Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ukiwa Uchochoroni!

>> Friday, April 20, 2007

Najua unakumbuka ukiwa uchochoroni nini kinatokeaaaaaa!
Duh!
Unaweza kubakwa.
Unaweza kubaka.
Lakini unaweza ukafanikisha mambo fulani fulani bila washikaji kustukia.
Umekumbuka eeeh?
Duh!
Nisikutishe kile kitu siri yako, hatukustukia !
Usiwe na shaka!
Lakini kabla sija sema sana......Magic System wako mawazoni.....

Duh!Lakini nimewakumbuka washikaji niliokuwa nao wiki jana.....
Sasaaaaaaaa.....
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee Ogola!
Labda ngojea aseme....

Kuhusu hiyo video hapo juu sisemi!Usiniulize!
Tuendelee......
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee Allen na Mimi



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Mzee Allen na Martin


Mzee Allen ,Mimi na Martin











Au ngojea kidogo....


Okeiii nimestukia hicho!Ngojea nikutulize kidogo na Cheb Bilal hapa...


Basi tuendelee....



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mzee Johan




Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mimi na Dj Ezza


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Mheshimiwa Bonanza aka Cool Brother.
Kumbuka ni mimi tu naruhusiwa kumuita hivyo:-)
Asante kwa yote Bro!


Tukirudi Uchochoroni.....




Nisikufiche kuwa mara nyingi ni mimi muoga.
Lakini kwanini ni wewe unachagua kuogopa?

Ushastukia hakuna ajuaye unasilaha gani ndani ya koti?
Unajua hatujui nguvu za ile karate yako na u Bruce Lee wako ?

Samahani!
Lakini............najua....!


Ushawahi kuwa gizani, uchochoroni halafu ikawa ni wewe unaogopa.
Lakini najua ushawahi kwenda kujisaidia kichakani bila kujiuliza kuwa kuna nyoka wala sisimizi.Nakukubalia kuwa kichakani si uchochoroni.

Lakini.....?
Halafu ushajua kwenda haja hata kama ni muhimu kuna kastarehe kake?

AU UNABISHA?

Duh!


Sasa.......
Unafikiri kama wote tuko gizani, uchochoroni kwanini ni wewe unayeogopa?
Kwani unafikiri jambazi yeye anauhakika kwamba wewe.....
Duh!
Ngoja niache!Nisikuzingue!Kama huelewi nasema nini usiniulize:-)!

Ijumaa njema!

Nakuacha na TEEYAH akikupa couper decaler

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

luihamu 6:05 pm  

Mzee Simon hayo ndio maisha ya majuu,hali ya hewa safi.

Mzee hongera kwa kutupa mambo ya huko.

Mikundu Matako Makalio Manundu 10:35 am  
This comment has been removed by a blog administrator.
Egidio Ndabagoye 11:26 am  

Duh! nakumbuka zamani niliwahi kuishi sehemu fulani kwa hiyo nilipokwa narudi home lazima nipite kwenye kijichochoro,na pale jamaa walikuwa wanapigwa roba za mbao sana.

Wapiga roba walikuwa wanafahamika kila nikipita nilikuwa sikosi kuwapa sigara mbili tatu nikiwakuta kijiweni kwao.siku moja narudi usiku nikabanannishwa katika kichochoro jamaa wakanisachi lakini mmoja wao akanitambua wakaniomba msamaha sana.Wakanirudishia kila kitu changu.
Na kuanzia siku hiyo nikaishi kama mfalme hapo!

Simon Kitururu 5:46 pm  

@Rasta:Kuhusu hayo mambo ya majuu, sinajibu.Lakini si ukweli kionekanacho ndio ukweli wenyewe.
@Mzee wa Makalio: Duh!Sina la kuesema!Asante kwa kunitembelea.
@Egdio: Kumbe wewe uko corrupt eeeeh!:-)Duh! Mpaka wajanja wakawa wanakuachia upite kichochoronni, wewe duh!Sisemi!:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP