Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Labda KUPIGA KURA sio DEMOKRASIA bali ni JITIHADA za WAJINGA na werevu KUJARIBU kukubaliana.

>> Monday, November 03, 2008

Swali:

  • Ni nini kweli itofautishayo upigavyo kura na apigavyo kura akitaka na ukataapo ?
  • Unajua nini na anajua nini kiwatofautishacho katika maamuzi yahusuyo hata juisi ya ukwaju?
Inasemekana ni busara kuwa wengi wape.

....Lakini labda wengi wakiamua wanaweza kuchukua hata kinguvu, kwani wachache hata kama ndio wenye nguvu, labda waamue tu kuwa hawatalala kamwe ilikuweza kuziba kona zote za walio wengi kuja kutungua mapera wakati wote.


Labda hakuna mjinga wala muerevu kutokana na kwamba ujinga na uerevu ni mambo yakubunia tu na cha maana ni kwamba umechagua na unataka kuwa ushinde na walioshindwa wakubali na kuishi na ushindi wako wa ubwabwa , wakihisi au kutumaini angalau hata ukoko watapata kama sio utandu.
DUH!

Nawaza tu Mkuu,USITISHIKE!

Pumzika na Mganga wa kienyeji atabiri ushindi wa Obama

Au ngojea tuwasikilize Wabongo akiwemo Mwenyekiti Maggid Mjengwa



DUH
Asante pia wadau wote ikiwamo hawa ambao hamkunitupa hivi majuzi
Photobucket


Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket



Photobucket

Photobucket

Photobucket
Photobucket
Bila kuwasahau Bitty Maclean na Peter Hunnigale

Photobucket
Photobucket

Bitty..
Photobucket
Kama alivyonisaidia kwa kupiga wimbo wake huu.. It Keeps Rainin'


Au Peter Hunningale

Photobucket
Photobucket

kwa kunikumbusha wimbo wake huu- Roots & Culture

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP