Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Sababu za BINADAMU kwa ya kibinadamu kumuonea MTU mwenye kasoro za kibinadamu aibu!:-(

>> Friday, August 07, 2009

Lazima kuna kitu au umefananisha KITU,....
.... la sivyo kubali labda ni udhaifu wa kitu kama wajua hata kama si kiharage wala njegere kuna kitu UNACHO na ANACHO,....

..... sasa aibu yatoka wapi?



Na labda pia kwa kuwa HUNA na ANACHO kitu,....
.....hudhani si utaahira kwa binadamu ajuaye hakuna MTU mwenye yote KUONA haya na hataki tuongelee HATA lisilotia aibu swala la kama HANA au ANACHO ingawa ni kweli hakijamnasia,...

.... hivi hii aibu inatoka wapi?



Kama tu tuumizwavyo na tusi lisilo na maana KAMA LILE limfananishalo MTU na mbwa au KITU,...
....Hudhani swala zima la binadamu kumuonea MTU haya laweza mkosesha BINADAMU raha akakosa la BEBERU kunusa YA MBUZI MIKOJO na kwa hilo LABDA hata mbuzi ambaye haja balehe BINADAMU hatuoneiGELE ,....

..... LOH hivi hawa wanyama HAWANA AIBU au aibu zao ziko wapi?




Na labda aibu za BINADAMU ndio zimfanyazo awe MTU na sio KITU,...
.....Lakini wajua kwanini MARA NYINGI kuna WAONAO HAYA bila mpango na kwa kisichotia hata aibu,...


..... na hivi kweli hizi aibu zatoka wapi?


NIMEACHA wazo na KUMBUKA Kijeba /Kishtobe /Mkuu wa Maswala , HILI NI WAZO TU wala usitishike!


Hebu twende kupata kitu cha enzi hizo kutoka kwa Carl Douglas kiitwacho -KUNG FU FIGHTING


Au tu Gibson Brothers walete kitu cha enzi hizo kiitwacho-Cuba

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 6:44 pm  

Duh! Kama kawa. Tupo pamoja leo na kesho.

Simon Kitururu 5:20 am  

@Papaa Fadhy: Asante mkuu kwa kutonichoka!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP