Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NANI kasema kwa sababu KUNA wapenda amani VITA vitaKWISHA?

>> Thursday, March 20, 2008

Ukisema unapenda amani, kuna maeneo unaonekana wewe bomba la mtu.
Kupigana kunafananishwa na unyama fulani.


Lakini......

Kama wewe ni kati ya watu wanao amini vitabu fulani kama BIBLIA , vinukuuo watu tokea enzi za siku ya kwanza Mwenyezi Mungu alifanya nini, utastukia kuwa tokea katika familia ya Adam na Eva watu walianza kuleteana mbinde.


Mpenda amani anaonekana bomba baada ya madhara ya kupigana yanapokuwa wazi.

Swali:

  • Si unakumbuka utamu wa kupendana unajulikana vizuri kutokana na kujulikana kale kautamu ka chuki?

Lakini.....

Madhara ya vita, pamoja na kutaka kujaribu kuyaoanisha na watu kupata busara na jibu la swali la kwanini vita ni mbaya, binadamu kibao wamefanikiwa kuchukia zaidi na kuwa tayari zaidi kupigana baada ya vita kuliko kabla ya vita.

DUH!

Kama vita vingelikuwa vinamfundisha mwanadamu aache kupigana, nafikiri dunia ya leo hakungekuwa na hata eneo moja ambalo watu wanachukua hatua ya kupigana ilikusuluhisha jambo.

Lakini...

  • Ukipigwa , unaweza ukakubali suluhisho na kukubali ya aliyekupiga.
  • Ukipigwa unaweza ukakubali lakini ukawa unasubiria kinafasi uchochoroni ulipe kisasi.
  • Ukipigwa kama binadamu, wanao kuhusudu wanaweza wakawa ndio watakaoumia nakutaka kulipiza kisasi hata kuliko wewe.
  • Ukipigwa , kuna watu watatafsiri kizazi chako chote kimepigwa, hivyo kusababisha hapo mbeleni kizazi chako kutaka kulipiza kisasi kwa kizazi kilichokupiga.

Swali:
  • Ushawahi kupigwa?

Mimi mpenda amani, lakini nimejua kuwa mimi ni mpenda amani kutokana na kujua wapendao vita.
Samahani kwa kukukatisha tamaa mpenda amani mwenzangu, naamini, kama kutakuwa na binadamu hapa ulimwenguni kutakuwa na wapenda vita na wapendao amani.
Kitakachobadilika ni jinsi wapiganavyo vita vyao , kisaikolojia, kimisuli na hata kimapenzi!


DUH!
NAACHA!

Kwa waaminiyo naniihii!

PASAKA NJEMA!

Kwanilio kutananao hivi karibuni kama hawa niwawekao picha hapa chini vilevile......

Pasaka Njema!

Anza na kusikiliza wimbo wa amani wa Kenya....


Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket
Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket


Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket
DUH!
Pumzika kidogo na THe Streets



Tuendelee....

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

DUH!
Ngojea tujaribu kucheka.....



Photobucket
Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

DUH!!
Ngoja niache basi!

KWA mara nyingine, PASAKA NJEMA ndugu na jamaa pale mahala fulani mlipo popote duniani!
Mpate SAM MANGWANA

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Anonymous 4:29 am  
This comment has been removed by a blog administrator.
Simon Kitururu 4:41 am  
This comment has been removed by the author.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP