Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ukiwa Mbali na Nyumbani....

>> Sunday, October 08, 2006

Ni kawaida kukumbuka nyumbani.
Ni kawaida kutokuweza kujua yote wanayokabiliananayo nyumbani.
Ni kawaida kua nyumbani hawawezi kujua yote ukabilianayo nayo wewe.
Ni kawaida kutoambiana yote kwa nia ya kuepushania hali fulani ya mizinguo.
Ni kawaida kukosea kutoona mambo kwa mtazamo wa mwingine.
Lakini...
nikawaida kufarijika kuwa kuna nyumbani kwa walio mbali na nyumbani.
Natumaini...
baadhi ya matukio magumu ya sababishwayo na ukiritimba wakuwa mbali na nyumbani yanajenga zaidi ya kubomoa.
Natumaini! Natumaini! Natumaini!

Je, Mtanzania ambaye hayuko Tanzania hayuko nyumbani?
Je, Je ni kawaida kulaumiana?
Inawezekana kawaida ikawa si kawaida!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP