NIPO!:-(
>> Thursday, August 06, 2009

Samahani kwa kutoweka GHAFLA kinjolinjo a.k.a KIDUCHU!
DUH!
Ngojea nilainishe swala kwa KUJARIBU KUKWEPA SWALA kwa kumuachia BOOKER T kwa picha kama wakati nilivyomdaka akinisaidia NJONJOLI!:-(

Au ngojea tu BOOKER T alainishe kwa kitu VITUNGUU VYA KIJANI akiwa na wenzie THE MGS enzi hizo katika kitu -GREEN ONION



2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Siku nyingine uwe unaaga mzee wa mbili tatu!
@Papaa Fadhy: Kweli kabisa!:-(
Post a Comment