Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

ORGAZIMU, KUPIGA BAO AU.......!

>> Tuesday, September 19, 2006

Je, si ni safari ya ghafula ya damu kutoka katika viungo vya sehemu za siri tu?
Je, si ni mchezo uchezekao ubongoni ukipata misaada kupitia mishipa ya fahahu, kupitia mishipa ya damu na ukisaidiwa na kuhani homoni tu?
Sasa kwanini mtu ahitaji kiumbe mwingine kutosheleza ahueni hii?
Sasa kwa nini huyu kiumbe aitwaye mwanamke ni muhimu sana kwangu katika kuleta ahueni hii?
Labda kwako si muhimu!Usijali!
Najiuliza tu!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP