Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

JUMA-PILI!

>> Sunday, February 18, 2007


Hivi huyu JUMA ni nani?
Hivi kwanini baada ya jumatano anatengwa?
Hivi ana undugu na Alhamisi?
Hivi huyu Alhamisi ni nani?
Anaundugu na Ijumaa?

Lakini kabla sijaendelea kusema ngojea nimuachie Lionel Richie aseme....


Halafu ......

Lakini napenda siku moja nipende na niwenimenasa kama hawa Third World wasemavyo....

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

MTANZANIA. 10:03 pm  

Kitururu!
Hapa kuna falsafa imefichama.
Ila katika hii lugha yetu ya kiswahili, neno juma ni sawa na neno week. Kwa maana hiyo jumamosi ni sawa na kusema siku ya kwanza ya juma.

Simon Kitururu 12:36 pm  

@Mtanzania: mmh!Nakukubalia!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP