Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Niko TANZANIA , najifunza KWA muda KIDUCHU kunanihii!

>> Wednesday, July 30, 2008

Niko BONGO nyoso , bado sijajulia.

Unawezakunipata kwenye namba:+255765855382

Usipoangalia, NITAKUJIBU!
Nikichelewa kurudi hapa kijiweni, NAOMBA MSAMAHA!

BAADAYE BASI!

22 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Anonymous 8:41 am  

wewe kaka yangu unatesa sana!!!wasalimie bongo basi.

Egidio Ndabagoye 12:38 am  

Poa Mkuu,mafunzo mema.

EDWIN NDAKI (EDO) 10:58 am  

Nashukuru nimepata salama zako kutoka Luihamu kaniambia mlikutana mlimani city.


vipi upo njema mstahiki Mayor?

Simon Kitururu 1:44 pm  

Asanteni wote!Moja ya somo nililopata ni kwamba bongo si tambarare sana kama idaiwavyo.Vilima na milima ipo!:-(

Anonymous 6:05 pm  

Salamu zao Bongo,
Ukipita pale kanisani,pale tulipofunzwa kuwa kondoo wasiokata kamba,wasalimie sana.

kibongobongo 3:52 am  

Karibu bongo kaka simon,

Ila nina ka-blogu kangu, ni kachanga lakini naomba nisaidie tu kukaweka katika hiyo list yako hapo.

Kanaitwa http://www.mnyama.blogspot.com

arachesostufo 3:02 pm  

ciao da venezia, visit my blog

Simon Kitururu 4:48 pm  

@Jeff:Salamu zitafika!
@Kibongobongo:Asante! Nanitaweka kwenye listi.

Yasinta Ngonyani 9:35 am  

habari yako. blog nzuri. tembelea yangua pia

Simon Kitururu 11:52 am  

@Yasinta:Mimi Mzima!Asante sana na karibu tena na tena.

Yasinta Ngonyani 12:58 pm  

asante kwa kutembele na pia kwa maoni

Anonymous 5:45 am  

Simon , pita Forest uwasalimie washkaji wote huko vipi umeonana na Kusirie, Mustapha Abeid, Tumaini mark na kina Lukoo .

Joel

Simon Kitururu 11:07 am  

@Yasinta:Hakuna neno Dada.
@Joel:Nimepita Forest,Nimempata kusirie na Victor Lukoo lakini sijawabahatisha akina Mustafa na wengine. Watu wamesambaa duniani kutoka ile mitaa ya zamani.

Aliko 7:58 pm  

kula bataz kamandaz hehehe

Aliko 7:58 pm  

kula bataz kamandaz hehehe

Aliko 7:58 pm  

kula bataz kamandaz hehehe

Aliko 7:58 pm  

kula bataz kamandaz hehehe

Simon Kitururu 11:03 pm  

@Aliko:Bata wengine NYAMA ngumu sana kutokana na kujitafutia sana wenyewe uji wa pumba:-)

Christian Bwaya 4:48 pm  

Kitururu umebanwa naona. Blogu iko kimya! Morogoro vipi

Simon Kitururu 6:10 pm  

@Bwaya:Kweli Mkuu! Nimebanwa kiduchu:-(

luihamu 11:27 am  

mkuu.
gazeti la the rastafarian linapatikana sasa.

amani kaka

Simon Kitururu 9:10 pm  

@Rasta:Asante Mkuu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP