Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KUMTONGOZA MGONJWA!

>> Sunday, April 08, 2007

Ukiwa mgojwa huna ujanja.Dakitari akisema hunabudi kutii.Ubishe unalakubisha?
Kweli usipoangalia unaweza kuamini kuwa mnyonge hana janja ya kusema hapana.

Duh!Au niseme.....


KUMTONGOZA MGONJWA!

Mgonjwa si mali
Hana kauli hata pale penye wali
Na sina hata kaushauri
Mambo yote ajua dakitari
Yasemwa kauli zake si hatari
Japo twajua hata kwa siri
Si zote siku ye kachumbari

Lakini samahani!
Nsikuweke mashakani
Masharti kufuata kijiweni,
so ndo maji wapata kisimani?
Mwamini jiamini
Je ni kweli huna jinsi?
Jiamini muamini
Je umelikwepa jinamizi?

Mwamini usimuamini
Jaribu pata yako firigisi
Na: Simon Kitururu
Nakuacha na Manu Dibango basi akupe Afrika.....

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

AFRICAN LIZ 4:58 am  

Habari Simon,

Asante sana kwa kunitembelea Saharan Vibe. Manu Dibango is one musician who gave music a new meaning and a reputable African music maestro.

Liz

Simon Kitururu 5:08 am  

@African:Si utani. Manu dibango is one of the best.Liz, I am a fan of what U do in Ur blog.Thanx also for visiting my blog.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP