Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MAISHA ya MBU ni magumu kama MBU BADO anaishi!

>> Thursday, August 05, 2010

Na mbu JIKE ndiye aumaye watu kisa anatafuta VIRUTUBISHO vya wanawe.

Na jitihada za MBU JIKE aitwaye na wazungumzao ung'eng'e{  Anopheles}  za kutafuta PROTINI kwa kuwa ni mjamzito ndizo zimfanyazo apigwe vita na BINADAMU kwa kuambukiza watu MALARIA,....


Swali:

  • Unafikiri ni wangapi wanawahurumia MBU  NA KUACHA KUWA BWENGA kwa kuwa WANAJUA ni kweli MBU JIKE ambao ndio wanyonyao damu za watu WANANYONYA  tu katika kutaka angalau watoto wao wapate virutubisho vilivyopo kwa watu damu?
  • Si unajua nia ya MBU sio kuambukiza mtu MALARIA?
  • Unafikiri ni mangapi ukiruka mimba kuna mtu angepigwa BONGE LA MBATA kama kitendo  kingejulikana pamoja na tamu ni kile kimuambukizacho BINADAMU MWINGINE bonge la gonjwa kuliko malaria?

Ndio,...
.... labda MAISHA hata ya BINADAMU ni  lazima yawe magumu tu kama huyo BINADAMU anaishi.



Swali:
  • SI Binadamu tuna mchezo wa kuamini MAREHEMU ni mtu mzuri kwa hiyo akifanikisha umarehemu  kapumzika kama hakuwa mzinzi , mdokoa mboga au tu zile zambi mhusika adhaniazo ni bonge za dhambi zenye tako kubwa?

NAACHA wazo MKUU, na ni wazo tu hili BINGWA wala sio BIBLIA  !:-(


Hebu Mbaraka Mwishehe aulize - MATUSI YA NINI?



Kwa kubaraguza ngojea tudeku baadhi za MOVIE nilizo zirudia kwenye maktaba yangu ndogo ya nyumbani  kama:----
Samuel L Jackson katika diner  ndani ya movie - Pulp FIction



Samuel L Jackson katika Pulp Fiction - Ezekiel 25:17 ndani ya kazi ya Quentin Tarantino


Goodfellas JOE Pesci arudie kitu katika kazi ya Martin Scorsese




Nipo lakini...:-(



Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP