Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Heri ya Siku ya Kuzaliwa MANDELA!

>> Wednesday, July 18, 2007

Leo ni tarehe Mandela kafikisha miaka89!
Msikilize kidogo basi ....

Mzee huyu pamoja na mapungufu yake nakiri ni miongoni mwa viongozi wachache Afrika ambao unaweza kujivunia bila ya kuwa na wasiwasi sana.
Viongozi wengi waliohai watuendesheao hizi nchi zetu za Afrika , mara nyingine , wanajaribu kunifanya nitafute tafsiri nyingine ya wafanyayo.Kwa sababu asilimia ya hawa viongozi , hawatuongozi, wanachofanya kinahitaji tafsiri yake mpya!
Swali:
kama kiongozi anaongoza, unafikiri Viongozi wetu Afrika wanafanya haibridi gani ya uongozi?


Samahani kidogo!
Siku imenikumbusha kautani Chriss Rock alikowahi kusema kuhusu Mandela.
Hebu kasikilize.....

DUH!
Happy Birthday Mandela!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP