Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kautamu kakukuna kidonda!

>> Tuesday, April 24, 2007


Maswala ya utamu ukiondoa yale mistukio yake tumezaliwa nayo, yote mengine umejifunza tu.
Au unafikiri ni nani alikuambia bia ni tamu?
AU unafikiri nyonyo ya mama ukipewa leo utaizimia utamu wake?


Nisikutishe .......!
Sina uhakika kuwa unaweza usizimie utamu wa ziwa la mama leo hii.
Kwasababu.......

Maswala ya utamu yanauhusiano pia na mazoea yako katika kushabikia kautamu.

Utamu kwa wengine huupata kwa kukuna kidonda.
Au unabisha?
Halafu usiusahau ule utamu unaoupata hasa kwa sababu ni kasiri kako kuhusu kautamu hako.

Lakini...
CHAI TAMU HATA BILA SUKARI!

Sasa ni kweli baada ya kuonjeswa sukari , hutaki hesabu za.....
Chai bila sukari =?
Hatakama hatupendi, jibu ni :Chai
Au unafikiri....
Kachumbari bila nyanya= na nini?
Ushastukia wengine hawazimii ugali wa muhogo ukunogeao?
Duh!
Naacha basi , tuendeleze siku.

Mpate Linton Kwesi Johnsonakikuambia Want fi goh Rave

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP