Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Leo , Jana imepita.

>> Monday, April 09, 2007


Kuna mambo ambayo tunajitahidi sana kuyapinga kama binadamu. Lakini kuna mambo hayapingiki kama sisi ni binadamu. Au niseme.....


Lakini kuna kitu nashangaa baadhi ya watu wananitumia barua pepe kuwa niache kuweka. Mojawapo ni picha zangu na za rafiki zangu. Napenda kusema ni ukweli rafiki zangu kibao picha zao hazija tokea hapa. Na walio tokea ni rafiki zangu kibao pia ambao sijilaumu kwanini ni rafiki zangu ambao ukweli wananisaidia kujisikia naishi kisawasawa. Ee bwana eeh! Kama unajua maana ya blogu, basi niache nifanye nacho takakufanya na nachofanya.
Duh!
Tuishi basi!
Kwa wale wanaodai nimezidisha labda niongezee na picha za leoleo. Lakini kwani ni nini nimezidisha? Kama tunapata choo basi siye mabigwa.AU?
Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Au labda...



Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket
Samahani lakini kwa kukataa kuacha kuweka mambo yangu au picha zangu.
Au msikilize Buju Banton akisema Destiny

7 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Egidio Ndabagoye 1:43 pm  

Jana imepita kwa mishemishe, sijui leo.
Kublogu kwa kutumia Picha ni mtindo mzuri sana unaleta tafsiri ya haraka sana kwa msomaji.Mimi sioni kwa nini wasomaji wako wanataka uache kuweka picha na video kama hizi.Labda waseme kwa nini hawapendi.

Shusha picha na video kwa Wingi!

Simon Kitururu 12:22 am  

Si wote walalamikao. Ila kuna ambao hunitumia ujumbe kuwa umimi umezidi nk. Naelewa hilo ila ...Asante lakini Egidio kwa sapoti.

MTANZANIA. 4:26 am  

Simon!
Kupanga ni kuchagua.

Christian Bwaya 4:52 pm  

Simon,

Japo nilijipa likizo kwenye blogu, hapa sikuwa naacha kupitia. Mambo yako makubwa wa kwetu...hujambo lakini?

Simon Kitururu 6:52 am  

@Mtanzania:kweli tupu
@Bwaya:Mimi sijambo.Nafurahi kuwa hujanisahau.Na natumaini baada ya likizo unakuja na maswala babu kubwa.Kwako mimi siachi kupita.

luihamu 7:14 pm  

Mzee Simon, nguo zako zinavutia sana,ni waafria wachache wanaishi maisha unayoishi,haya yote yanatokana na bidii na kujituma kufanya kazi kwa uaminifu.nasubiri hiyo siku ya kukutana na wewe na Da Mija.Jah bless.
blogu yako ni Jah bless man.

Simon Kitururu 10:42 pm  

@Rasta:Naamini ipo siku tutakutana.Kuna wanablogu kibao ambao ningependa kukutananao nanatumaini siku tukikutana itakuwa bomba sana.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP