha na baadhi za picha za wiki mwisho hii........
Lakini kabla ya hiyo......
Samahani Ronaldo, Mzee Wax, Aliko ,Deo Mponda,Ben Kakengi ,............... na wote wengine...Usimaindi kama sijakutaja jina.:-)
Sikutegemea watu watakuwa wengi hivyo chobisi .........
Lakini naamini mlistukia maswala.

Lakini.............


Na anza na Ze nyama choma...

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
sasa!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
sasaaaaaaaaa!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Nyama choma zaidi..
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket



Ze Watu....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ruth
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ruth eeh!
Najua hupendi kupigwa picha:-)
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Stacy
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Njau.Ungekuwa Mtanzania ningefikiria kuwa wewe ni Mchaga.Lakini hivi Njau kwa kikikuyu maanayake nini?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Pihla
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Irene
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
DUH! lakini tuendelee kidogo.......

Najua umechoka kucheki ZE PICHAS!


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ze Mpishi:-)

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sasa!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sasaaaaaaaaaaaaaa eeh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Naacha basi!

Kumbe kesho ni jumatatu eeeh?

Lakini basi ngojea upone kutoka katika adhabu ya kuona baadhi ya picha za wiki mwisho hii kwa kusikiliza hiki kibao cha longi cha SNOW


Duh!
Turudi kwenye kunong'oneza......!

Swali :
Ushawahi kunong'onezwa hivi karibuni?

Lakini minong'ono mingi niumbeya.

AU?

Usisahau kuni....

Friday, June 22, 2007

Leo ni siku ya kuzaliwa Bibi yangu!


Bibi yangu Mzaa Baba katimiza miaka 90 leo.
Sijui kwanini sikuwajulisha siku ya babu yangu.
Babu yangu Mzaa baba sasa hivi ana miaka 100 na miezi mitatu.

Duh!
Babu Mzaa Mama nilipozaliwa alisha anza. Bibi Mzaa mama alifariki wakati mimi mtoto mdogo sana.

S
amahani lakini kama nakuzingua kwa kukupa kastori haka kangu hapa.
Duh!
Umesahau kuwa hapa ni chobisi yangu nini?
Samahani!

Hii ni kama unajiuliza kwanini ninaumimi hapa!

Swali:
Si katika zile dondoo tupewazo...
Zinasema Waafrika hawapitishi miaka arubaini na.....?

Sasaaaa ...................

Siko Tanzania.....
Siamini katika X-mass, sikukuuu ya kuzaliwa hata Kitchen Parti.....................
...
Lakini nimewatonya wadau fulani , hawaja kubali kuniachia bila kusherehekeaaaaaaaaaaaa.

Mimi Naenda chobisi hapa katika miondoko hiiiiii..


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Samahani!Sikupanga halafu nikitu nimestukia kuwa wadau wameniandalia leo.Kwa hivyo kama utawahi hakuna noma.

Karibu!

Kila kitu kipo!

Pata haka kawimbo ka Steve Marley basi, kabla hatuja wasiliana ...


Ben na Mtimkubwa najua Reggae haipandi lakini....


Tukopamoja!

Thursday, June 21, 2007

Wadogo leo , kesho ni....


Wakubwa leo pamoja na mapungufu yao ,walikuwa wadogo kipindi fulani.
Kinachosikitisha ni kwamba, pamoja na ukweli wadogo leo ndio wakubwa wakesho, hakuna uhakika watakuwa wakubwa wa namna gani.

Kabla sijasema..
Msikilize Ziggy MarleyAkikuimbia Small People


Kila siku iendayo inamaanisha tumekua kiumri kwa siku moja. Lakini si kweli kuwa hiki kitu kukua kinagusa kila kitu sawasawa. Kuna maswala kama ya umaskini yanaweza kukua kinyume na mategemeo ya wengi, hasa wale watakao kufuta umaskini kama tuujuavyo.
Lakini hebu tuangalie baadhi ya madogo yakuayo.....

  • Watoto leo , twategemea kama hawatadumaa basi ndio wakubwa wa kesho
  • Njaa iaandamayo dunia leo yatarajiwa kukua ,hasa kutokana na binadamu kuzidi kuongezeka duniani
  • Chakula kizalishwacho leo,wanasayansi wanasema kitaongezeka mara dufu kama teknolojia ya uzalishaji mazao itapewa kipaumbele.
  • Ghana kama nchi yenye uchumi mdogo leo inapewa miaka si mingi kwa nchi hiyo kujitoa katika nchi za dunia ya tatu.Wataalamu wanadai kutokana na hali halisi ya uchumi na uongozi wa Ghana ,ukijumlisha na ukweli kuwa nchi hiyo itaanza rasmi kuzalisha mafuta., wataalamu wanafikiria haitachukuwa muda kugeuka kuwa kielelezo kuwa hata nchi ndogo leo yaweza kuwa kubwa kesho
  • China inatarajiwa kuwa nchi yenye nguvu kuliko zote baada ya miaka kadhaa
  • Udhaifu wa mabavu ya USA unatarajiwa kukua kwa jinsi miaka inavyokwenda
  • Tanzania ina.........
  • Nk
Samahani!
Katika hayo yote hapo juu, nilichotaka kusema ni kuwa, madogo leo yaweza kuwa makubwa kesho,lakini makubwa leo yaweza kuwa madogo kesho pia.
Ngoja tena Ziggy Marley....atuimbie....Black My Story



Duh!


Niko mawazoni tu usistuke sana!
Lakini........!

Tunavyolimbikiza maswala madogo madogo, tutegemee kuwa kesho yatakua makubwa.Inategemea tu na ni madogo yapi.Kama ni madeni madogo madogo leo, kesho yanaweza kukushinda kwa ukubwa.Kama ni akiba ndogo ndogo leo , kesho ya weza kuwa ni hazina kubwa itakayo kukwepesha njaa!

B
asi wadau !
Alhamisi njema!



Hebu Msikilize Kidogo Mbilia Bell Akikuimbia kibao Senda


Tukopamoja!

Wednesday, June 20, 2007

Kitu kidogo Kinisumbuacho!


Kitu kidogo ukipendacho
Kitu kidogo ukifanyacho
Kitu kidogo nikipendacho
Kitu kidogo kinisumbuacho!
Kitu kidogo kikusumbuacho
kitu kidogo nikipendacho
Kitu kidogo usicho kifikiriacho
kitu kidogo ukiachiacho
Kitu Kidogo Kiniumizacho
Kitu kidogo kikuumizacho
Kitu niendeleacho kukifanya
Kitu kidogo uendeleacho kukifanya
Kitu kidogo......ambacho saa nyingingine ukiangaliapo
Ukiangaliapo kwa pembeni wakati unajiaangalia mwenyewe..
Uangaliwapo wakati hata hujiangalii mwenyewe

Uta.............
Nita.....
Wata...
Labda hutabadili..
Labda sita badili....
Labda....
Duh!
Lakini......
Kidodo kidogo si hujaza kibababa?
Kibaba kibaba sihujaza kibabu?
Kibabu kibabu hujaza......


Samahani nakuzingua!
Hebu Mpate Paul Potts aliyeshinda Talent show juzi Uingereza.Samahani kama husikilizi Opera lakini!


Lakini......
Hebu Msikilize Mtimkubwa akisema.....:


Jumamosi iliyopita Watanzania tuligubikwa furaha baada ya timu yetu ya taifa kuifunga timu ya taifa ya Burkina Faso goli 1-0. Nderemo, vifijo, na halahala nyingine za furaha ya ushindi wa Taifa Stars ziliashiriwa kwa namna anuai mojawapo ikiwa ni ya uzuru wa wachezaji wa Taifa Stars bungeni mjini Dodoma.

Katika uzuru huo wa Taifa Stars bungeni Dodoma jumla ya shilingi milion 322.5 zilichangwa kama bahashishi ya wachezaji wa timu ya Taifa Stars. Miongoni mwa wachangiaji walikuwemo Wananchi, Wapenzi wa soka, Vigogo = Waheshimiwa Wabunge na Mawaziri, Wafanyabiashara, pamoja na Wizara mbali mbali.

Moyo huu wa 'harambee' pengine unaweza kukuchekesha au kukukasirisha. Kama UKISHINDWA KUKASIRIKA CHEKA:

The ‘harambee’ continued during luncheon at which Infrastructure Development Minister Andrew Chenge said his ministry and institutions under it were topping up their earlier pledge (70m/-) by 30m/-.
Other pledges were made by Industries and Trade Minister (30m/-), Labour, Employment and Youth Minister John Chiligati (10m/-) while Energy and Minerals Minister Nazir Karamagi pledged 15m/-. He also pledged a further 15m/- from his personal companies.
Singida Urban MP Mohammed Dewji gave 30m/- while the proprietor of TIOT Company pledged 10m/-. Dodoma residents contributed 25m/- on the spot at the airport. Team captain Shadrack Nsajigwa received the money from the prime minister on behalf of his colleagues.



Siongezei alivyosema Mtimkumbwa!
Lakini.....
Samahani nilidakwa na shughuli kidogo wadau wangu wa blogu na wengine nilio watenga kidogo.Nakuacha na baadhi ya picha za Wikimwisho iliyopita katika kupitia sehemu za ...


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Kweba(Mzee wa Holland) hapa mimi na Dr Mtafungwa tulipokuwa tunaongea nawe ..

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Edo
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Edo eeh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Kivuli changu jalalani
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ze Mbwa
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Tommy na...
Swali:
Hivi neno Mbwa na Mbu linaandikwa sawasawa?

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Tony Flash Mzee wa CHAD
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Kerry wa Guadelupe

Kabla sijaendelea....
Samahani kwa kuvaa suti katika paki...Sikupanga hivyo,ila litokea kutokana na
mambo ya mtondo gooo:-)
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Tulia kidogo na Doo Doo.Usicheke basi wakati jamaa huyu wa Nigeria akilazimisha Rap

Tuendelee....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ben
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bakari
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
DJs at work
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Allen
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Allen eeh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bonanza
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bonanza eeh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!Najua ilibidi uondoke!:-)
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bila kuwasahau Wazee wa Senegal

Sasaaa.......

Kitu kidogo ni kwambaaa...........
Tuko Pamoja!
Hoja kubwa nitaandika kesho lakini usisahau.....
JUMUWATA
Mpate Bobby Brown basi kabla Whitney Huston hajamuovateki katika umaarufu...

Saturday, June 16, 2007

Lewis Hamilton na ......

Michezo ni kitu fulani ambacho watu weusi wanasifika sana ulimwenguni!Lakini ukweli ni kwamba hata katika michezo watu weusi wasifikaonayo leo , wameingia au kuruhusiwa kuingia katika michezo hiyo juzijuzi.

Mpya mwenye weusi ambaye amefungua njia katika mchezo tofauti ni
Lewis Hamilton

Swali:
Hivi lini tutakubalika katika maswala mengine zaidi ya burudani na michezo?


Duh!
Kunakale kawimbo ka Angelique Kidjo na Nile Rodgers



Je, ukiwaacha akina Mandela ,watu weusi kama akina Philip Amagweali walioko katika fani nyingine na akina......wataanza kuwa jina lililoko midomoni mwa wadunia lini?

Kwa wafuatiliaji wa michezo na wafuatiliaji wa maendeleo ya watu wa rangi wafunguao mipaka katika anga nyingine.

  • Lewis Hamilton ndio dereva wa kwanza wa Formula one aaminikaye ambaye ni Mweusi.
Akiwafuata akina Tiger Woods, ambaye hata baada yakujitetea sana kuwa yeye si mweusi, Wazungu wanamuona mweusi tu.
  • Jack Robinson, ambaye alifungua mlango kwenye baseball.
  • Na wengine kadhaa waliofungua milango katika michezo mingine.
Bila kumsahau Bill Lester ambaye kafungua mlango katika NASCAR ,mchezo wakuendesha magari mwingine ambao watu weusi hawajaweza kujipenyeza.

Duh!
Swali: Hivi mchezo wa nguti,kidali na mdako nani alianzisha?

Lakiniiiii......
Michezo mingi haijulikani nani kaanzisha.
Ila Basketiboli ambayo imewapa jina watu weusi hasa Marekani , ni miongoni mwamichezo mipya ambayo ni wazo la mtu mmoja.

Nishawahi kumuandika huyu James Naismith aliyebuni mchezo wa Basketball kipindi fulani.

Duh!
Ushawahi kubuni kamchezo hata kama ni kasiri?

Mimi mwenzio sijawahi!
Duh!
Noma!
Swali:
Hivi kwa nini Wazungu wanaamini yeyote mwenye tone hata moja la damu ya mtu mweusi ni Mweusi?

Wewe unafikiri Lewis Hamilton,Tiger Woods, Baraka Obama, Malcom X, Spike Lee, Jerry Rawlings, ........Maria Sarungi ........ni weusi?


Samahani lakini kama nakukwaza!

Wikimwisho njema!

Wapate Chic!

NEEKERI! Nasikitika kusahau kubeba Kamera Jana!Lakini....!

Basi nilishuhudia Wazungu fulani wakimpiga Msomali Mmoja.Kutokana na kutoiamini simu yangu heti siku daka ugomvi nikakimbilia kuwaita Polisi. Polisi walipofika cha ajabu wakamchukua Msomali na kuwaacha Wazungu.Niliwadaka bado na simu yangu wakitukana Watu weusi.Hapa chini kama huelewi Kifini unaweza kubunia wanasema nini..


Hili chini ni gari la polisi lililomchukua Msomali na kuwaachia hao wazungu juu baada ya mimi kuliita....

Bado najilaumu kwanini niliita Poliisi kabla sijaurekodi ugomvi na simu yangu.
Ila Mtimkubwa anaufuatilia ugomvi huuu kisheria

Duh!
Ndio maana namuelewa Ice T alipoimba ule wimbo Cop Killer.Ingawa nimekosa video yake hapa lakini bado mpate Ice T...

Friday, June 15, 2007

Lugha! DUH!Lakini.........



Lugha kubwa atumiayo binadamu kuwasiliana na mwenziye haitumii sauti.Mara nyingi ujumbe unamfikia mtarajiwa kwa lugha ya mwili.

  • Jinsi unavyokaa na mdau tu , anapata ujumbe kuwa unamfikiriaje
  • Jinsi unavyo mtazama tu yule kisura au rijali, anajua kuwa unamuhusudu au sivyo.Hivi ni rijali au lijari? Lakini nahisi unajua na maanisha nini.
Nisikutishe !

Wakati mwingine tamaduni na makorokocho kibao yanaweza ya kaingilia haka kamchezo ka lugha na mawasiliano.
Kwani...
  • Nishawahi kuchanganyikiwa kwa kudhani waongeavyo Wanaijeria wengi na Wasomali kuwa wanagombana kutokana na sauti ya maongezi yao mpaka wakicheka ndio nagundua kuwa , kumbe jamaa wanataniana
  • Nishawahi kukutana na wadau wa ulaya mashariki nchi fulani, ambao wewe kama Mtanzania au Mkenya utikisavyo kichwa kukubali ndio wao watikisavyo kukataa.
Sasa kablasijaendelea mpate Clarissa Matota akupe ule wimbo wa Malaika akikuambia PESA ZASUZUA DUGUHUNYUNGU.




Lakini hivi unakumbuka jinsi Afrika Mashariki tunavyopenda kucheza na kuimba nyimbo tusizo zielewa maana yake?

  • Nakumbuka jinsi nilivyokuwa naimba nyimbo za Michael Jackson kwa kiswahili na kuzipatia kabisa.

  • Nakumbuka pia wadau walivyokuwa wanamfurahia nyimbo fulani za Kikongo pale katikaimba zao kulipotokea kakitu kasikikako kwa kiswahili kama wanasema Sehemu za Uke zinauma!
DUH!

Lugha ni kakitu ambako kana mambo mengi ndani yake!
Nimesikia kwa wengine kujua Kiingereza ni ujiko a wengine kujua Kifaransa ni ujiko, wengine sasa hivi hawapeleki mtoto chekechea kama hawafundishi kichina, halafu eti vilevile kuna wengine wanadai wanajua Kiswahili zaidi na...........

Duh!

Swali:
Lugha, dhumuni yake kubwa si ni mawasiliano?

Sasaaa.....
Ni kweli baada ya binadamu kusawazisha maswala ya msosi, mavazi na pakulala lazima atumie mpaka kaujuzi ka lugha kujisikia kamzidi mwenzie?

Hivi kwanini Raisi wa Ufaransa asipojua Kingereza ni sawa lakini Mimi nisipojua Kiingereza , unaanza kunistukia maswala?

Duh!
Nimekupataaaa!
Kwasababu mimi sio Rais!Lakini nani kasema Rais ni babu kubwa kuliko wengine? Au kwa sababu yeye kwa mtazamo wa jamii ame......
Duh!
Sasaa...!
Ngoja nimuache Koffi Olomide.......





Swali:
Hivi , wewe na mimi tukiongea tunaeleweka?


Ni kweli mara nyingi hatusikilizani wala kuelewana ingawatunaongea lugha moja. Sasa katika dunia yenye watu waongeao lugha tofauti , wewe na mimi huwa tunachukua muda kujaribu kuelewa mwingine anamaanisha nini akifungua mdomo? Au ndio tuna......

Thursday, June 14, 2007

UNAKUMBUKA ULIPOANZA KUPENDA?

Duh!
Samahani!

Nafikiri nilitaka kuuliza hivi:

  • Unakumbuka ulipoanza kuchukia?

Inasemekana watu wengi hukumbuka walipoanza kupenda kuliko walipoanza kuchukia, lakini wanachukia kirahisi kuliko kupenda.

Duh!
Kabla sijaendelea.....
Haka kawimbo ka New Edition enzi hizo...


Si unajua tena!Historia ya kupenda inasemekana ni rahisi kuikumbuka au hata kuiimajini kuwa tunakumbuka. Si unajua tena vile vimaswalaa....!:

  • Wengi wetu cha kwanza kupenda ilikuwa nyonyo ya mama.
  • Kupenda kale kadoli!
  • Kumpenda rafiki fulani pale utotoni!
  • Hata kale kamwanzo kakuanza kumpenda mwanadada fulani au mwana kaka fulani.......
  • Nakadhalika kadhaaa wa kadhaa.......
  • Kupenda msosi fulani!
Duh!
Hebu nikukumbushe kale kawimbo.....


Lakini ukweli ni kwamba moja ya tendo la binadamu alifanyalo akizaliwa tu, ni kuchukia.
Akizaliwa tu halafu yuko hai , atalia kuashiria kuwa kashastukia bughudha za ulimwengu.Kachukia kakitu ambako siye tumekazoea!

AU?

Unajua tena!Inawezekana anastukia:
  • Kikwapa cha wadau walio mzunguka
  • Hali ya hewa chafu
  • Au machale tu yamemcheza kuwa duniani starehe ni pale tu ujuapo tabu.
Duh!
Nisikufiche , sijui nini kinamliza mtoto anapozaliwa kwa sababu mimi mwenyewe sikumbuki nililizwa na nini!

Duh!
Ushastukia kuwa ni jambo la kufurahia mtoto aliapo wakati kazaliwa tu?
Akiendelea kulialia miezi yote mingine wadau walewale waliofurahia kilio cha kwanza hawafurahiii tena.

Swali:
Hivi huwa unafurahia mtu wako fulani akilia?

Nafikiri sie wanadamu tunajizoesha mambo kibao ambayo yanafanya tupende hata ambavyo tusingependa!Machale ya mtoto azaliwapo tunayaua kwa kujizoesha mambo ya dunia.
Kama uwiano katika dunia wa vipendwavyo na vichukiwavyo ungekuwa vingine , nahisi isingeshangaza mwidu kwa kamasi za ngombe adimu ingekua chakula cha kwenye Kitchen pati na harusi , halafu kuku kwa pilau chakula cha wafungwa bongo.


Usitishike ni mtazamo tu!


Duh!

Basi ngoja niseme uwiano wa vipendwavyo na vichukiwavyo ungekuwa vingine:
  • Waafrika wengi wangependa wowowo ndogo halafu Wazungu wengi wangependa sangara wakubwa.
  • Waislamu wangekula nguruwe na wa hindu nyama ya ng'ombe
  • Papa Benedicto angekuwa anahubiri kuleta rushwa hala viongozi waafrika wangekuwa wanaongoza kumpinga kwa kukataa rushwa
Duh!
Nakuzingua!
UKWELI NI KWAMBA , NILITAKA KUSEMA UWIANO UNGEKUA VINGINE, BINADAMU ANGEPENDA ZAIDI BINADAMU MWENZIYE, ANGEPENDA AMANI!

Duh!
Kuhusu hili swala la uzoefu .....
Ngoja nimuache Mr Ebo akuulize kama wewe Mbado?



Sasaa...
Nachojiuliza ni kwamba ...
Kama uzoefu wa kuchukia tunaupata kuanzia tuzaliwapo tu ,unafikiria una nguvu zaidi ya uzoefu wa kupenda tuupatao baadaye, baada ya kupewa nyonyo?

Nisikuzingue! Lakini ukweli ni kwamba mara nyingi tunasahau jinsi gani uzoefu wa kupenda na kuchukia tumetoka nao mbali, na kila siku tunaufanyia mazoezi.

  • Nafikiri ukifanya mazoezi ya namna fulani kwa ajili ya namna fulani, si ni lazima uboreshe hiyo namna fulani?

AU?


Sasaa....!

Hiyo namna fulani yako ni chuki au upendo?
Kabla sijamalizia.....Ngoja nikukumbushe JUMUWATA!




Nakuacha na Orishas wakikupa 537-Cuba

Tusisahau basi kufanyia mazoezi hii sanaa ya kupenda!
Kwa maana kwa mtazamo wangu ile sanaa ya kuchukiana imeshamiri sana!Halafu Afrika inatugawa sana kiasi kwamba mpaka tunachekesha!
Tuko pamoja!


Wednesday, June 13, 2007

Nitakuua Kwa Heshima wewee!


Kabla sijasema .....

Kuna kawimbo ka Fado ka huyu mwanadada aliyezaliwa Mozambiki aitwaye Mariza kamenikaa kichwani.....


Nikirudi kwenye kamshawasha ka kuua kwa heshima.......

Naweza kusema kwa uhakika kuwa:

  • Tamaduni inaweza kuwa utumwa.
  • Heshima inaweza ikawa ujinga.
  • Dini yaweza kuwa.....
Kutokana na heshima kama zitafsiriwavyo kutokana na misingi ya tamaduni fulani, imefikia kuwa kuna watu huuawa ilikutunza heshima ya familia. Mwanadada anauawa kwa kosa la kupenda mtu wa kabila jingine, dini nyingine au hata famili isiyopatana na familia yake ili kutunza heshima. Mwanakaka anauawa kwa kisa kakufuru kutokana na tamaduni fulani au dini fulani.
Swali:
Hivi dini nyingi sizinasema kuwa ukitenda dhambi utakwenda motoni na kuchomwa milele au utazaliwa tena kama kamnyama fulani ambako kwa akili za binadamu wanaamini ni kabaya......au utaadhibika kisawasawa...nk?


Cheki kidogo haka ka habari kazungumziako kati ya mengi, mwanadada aliyeuawa atokaye kwenye dini ya Yazidi, kwa kosa la kumuhusudu mwanakaka muislamu wa Suni
...


Kuna kabusara Buddha aliwahi kukasema, hebu kacheki:

  • "Do not believe in anything simply because you have heard it.
-Usiamini katika kitu chochote kwa sababu umekisikia tu.


  • Do not believe in anything simply because it is spoken and rumoured by many.
-Usiamini chochote kile kwa sababu kinasemwa na zushwa na wengi.

  • Do not believe in anything simply because it is found written in your religious books.
-Usiamini chochote kwa sababu tu kimeandikwa kwenye kitabu chako cha dini.


  • Do not believe in anything merely on the authority of your teachers and elders.
-Usiamini katika chochote kile kwa sababu tu kimepewa uzito na mwalimu wako pamoja na wakubwa zako.

  • Do not believe in traditions because they have been handed down for many generations.
-Usiamini katika tamaduni kwa sababu zimekuwepo katika vizazi vingi vilivyopita.

  • But after observation and analysis, when you find that anything agrees with reason and is conducive to the good and benefit of one and all, then accept it and live up to it."
-Amini tu baada ya kuangalia na kuchanganua, ukikuta kitu kikubalianacho na uhalisi wa mambo na kinasaidia mazuri na ni kwa manufaa ya mmoja na wengi, hapo kikubali na ishi kwa kukifuata.


Buddha
The "Enlightened One"


Duh!
Unaweza kumkatalia lakini!

Sasa nimestukia nakuchosha!
Lakini....

Swali:
  • Sasa kama hawa wenye heshima, tamaduni na dini, wanajua utachomwa na kusoteshwa na MWENYEZI MUNGU WA UPENDO baada ya kufa kwanini binadamu anajihangaisha kukuua na kukutesa hapa duniani?

  • Hivi kwa kufikiria kwako unafikiri binadamu na MWENYEZI MUNGU WA UPENDO nani anajua kutoa adhabu za kikatili zaidi?


Wapate OSIBISA walainishe siku basi!


Swali:
Ulempango vipi, wakutaka ku........kwa heshima?
BAAADAYE BASI
!

Hamu ya kuiba!


Unapozaliwa machale ya kutetea maisha yako unazaliwa nayo.

Unazaliwa unamachale ya kufukuzia nyonyo iko wapi. Ulimi wako unastukia ladha ambazo zinaashiria kitu kibaya au kizuri. Inasemekana hata maswala ya kunenepeana na kuota kitambi yanatokana na machale hayohayo yaliyojijenga katika mwili katika kipindi cha maelfu ya miaka ambapo binadamu alikuwa hana uhakika wa msosi wa baadaye, hivyo kujenga tabia ya kula zaidi ya atakiwavyo ili kuhakikisha kuwa hata kufa kabla ya kupata msosi mwingine.
Kwa hiyo machale mengine na vidubwana vingine unajifunza katika mazingira yako jinsi ukuavyo.

Duh!

Kuhusu hili swala la machale ya msosi.....
Siku hizi ambazo binadamu wengine wameweza kuwa na uhakika wa msosi ujao, halafu juu ya hapo anapata hii kitimoto, ndafu ,.... na sijui nini ile? ...... basi ukiongezea na kilaji hukawii kuongezea mzigo miguu yako!

Swali:
Hivi ushawahi kuona kiwango cha chakula ajiwekeacho mlalahoi?
Ushaona kaota kitambi?



Duh!


Kama mtoto anayekuwa sasa hivi katika mazingira ambayo kuiba ni ujanja, hongo na maswala kedekede,watu wamehalalisha kuwa ni moja ya funguo ya maisha, basi iko kazi!Unaweza ukakuta siku moja sifa ya mtoto itakuwa jinsi alivyoanza mapema kutapeli, kuhonga na kuiba. Hapo ndio utamsikia mzazi akijisifia, na mtoto genius!

Matatizo ya Afrika yamefikia kiasi ambacho inasikitisha, ingawa utasikia jinsi gani uchumi wa Afrika unaanzakukua. Hali ya Waafrika wengi si nzuri, kitu ambacho naamini kinakuza hamu ya kuiba.


Swali:
Hawa waliowengi waonapo wachache wanaiba hukuku vitendo vyao vikijulikana ,lakini bado wanaitwa waheshimiwa, unafikiri hawaingiwi hamu ya kuiba?


Tukizungumzia Afrika kwa ujumla.....
Naamini hamu ya kuiba inaongezeka na kitu kibaya ni ile hali ya watu kukubaliana na mshawasha huu.

Lakini.....

  • Hivi kama waafrika uwaonao duniani, tarakimu zinakuambia katika kila waafrika wanne, mmoja ni Mnaijeria, na hali ya Naijeria na Wanaijeria ndio hivyo uionavyo, unafikiri ni lini Muafrika atakuwa kajikomboa?
Ukichukulia kuwa hawa jamaa (Sio wote, na marafiki kibao kutoka Naijeria ambao ni wacheza halali) wanasifa ya kukata kona, utapeli , wizi, hongo na korokocho kibao,tutafika kweli?Kwa maana Naijeria yenyewe mpaka sasa hata siasa yake ni vigumu kuwa na uhakika kuwa inaweza kuwa moja muda mrefu bila kuporomoka.
  • Tukiizungumzia nchi nyingine kubwa ichukuliwayo mifano kama South Afrika, ambayo bado chama kimoja kinanguvu kubwa kuliko vingine,kimfikiriacho hata Mzee Jacob Zuma(Mzee wa kuonja pekupeku) kugombea Uraisi.
Unafikiri Afrika inamatumaini kweli?
  • Tanzania nchi iitwayo ya amani lakini ipigayo makitaimu, hongo , wizi nje nje .....
Unafikiri wapi tuna kwenda?

Hebu msikilize Fela Kuti kidogo


Fela alikuwa anachukizwa na hali ya Naijeria.Mimi inanichukiza pia, kwani naamini nchi kubwa kama Naijeria ingeweza kuweka mambo yake sawa basi angalau picha fulani kubwa ya Afrika ingegeuka kirahisi zaidi ya hivi sasa.

Ila....
Najua kuwa unajua kuwa mti mmoja haufanyi msitu?
Hivyo bila miti kama Tanzania, Kenya , Eritrea, Togo, South Afrika........msitu uitwao Afrika hauwezi kushamiri.

Tatizo ni....

Bila miti iliyo safi ishikayo nyadhifa(kisehemu msituni)zishikwazo na akina Kikwete, Lowasa, ....na yule mjumbe wa nyumba kumikumi, msitu uitwao serikali hauwezi kushamiri.

Sasaaaa.....
Tukiacha kunyoshea wengine vidole.
Hawa wenye hamu ya kuiba ni mimi na wewe.

Swali:
Wazo lakutaka kuvuta chako mapema halikuingii saa nyingine ukistukia muheshimiwa anavyojichukulia?


Basi bwana wewe bingwa kama huingiwi majaribuni, kwa sababu hasa wakristo nasikia Bwana Yesu alifundisha mwenyewe sala ambayo, jamaa inabidi aombe kutoingizwa majaribuni.

Hii kitu majaribu weee!Acha tu!

Duh!
nakuacha na Fela Kuti tena.....


Lakini...
Naamini jinsi hali inavyokuwa ngumu ndio kaugonjwa ka hamu yakuiba kanaongezeka.Halafu si unakumbuka kunaviongozi wetu wengi baada ya kuiba tayari kaugonjwa kamekuwa kroniki, basi ndio wanaiba kama vile wakifa watanza na mapochopoacho waliojilundikia.

Swali:
Je , walio wengi wakishaingiwa na hamu ya kuiba tutafanyaje kugeuza mambo?
AU
Ndio wakikushinda jiunge nao?

Nisikufiche, nina imani na Tanzania na Afrika kwa ujumla, ila sijidanganyi, kazi tunayo!

Sunday, June 10, 2007

Kuuma na Kupulizia!


Duh!
Nafikiri ulifikiria nitasema sana!
lakini unajua maswala ya kuuma na.....
Duh!
Swali:
Ushawahi kupulizia bila sababu wakati unajua kua unavyouma ndio ukweli?

Duh!
Jumapili Njema
Wapate dada zetu waki... wakicheza dhambi!



AU?
Basi Bwana inabidi ni warudishe tu Kingwendu Family Wakupe Huyu dada mapepe!

Swali:
Lakini hivi huyu kaka Je?

Saturday, June 09, 2007

Kinyesi si ni Uchafu ?

Pichani ni mtambo wa kutengeneza umeme uliotengenezwa na vijana wa Makambako wajiitao Tanzanite, waliotafuta jibu baada ya kuchungulia tatizo. Picha na Maggid Mjengwa












Inategemea na jinsi ufikiriavyo na jicho lako, wewe unapoona kinyesi mwingine anaona mbolea.

Wengine watakuambia kuwa matatizo ndio changamoto ya matatuzi.Ikiwa na maana wakiangalia tatizo wanaona jibu.

Dondoo:
Lakini wengi wetu matatizo ni matatizo tu, yanakutesa tu bila kukupa changamoto ya kukuwezesha kutatua maswala.


Duh!

Kabla sijaenda mbali, hebu wasikilize wanamama wa Kenya walioanzisha kijiji cha wanawake pekee kiitwacho umoja ,baada ya kuchoshwa na wanaume na mauvivu yao, uonezi wao, ubakaji wao nk.



Wakina mama hapo juu wamefikia hatua ya kuona wanaume kwao ni tatizo.

Si walaumu!

Na nawasifu kwa kuweza kufikia jawabu kuwa waanzishe kijiji chao na wameweza kufanya hivyo. Kwani naamini kuwa katika baadhi ya matatizo tuliyonayo mojawapo kubwa ni kugeuza wazo kuwa vitendo. Ni rahisi kufikiria jambo lakini kulifanya lionekane au kulitimiza si rahisi.

Lakini.....
Nafikiri kuwa kama dunia hii tutafikia jawabu la wanawake na wanaume kushindwa kuelewana na kufikia uamuzi wa kuishi vijiji , miji au nchi tofauti, itakuwa kasheshe zaidi. Kwa sababu bado mimi ni miongoni wa wale waaminio kuwa pamoja na tofauti tulizo nazo, bado kuna haja ya dunia hii kuwa na wanaume na wanawake wapatanao. Ila ni kweli wanawake bado wanateseka zaidi mikononi mwa wanaume kwa sababu bado dunia ni hapa mambo mengi yako chini ya wanaume. Nafikiri kuwa ingawa wapo wanaume wapewao kibano na wanawake kisawasawa, bado dunia inazinguliwa na wanaume zaidi.

Duh!
Uashastukia hili swala ni rahisi kujitoa na kunyooshea vidole wengine kuwa ndio linawahusu kuliko sisi wenyewe eeh?

Sasaaaa..................!
Swali:
Kinyesi si ni kinyesi tu?Au uonacho si maana yake kuwa ndivyo jambo lilivyo?
Swali:
Hivi yale matatuzi ya jambo tuliyofikia si ni mwanzo wa tatizo jingine?


Basi bwana!
Inawezekana kuwa katika kila tatuzi maharage kuna kanjegele ka tatizo jipya.
Na kila siku ni siku ya kuanza upya kutatua , kutazama kinyesi nk.


Lakini je ?

Tunaona mbolea wakati wa kutazama kinyesi au tunaziba pua na kusikia kinyaa halafu inakuwa imetoka?

Tuendeleze basi!Wikimwisho njema!
Mpate James Brown na Luciano Pavarotti

Friday, June 08, 2007

Adhabu!Duh!

Hivi....!

  • Wale mapailoti wa kijapani wa kamikaze ambao walirusha ndege kwa dhumuni la kujiua nazo, unafikiri nafasi ya kifo kwao ilikuwa inachukua nafasi gani?
  • Hivi Mkwawa alipojiua iliasishikwe na Mjerumani unafikiri yeye adhabu yake kubwa ilikuwa ni kushikwa namjerumani au kifo?
  • Hivi hawa wadau wanaovaa mabomu na kujiua kwa ajili ya dini , unafikiri ukiwakamata kabla hawajajiua utawapa adhabu ya kifo?
Ndio , hili swala si rahisi sana.
Lakini mimi naamini kuwa kila mtu anakakitu kake kamuumizako zaidi.

Kabla sijaongea sana......
Duh !
Huyu Harry Belafonte na Nat King cole


Lakini baadhi ya picha za jana.....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Memba
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Memba eeh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Memba kutoka Senegal na Joha kutoka Gambia
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Lakini....


Hakuna binadamu wawili waliosawa. Ila cha ajabu ni kwamba binadamu wanachaguo dogo la maneno , kiasi kwamba, katika kuelezea uwiano wa watu , imefikia kushindwa kukwepa kutumia sentensi kama binadamu wote ni sawa.

Nakubali kuwa kiunganishacho binadamu ni ubinadamu.Ila safari ya ubinadamu kila binadamu huipapasa kivyake.


Nilipomsoma Mwandani , alipokuwa akichambua RUSHWA=KIFO, nilishindwa kujizuia kuwaza kwa mara nyingine tena na tena ,maswala ya adhabu kwa binadamu.Nikakumbuka kipindi fulani , jinsi mwalimu fulani alivyokuwa anapenda kutupa adhabu za push ups na kichura. Kwetu wengi ilikuwa ni kweli adhabu, lakini kulikuwa na rafiki yangu Victor Lukoo , mara nyingi hizi adhabu kwake yeye ilikuwa ni zoezi tu. Kusema ukweli yeye nafikiri kipimo cha adhabu kwa mtazamo wa mwalimu kilikuwa hakifikii jinsi yeye mwenyewe alivyo kuwa akijifua nyumbani na mazoezini. Huyu jamaa alikuwa ananipigia push ups mpaka naacha mwenyewe kuhesabu. Kichura usiseme! Namkumbuka pia na mshikaji wangu mwingine, Peter Msimbe, naye alikuwa na mchezo wa kupiga zoezi mpaka unajiuliza kuwa kama kweli inamanufaa kiafya kweli? Sasa hawa jamaa adhabu fulani ukiwapa kama hizi za kutumia viungo ukafikiri umewapa adhabu , unajisumbua.

Duh !
Kabla sijaendelea, ngojea nikupe baadhi ya picha za jana zaidi....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Clemoo mtoto wa Nairobi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Hashim
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Victor mtoto wa Nairobi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Victor
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Victor eeh?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Gibson Mzee wa Nairobi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Gibson eeh?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ronaldo ,Mzee wa London
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee wa London na Mimi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Elvis!Duh! Mzee tukopamoja!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Charles , Mzee wa Lusaka
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Abdi ,Mzee wa Dakar
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Tidjan na ...
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mimi na Erick ze Producer
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ben Mzee wa usafiri!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
....Na Dosky
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Njau na Mkuu wa Kikao

Duh!


Halafu Richie Spice aliimba kuhusu watu wa rangi za kahawia kitu kilichomfanya alaumiwe na watu wengine kwanini hakuimba watu weusi...
Hebu msikilize.....




Lakini.............

Utotoni , nilipitia adhabu za viboko , kufinywa nk. Lakini hakuna adhabu na kitu kilicho kuwa kinanitesa kama kumsikiliza mama akilalamika kuhusu vijambo nilivyokosea. Mama yangu yeye alikuwa hana mchezo wa kuchapa, kufinya wala kitu kama hicho, ila ana namna ya kusema ambayo ilikuwa inaniingia sana. Baba yeye alikuwa anatabirika.Ulikuwa unajua kabisa hii leo ni viboko tu!Cha ajabu ilikuwa kwangu ni rahisi kukubali viboko halafu yanaisha, kuliko kusubiri kuwekwa kikao na mama.
Majirani zangu walikuwa Waitaliano ,Ivan , Chesko na Simone. Hawa walikuwa wanapewa adhabu ya kutoruhusiwa kucheza nje au kutochezea matoi fulani.Ikibidi wanawekwa kwenye kona fulani ya nyumba kwa muda fulani. Hizi adhabu zilikuwa zinawaingia kweli, kitu ambacho kwa wengine kinaweza kuwa si adhabu kabisaaa!

Mimi nafikiri adhabu inakuwa adhabu iwapo mtu apewayo hiyo adhabu atatesekanayo au itamsababishia kuwepo katika hali asiyoridhika nayo. Kwa hiyo ukimpa mtu adhabu hakikisha kuwa ni adhabu kweli. Kakitu udhaniako ni adhabu kutokana na wewe mwenyewe kuingiza mitazamo ya maisha yako na kufikia maamuzi kuwa kikuadhibishacho wewe basi kinamuadhibu kila mtu, hapo unacheza hola.


Duh!

Haka kawimbo ka Richie Spice na wenzie kamenikaa kichwani lakini!Hebu kasikilize....


Lakini.....
Cheki picha za jana zaidi....


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Martin
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Martin eeh?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Njau, Martin, Mkuu wa Kikao aka Raymond na Mimi
Au..
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket



Siongezi picha nyingine, nimestukia hiyo!Lakini tuko pamoja!


Lakini haka kawimbao aliko katunga Michael Jackson na Lionel Richie unakapenda pia?

Au ni adhabu?

Hebu kasikilize...............

Swali:
Hivi ukimnyonga mtu au kumuua, unafikiri ameadhibika?

Si kafa tu?

Au?

Thursday, June 07, 2007

Ushawahi kumridhisha eeh?


Tatizo la kuridhika ni kwamba halidumu.
Kila siku inabidi upalilie kuridhika .
Kuridhika ni kama moto, kila siku inabidi uongeze kuni.

Kuridhika ni kama njaa...............
Pilau uliokula jana , kama leo una njaa haisaidii kitu ukinisimulia.

SWALI:
Unakumbuka tunaposimuliana kuwa jana ilikuwa babu kubwa eeh?


Leo Je?

Namuachia I-Wayne

Monday, June 04, 2007

Kati ya Maisha na Kifo!Duh! Unataka kuishi mileleee eeh?

Duh!
Kifo nishai!

Inasemekana kuwa watu hawataki kufa kirahisi!
Inasemekana kuna watu wengi wanafuata dini kadhaa ili kuogopa wakifa wataenda Jehanamu!

Duh!

Swali:
Unafikiri ukifa sasa hivi utaenda wapi?


Kuna watu nasikia wamefikia kukana kila kitu na kajeuri kao kanaongozwa na tishio la kufa, na ni nini wamefikia kuwa ndio hitimisho wakifanya , basi wameponyeka.

Swali:
Hivi maalikaida, wanafikiaje uamuzi wa kujisikia kufakufa kwa ahadi ya mabikira kadhaa na maisha ya milele?

Nisikutishe !Labda na mimi nataka kuishi milele !

Sasaaaa.....

Akili ya binadamu inamipaka!
kuna kisehemu inafikia kuwa hakuna majibu fulani!

Unaweza kubisha... , lakini PoPu Benedikiti anabunia, Ayatolah anabunia.. Mzee Changeremba naye anabunia kuhusu maswala ya baada ya kufa ni nini kinatokea.
Na haka kaubongo tulikonako kazuri kweli kwa kujaribu kutupa majibu au kale kaahueni kakufikiri kuwa heri mimi , pamoja na kuwa na mashaka lakini nili................

Duh!

Nisikufiche!
Hii topiki kubwa!

Ila.......!

Swali:
Unajua unaweza kufa leo?

U
mefanya nini?Unataka kufanya nini? Ukifanya hivyo ndio itakuwa nini? Ikishakuwa hicho kitu ndio maana yake nini?

Duh!

Ngojea niulize tena!


Huko unakotaka kuishi milele ukisha fariki,unauhakika huta boreka?

Duh!
Samahani kwa kuuliza hivyo kwa sababu najua mimi na wewe hatuna jibu.

Sasaaaa..................!

Nawaza tu!
Maisha magumu vilevile! Na usipoangalia ndio kwanza unakufa wakati huja jinoma!


Hivi tunatakiwa tujinome kabla hatujafa eeh?
Na wale wanaozaliwa na kufa tu baada ya kasorobo je?
Na wale wengine waliofariki kabla...........?


Duh!

Kifo kigumu!
Ndio maana kuna baadhi ya watu wananiambia kuwa kila mtu anataka kwenda mbinguni lakini hataki kufa!

Duh!
Mbinguni inasemekanni ni kuzuri!

Ndio maana kila mtu akiambiwa achague Mbinguni na jehanamu anachagua mbinguni!

Duh!
Si inasemekana mbinguni kwa akili za kibinadamu hatuwezi kupaelewa?
Si inasemekana jehanamu kuna moto kisawasawa na lugha hii ya kibinadamu ya kututisha tunatakiwa kuielewa?

Duh!

Bado naandika maanayake niko hai!
Bado unasoma maanayake uko hai!


Lakini............................!
Lakini...............................?


Kama unakampango ka kwenda mbinguni uielewayo, kafuatilie!
Kama huvutiwi na kaaidia ka mbinguni kapewako kipaumbele sasa hivi, mbele kwa mbele!

Lakini matalibani na washikaji kadhaa huwa wanaanza kinamna mapema hata kabla hawajaitwa kisa ahadi fulani za kidini!

Sasa?


Maisha na Kifo! Kifo na Maisha nivikitu fulani navifikiria leo!

Sasaaaa!
Samahani na kuzingua!
Kama mdini si utubu tu halafu subiria?
Au!

Naongelea hili swala katika namna unayoweza kufikiri natania.Unaweza kuwa unafikiria nafanya mzaa! Unawezaku.....

Hili jambo liko mawazoni!Wewe haliko mawazoni kwako?

Duh!
Kama haliko mawazoni kwako wewe bomba!


Lakini.............!


Duh!
Nakuacha na baadhi ya picha za jana baada ya Shoo ya Macy Gray


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sudan na Somalia

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Alice

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
mkuu wa kikao na mimi

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Momocat na Aliko

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mr DJ
Nakuacha na Malaika

Duh!
Nilikuwa naongelea kufa kufa, ila nimekosa wimbo fulani utuunganishao ....nawaachia waaminio katika yesu hiki kitu cha Rose Muhando kiitwacho Yesu na kupenda!

Wengine tuendelee na Prince....Akikupa BLACK SWEAT(Jasho Jeusi)

Siku njema! Baadaye basi!

Saturday, June 02, 2007

Jeff Konainge!Duh!



Maswala ya kublogu yamemponza mshikaji!Hivyo wazee kale ka stori unako chat na ....
Usishangae kakatoka kwenye blogu fulani!

Jamaa alikuwa miongoni mwa wanahabari kutoka Afrika ambao kabla ya skendo walikuwa .....
Duh!
Kuna kitu mimi sikielewi kwa sababu sijawahi kukifanya.

Swali:

Hivi wewe ushawahi kufikiria kurekodi mazungumzo ya kila mtu unayeongea naye , kwa kufikiria kuwa siku moja uta mdaka kwenye kakitu?

Unakumbuka Bill Clinton alivyodakwa kisa mwanamama alikuwa anamrekodi rafikiye wakiongea chobisi?

Hivi unatunza maongezi yako ukiwa una chati sehemu sehemu?

Sijui kwanini hiki kihabari kimenisikitisha!
Si kwa sababu ya kutaka kumtetea lakini .................!
Lakini tuko pamoja!

Maswala ya kufanikisha!



Kabla sijasema......
Steel Pulse kidogo.....


Tukirudi kwenye maswala ya kufanikisha....!


Maswala ya kufanikisha ni magumu!

Ila mshikaji wangu Abdulkarim kamaliza kitu fulani cha shule........
Kwa kifupi.....
Kafanikisha.

Duh!
Halafu umegundua kuwa mfumo huu wa mambo hapa dunianni kwa kikwete na Georg Bush, unahitaji sana vyeti fulani...!
Duh!Lakini nafikiri na kujuana vilevile kunalipa.

Duh!
Eee bwana eeh?
Naomba tujuane!
Siunajua tena , vihiyo kibao wanatuongo kwa sababu hii ya kujuana!


Samahani!Labda unaamini wanatuongoza nasio kutu ongo bila za!

Lakini kabla sija sema... ngoja niache picha za jana kwenye shughuli ya Abdukarim....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Abdulkarim

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Abby akimshushia pointi Chacha


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Chacha akijibu
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
David na Abdulkarim

Lakini.....

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bakari
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Wax na Marto
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Chacha na Wax

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mimi na Mkuu wa kikao
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bonanza na mimi

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Akiyarudi mambo fulani




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Bonanza aka Kool

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ezekiel

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Baadhi ya maswala ya kusawazisha tumbo
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Saidi

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Rupia
Duh!
Kofi Olomide kidogo.....




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Martin

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ben

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Allen
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Byamungu na Micky
Sasa tutafanyaje?......:-)

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Ronaldo , Mzee wa London!Karibu! Sasa eeh!Usitutenge au?:-)

Ngojea .....

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Allen na Mkuu wa Kikao(Raymond)
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Aliko na Mkuu wa kikao
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Rahim aka Dj Boss
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Rahim na Sly
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Teppo akihudumia kwenye bar
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Teppo
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mimi na Defkut
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Martina na Sue
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Sue na Mimi
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
DJ Defkut!The Biggest in town

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Hata sisemi, nafikiri ndio Dj Mtanzania ambaye .............
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Dj Boss , nakumbuka ulinipigia disco la High School.Kuna watu wanafikiri umeanza leo.....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Dj Rahim aka Dj Boss na....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee Dosky katikati
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee Wax Katikati
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Duh!
Na wadau wengine wote ambao sijaweka picha lakini tulikuwa pamoja............

Tuko pamoja!
Lakini nikukumbuashe ilikuwa maswala ya kusherehekea maswala ya vyeti vikubwa vya Abdulkarim.

Sasa na sisi wengine tu.....
Duh!Ngojea niseme.....

Nakuacha na Bone Thugs N Harmony


Uhusiano wa Uvutaji Bangi, Sigara na dini


Je, unaungua kale kadude?

Unajua hapo muda fulani, mvutaji ndiye aliyekuwa anathaminika kidini kuliko asiye vuta?
Unajuatena hapo zamani za kaleeee!

Au?
Hivi ilikuwa zamani eeh?

Duh!
Uvutaji wa sigara
na ganja ukiufuatilia , utastukia ulikuwa unahusishwa na dini. Uvutaji ulikuwa unawasaidia waumini katika jitihada zao za kumuelewa muumba.

Swali:
Hivi Muumba, wewe unamuelewa?

Au unafikiri kwanini wa Hindu walikuwa wanamvutia bangi?
Hivi unafikiri kwanini kizazi hiki cha karibu cha Marasta kina mvutia bangi Muumba?

Au ulikuwa unafikiri kizazi cha marasta, kwasabbu kinasifika kwa kufyonza enzi zetu ndio maana yake kilianzisha?
Duh!
Nahisi unahitaji kusoma historia ya tabia mbaya mshikaji.
Duh!
Swali:
Hivi kuvuta ni tabia mbaya eeh?


Wahindi wekundu walikuwa wana mvutia sigara Muumba!
Duh!
Wewe unavutia nini?
Au ndio unamnywea mvinyo?

Duh!
Hivi ni kweli kuna watu wengine wekundu, wengine wanjano wengine......!?
Duh!


Lakini hawa wasemekananao kuwa ni wahindi wekundu walianzisha hii kitu ya kupuliza sigara, kabla hamjaifanya starehe!

Duh!
Ukienda Gabon wa Bwiti wana kamzizi kao.............Duh!

Hivi unafikiria hawa wote waliogundua kakitu wafikiriacho kinawasogeza karibu ya kumuelewa Muumba ni wajinga?

Nakuelewaaaaaaaaaaa!

Mimi sivuti sigara wala bangi wala.............
Duh!
umenikamata.....!

Ni kweli nilivuta majani ya mgomba ...........!:-)


Duh!
AU?


Hili jambo ni gumu kulihusisha na vizazi vya sasa ambavyo hata uhusiano wao na dini ni wamazoea tu zaidi ya imani.

Historia ya sigara inanizingua sana. Ukiifuatilia kutoka Kwa Wamaya, Aztec mpaka kuja katika kipindi cha kuikuta kila kona duniani utazimia mwenyewe. Ila kamchezo haka kakuvuta sigara naona kameenda mpaka kufikia katika kipindi cha watu kujistukia wenyewe kuwa kameenda mbali.

Kale kahistoria ka ganja ndio kalisha piganiwa mpaka vita tayari.Halafu hakana sifa nzuri hata kidogo ingawa ukifuatilia historia yake na sio kufuatia jinsi unavyo isikia leo kwanini mvuta bangi mbaya.....



Duh!
Unajua kutokana na kwamba sichani nywele nahusianishwa sana na mivuto!
Duh!



Hivi wewe unavuta eeeh?



Sawa, nakuelewa kuwa uvuti.Mimi pia.....! Ila unauhakika kuwa Bob Marley na Louis Armstrong na nani yule hivi...........?Unadhani ni wajinga?
Duh!
Kama humjui yule......basi tena......!


Ngoja nimuache Jimi Hendrix hapa.....



Lakini Juzi Uwanja wa ndege Tanzania wamekataza kuvuta sigara.

Duh!
Nahisi hata hospitali za Zanzibar wamekataza katika hiyo hiyo siku ya kuikomelea tumbaku....

Finland wamekataza siku hiyohiyo kuvuta katika klabu zote nchini hapo.
Hii inafuatia kukataza kuvuta ndani ya nyumba.


Sasa hawa wahindi wekundu walioanzisha kuvuta tumbaku wakitaka kuanza kutetea haki yao sijui itakuaje!

Si siku hizi muhimu kutetea mazingira na tamaduni za watu?


Duh!
Heri mimi sijasema!

Sasa............

Tupac
huyu..........


Lakini ukipata muda soma links nilizo unganisha hapa!
AU?


DUH!

Eti kuna....!

Eti kuna hamu ya pombe au hamu ya kulewa?
Duh!
Nimeulizwa hili swali na...
Duh!
Mimi chichemi!
Mpate Chuck Berry