Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

UKIPATIA!

>> Saturday, August 15, 2009

Ukipatia,...
...kwa kawaida TUTASIFIA!

Na labda wakati tunafikiri umepatia,...
... unaumaumivu kwa tuchukuliacho ni ushindi na ni kwa sababu tunakusifia ndio maana na wewe unaanza kuamini UMEPATIA na ushindi wenyewe labda hauna maana ila unauhalalisha kwa kuwa TUNAKUSIFIA!


Ukipatia,.....
... uliyokosea MENGI ni rahisi wengi kuyasahau hasa kama ni kweli tulio wengi bado hatujapatia na wala hatuna astukiaye yetu madogodogo katika jicho la wengi tunayopatia lakini hakuna ANAYETUSIFIA!


Na kwa kawaida jamii imfikiriaye kapatia,...
...jamii huwa haihitaji kujua sana kafanikishaje kupatia ALIYEPATIA kabla haijaanza KUMCHEKELEA ingawa labda kaliza MTU KIBAO katika kufanikisha, na atachekewa na TUTAMSIFIA.

DUH!

Ni wazo TU MKUU!

Swali:
  • Unauhakika ulivyopatia leo itadumu mpaka KESHO?

NIMEACHA wazo!

Hebu tumpate BINTI MACHOZZI a.k.a MANKA a.k.a Lady JAYDEE azungumzie ya -SIWEMA(shebe v mix'd)



Au tu Marquis du Zaire kwa hisani ya TZBOY walete ya -KARUBANDIKA




ASANTENI WADAU WOTE mkiwemo Papaa Hassan na Frateline a.k.a Kada wa CHAMA mliopo katika picha zangu za juzi ya jana...



Photobucket



Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket


Photobucket


Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket



Photobucket

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 10:12 pm  

Umepatia mkuu!

Simon Kitururu 5:17 am  

@Askofu Fadhy: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP