Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MaUmivu ya Utamu!

>> Thursday, March 20, 2008

Hakuna mtu anayeishi bila kugundua hahakakitu kaitwako maumivu.
Sisi binadamu ni wajanja sana kujaribu kutafuta jinsi ya kuishi bila maumivu.

Lakini maumivu ni kakitu ambako utake usitake , katakudaka tu maeneo fulani kinamna.

Kuna watu watakuambia kuwa :

  • Binadamu bila kusikia maumivu maisha yatakuwa magumu zaidi.
  • Wengine watakukumbusha ile dhambi Mungu aliyo wahukumu Adam na Eva kuwa watazaa , kula na ku........
  • Lakini wengine mpaka wanajikata mwili ili kusikia maumivu ya mwili katika kuondoa maumivu ya presha nyingine za maisha.

DUH!

Maisha magumu na cha mtema kuni tunakiona .
Hebu msikilize huyu jamaa kiduchu....



Lakini....
Kumbuka kuwa maumivu yanakusaidia kujifunza, yanaokoa kujiumiza zaidi, yana kustua kuwa kuna maeneo umeumia.

DUH!
Hebu tujaribu kusahau maumivu kwa kumsikiliza Henry Salvador akiwa na Celin Dion



Lakini...
Kama una huzuni kumbuka uko karibu kuifaidi furaha.
Kama huna maumivu kuna kakitu katakukumbusha ako kakitu kaitwako maumivu kinamna.

Hebu niache kukuzingua.
Endelea na MEthod Man akikuletea maumivu..

BAADAYE BASI!

ENDELEZA LIBENEKE!
AU?

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP